Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahaha, mie huwa najaribu kupenda lkn mwisho wa siku naishia njiani.Kujihusisha na mijadala ya kisiasa na mabishano ya vilabu vya mpira. Ila hivi huwa inakuwaje mpaka mnafanikiwa kuanzisha mahusiano?? Mimi binafsi sijawahi kupenda/kutamani kuwa na mahusiano hususani ya kimapenzi, nachukia kuwa karibu sana na watu unless niwe bar.
Sasa we endelea kulewa asubuhiπSawa tichaπ
Kujihusisha na mijadala ya kisiasa na mabishano ya vilabu vya mpira. Ila hivi huwa inakuwaje mpaka mnafanikiwa kuanzisha mahusiano?? Mimi binafsi sijawahi kupenda/kutamani kuwa na mahusiano hususani ya kimapenzi, nachukia kuwa karibu sana na watu unless niwe bar.
I lyk this strategyKuna mimi mahusiano siyazingatiii kbs! Sitaki kuumiza sitaki kuumiza, kikubwa nakua na marafiki wengi wa kike atakaejichanganya ataniondolea upwiru
Hunaje?? Hata kama hakuwaga na ustaarabu wa kupiga picha, hapa atapiga! Na atanitumia, nitaziacha hapo kwa chatting. Nikimmiss namzoom. Tukigombana nafuta chats na mapicha yake yanapotea ππMie cha kufuta huwa ni namba tu
Sina kawaida ya kuwa na video ama picha ya nnaedate nae
Kwa hiyo ulimtafuta mkaendelea mlipoishia π
Basi wajiandae kupambana na changamoto za kutokuwa singleAn easy life π
Shida sio wote wanaweza kubaki single
Mambo myHello good people,mko poa?
Mie niko poa
Niko bored hapa,sina usingizi kusema nilale sasa hivi
Kazini naingia night shift na babe yuko zake job....let's chat
Kwa wale mlio kwenye mahusiano yasio sahihi kwa sababu zozote zile labda umbali,mume/mke wa mtu,dini&umri(japo hivi sio changamoto sana),uhuni wa partner wako,ugomvi wa kila siku na mengine mengi lakini deep down unajua kwamba umekamatika/umependa kweli na unajua unatakiwa kulet go...ni kwa namna/njia gani unajaribu/ulijaribu kujitoa?
Kwa waliofanikiwa kujitoa mlitumia mbinu zipi ili wengine wapate pa kuanzia
View: https://youtu.be/wfTC2o05OEw?feature=shared
Ni ubahili tu na kujidekeza hatuna sababu za msingiπWewe una uzoefu na sheria mkononi tu
Ningekuwa wa kiume ningekuwa kama wewe
Siwezi acha bora nisupp tuπSasa we endelea kulewa asubuhiπ
Hunaje?? Hata kama hakuwaga na ustaarabu wa kupiga picha, hapa atapiga! Na atanitumia, nitaziacha hapo kwa chatting. Nikimmiss namzoom. Tukigombana nafuta chats na mapicha yake yanapotea ππ
Eeh mwenzangu. Nikamtafuta tukapiga kitu cha rewind π€£π€£
Kuwapenda binadamu inabidi ujizime dataHahahahahaha, mie huwa najaribu kupenda lkn mwisho wa siku naishia njiani.
Hahahaha,kabisa mkuu,mwisho unaishia njiani mnabaki washikajiKuwapenda binadamu inabidi ujizime data
na yutiai
Kwani nikuachana? Achana na hao wanaoachana kisha wanatamkiana let us break up.Sasa mie nashangaa mtu anayeweza kuachana na mtu halafu akamrudia
sasa si ungedelete na sms za miamala?Delete kila kinachomuhusu ππ
Kuna mtu nilidelete mpaka namba. Siku nikammiss, weee si nikaenda tafuta namba zake katika sms za M pesa alizokuwa ananitumia hela πππ
πππSiwezi acha bora nisupp tuπ
Kuachana kwa namna hiyo ndio siweziKwani nikuachana? Achana na hao wanaoachana kisha wanatamkiana let us break up.
Kuna sie tunaonyamaziana π€£
Unapunguza mawasiliano siku 3. Mtu anajiongeza na yeye anakuachia space.
Ukikumbuka uwepo unaanza kumsaka ππππ