Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimelaani utakejai wa viongozi wawili kana alhamisi na watu wasiojulikana.
Kama Samia atarithi hizi tabia za mwendazake, basi hatuna budi kumkosoa na kumpinga vikali. Na azma yake ya kuvuta uwekezaji utashindikana kwa namna hii maana inachafua nchi.
Ajiulize, is this the path she wants yo tread, it's up to her!!
View attachment 1800199
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Huo ndio ukweliMnachekesha. Kwa hiyo mlidhani kwamba suala la kuweka watu kwenye custody (nyie mnaita kuteka) ni suala la aina ya mtu aliyepo ikulu?
Yaani vyombo vya ulinzi na usalama vifanye uchunguzi wake vijiridhishe kwamba watu au mtu fulani ni tishio kwa usalama wa nchi, report ipelekwe kwa kiongozi wa nchi, halafu kiongozi wa nchi asite kuamuru detention kisa ataonekana sawa na yule mwingine aliyepita? Huu utakuwa utoto sasa.
Turudie kusema, hakuna kitu chochote alichokifanya JPM ambacho hakikutakiwa kufanywa kwa mazingira ya nchi aliyorithi kutoka kwa mtangulizi wake. Hadi 2015, nchi ilishakaribia kuwa a failed state na hicho mnachokiita kutekana ilikuwa ni safisha safisha kurudisha law and order. Mama kwa muda mfupi aliokalia kiti ashaanza kusoma gemu. Hii nchi ngumu sana, akicheka na nyani atakula mabua.
Samia hakuwa mteuliwa wa JPM bali kiongozi mwenzake. Msitake kulazimisha kitu ambacho hakipo!Yeye Samia siyo ukoko wa mwendazake?
Unataka ajisafishe?
Awamu ni jambo la kinadharia tu ndio maana awamu zinabadilika ila watu ni walewale hivyo huwezi kutegemea kitu tofauti kwa watu walewale.Ajabu sana, haya mambo yatakuwa yanafanywa bila yeye kujua, kwa muonekano wake Rais hafanani na hayo matendo, anatakiwa atoe tamko kali awaamshe usingizi wale wanaodhani bado tuko awamu ya tano.
Una hakika investigation haikifanyika ?Kama alisingiziwa kwanini matukio yote Yale yahakufanyiwa investigation na serikali yake?
Huyo Samia mwenyewe ni Masalia ya Mwendazake, karithi urais si mchezo.Hayo ni masalia ya Mwendazake yataisha tu,wanaotaka kutekana waende Burundi
Waambie wapuuzi hao mtu anaisaliti nchi aachwe tu. Thubutuu itakuwa nchi ya namna gani hiyo ?swa kabisa mkuu kuna vichwa huw linapokuja suala la pesa wanauza nchi kabisa kama kina kabendera kwa sura ya machoni wanatia huruma lakini wangefaulu mision zao nchi inalia machozi wao wanacheka na watu kama uamsho sasa hivi mnawahurumia lakini mbona mngeomba poo
Chama lao limewashinda wanabaki kutengeneza matukio ya ajabu ajabu. Mimi hilo lichama lao sijawahi kulikubali hata siki moja ndio maana mtu mmoja aliwahi kusema kwamba katika li chama hilo wimbo wa Bwana hauimbiki. Alikuwa sahihi kabisa.Watu wa Mwendazake ndio akina nani ikiwa Serikali hii awamu ya sita ikiwemo Rais wetu Mamá Samia, Makamu wake Dr Mpango, PM Majaliwa na watendaji wengi waliomo ni sura ile ile ya awamu iliyopita!???
Au Mamá Samia na Dr Mpango ni zao la upinzani!????
Acheni kutuvurugia nchi enyi wapuuzi wa ufipa
Mbona Ali Hasani Mwinyi watu walikuwa wanasema ni masalia ya Nyerere lakini akaja kuwa tofautiHuyo Samia mwenyewe ni Masalia ya Mwendazake, karithi urais si mchezo.
Kwahiyo hao masalia wa mwendazake nao watakuwa tofauti pia au sio?Mbona Ali Hasani Mwinyi watu walikuwa wanasema ni masalia ya Nyerere lakini akaja kuwa tofauti
Mama ni tofauti kabisa na yule ChiziKwahiyo hao masalia wa mwendazake nao watakuwa tofauti pia au sio?