LHRC: Tunalaani utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)

LHRC: Tunalaani utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
LHRC.jpg
 
Mwenyekiti wa jukwaa la kudai Katiba mpya.

Ni mtu mdogo sana sema serikali inapenda kutumia nguvu hata kwa vitu visivyo na madhara.
 
Serikali siyo mtu mmoja bali ni kikundi cha watu. Akiondoka mtu mmoja bado linabakia kundi lile lile. Hata huyo Madam SSH naye ni sehemu ya kundi lile lile la Mwendazake.
 
Kituo cha sheria na haki za binadamu kinalaani kitendo cha kutekwa na watu wasiojulikana kwa mwenyekiti wa kamati ya kudai katiba mpya ndugu Abubakar Fambo

IMG-20210528-WA0047.jpg


My take:

Tunataka serikali ya Samia iache mara moja vitendo vya utekaji watu kwa sababu tu wanataka kutumia haki yao ya kikatiba kutaka mabadiliko chanya nchini.

Tulidhani hivi vitendo vya kishenzi vingeisha mara tu ya yeye kuapishwa, lakini kumbe ni mwendelezo uleule wa kutaka kuminya haki na uhuru wa wananchi.

Katiba mpya ni hitajio la wananchi, haliwezi kuzimwa kupitia Utekaji na Kutumia watu wasiojulikana kunyanyasa na kuintimidate watu.

Tunamtaka Samia aachane na staili ya Magufuli, kutumia njia zisizo za kisheria kwenye kudeal na mambo ya wananchi.

Sisi tunaomuunga mkono rais Samia, tunapata huzuni tukianza kuona tena vitendo vya watu wasiojulikana maana hivi ni vitendo vilivyotufanya tukauchukia utawala wa Magufuli.

Tunaitaka serikali imuachie ndugu Fambo mara moja hajatenda kosa lolote!
 
Kituo cha sheria na haki za binadamu kinalaani kitendo cha kutekwa na watu wasiojulikana kwa mwenyekiti wa kamati ya kudai katiba mpya ndugu Abubakar Fambo

View attachment 1800127


My take:

Tunataka serikali ya Samia iache mara moja vitendo vya utekaji watu kwa sababu tu wanataka kutumia haki yao ya kikatiba kutaka mabadiliko chanya nchini.

Tulidhani hivi vitendo vya kishenzi vingeisha mara tu ya yeye kuapishwa, lakini kumbe ni mwendelezo uleule wa kutaka kuminya haki na uhuru wa wananchi.

Katiba mpya ni hitajio la wananchi, haliwezi kuzimwa kupitia Utekaji na Kutumia watu wasiojulikana kunyanyasa na kuintimidate watu.

Tunamtaka Samia aachane na staili ya Magufuli, kutumia njia zisizo za kisheria kwenye kudeal na mambo ya wananchi.

Sisi tunaomuunga mkono rais Samia, tunapata huzuni tukianza kuona tena vitendo vya watu wasiojulikana maana hivi ni vitendo vilivyotufanya tukauchukia utawala wa Magufuli.

Tunaitaka serikali imuachie ndugu Fambo mara moja hajatenda kosa lolote!
We ni nani hasa unayemuamuru mhe Rais??? nyambafff!!
 
Asante kwa kupaza sauti, lakini kosa la sauti hii ni kuutuhumu au kuituhumu serikali Moja kwa moja. Hamuoni kwamba inawezekana maadui wa utawala wa mama Samia pia wanaweza kufanya hivyo ili kuuchafua utawala wa mama kwa kuwa watanzania wengi wameanza kupata matumaini?

Kwa nini hamkuwatuhuhumu wasiojulikana moja kwa moja? Hivi hatujui kwamba kipindi hiki mama ana wakati mgumu sana wa kututoa huko tulikotoka?

Nchi imetoka kufiwa na Rais hivi karibuni, mama ametwaa utawala hivi karibuni baada ya kufiwa, hata nusu mwaka hajamaliza tunaanza kumtwisha mituhuma kibao, hivi lengo letu ni nini watanzania?

Mnachosha mpaka akili. Kila mtu anajifanya anajua, ebu mwacheni mama atutengenezee nchi bwanaaa aha!
 
Back
Top Bottom