LHRC yamuonya Oscar Oscar kwa Vitendo vya Udhalilishaji dhidi Wanawake

Sisi wa huku maeneo ya sijaona nangwanda hatumjui huyo osika osika .ndio nani
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia habari picha za mzaha (Memes) anazozisambaza Mitandaoni
Watoe onyo pia kwa wale wasanii wanaovaa madera.
 
Ila Oscar amezingua sana, kun muda inabidi baadhi ya Meme awaachie watoto wa kidato cha kwanza.
 
Tunapenda masikhara ila oscar alivuka mipaka, kuna maneno ukiyaona unajiuliza ni yeye kweli au kuna mtu anatembelea upepo wake, ajirekebishe.
 
Vitabu vyote vya fasihi vya kiswahili vime m potray mwanamke kama chombo cha starehe.

Vitabu vyote vya fasihi vya kingereza either ni vichache sana au hakuna ambacho kina mpotray mwanamke kama chombo cha starehe. Kuna tatizo kubwa kwenye jamii za ki Africa
 
Oscar Oscar ana upuuzi mwingi lakini hili sio suala la LHRC kufikishana naye mahakamani
 
Kwamba mwanamke afanye vitendo vya kujizalilisha yeye mwenyewe lakini anaevi-publish iwe kama funzo ashtakiwe!!!!?
Kuna wanawake wanadharirisha utu wao na kudharirisha utu wawengine pia lakini hatujawahi kusikia wakisema lolote hawa nao sheria zao mpaka kwenye kurasa za watu bjnafsi? The cybercrime act na. 14 ya 2015 ibara ya 16 iko wazi kwanini mamlaka husika kama tcra hawajachukua hatua wao ni kina nani?
 

Attachments

  • -us13eq.jpg
    121 KB · Views: 2
Oscar siyo mwanahabari bali mpumbavu mmoja anayeniona sasa ameingia mjini! Hivyo anamdhalilisha mama yake mzazi!
Huyu mshamba sijui katokea
Wapi ....ila nchi mtu akishajuwa
Piga domo basi watu wanampa
Umaarufu

Ova
 
Ko kaka inamanisha taasisi nzima inamsingizia taasisk nzima ya LHRC ina mawazo ya kingono yaani wew una IQ kubwa kuzid taassi nzima na watanzania ambao wanaona kabisa oscar kakosea anatakiwa akanywe ... ajue yey ni kioo watu wengi wanamfatilia wakubwa kwa watot wazee kwa vijana vikongwe na vining'ina broo set your mind to see how the world look nowdays ..... moral decay as a big problem now ... how future generation... okey ni mtazamo wako mayb kila mtu ana uhur wa maoni yake ko siwezi kukupinga
 
Wakati mwingine watu kama Hawa inabidi wachukuliwe hatua Kisha onyo lifuate
 
Kwanini asikamatwe na kufungwa au hata kunyongwa, kwanza ana faida gani na nchi yetu?
 
Huu ni ujinga sasa kwani watu wengi wanamlalamikia huyu jamaa kwa kuvuka mipaka na hakuna kinachondelea, kwanini asisikishwe adabu tu, akamatwe na kupigwa miaka 14 jela au kunyongwa.......naunga mkono hoja ya Ndugu Mkereketwa_Huyu, kwani huyu chizi ana faida gani na taifa letu?
 
Wangetetea kweli haki za wanyonge tungewaheshimu
 
Kwani huyu chizi bado yupo tu hajakamatwa pamoja na malalamiko yote mitandaoni?
 
Si mnasemaga hyo page si yake!!?πŸ˜πŸ™„πŸ™„
 
Kwamba mwanamke afanye vitendo vya kujizalilisha yeye mwenyewe lakini anaevi-publish iwe kama funzo ashtakiwe!!!!?
Ku publish taarifa za udhalilishaji ni kosa kisheria hata kama ulichoki publish kina ukweli ndani yake.
 
Ni ngumu kutengeneza case ya maana kwa ushahidi wa "memes".

Ijapokua mshikaji anazingua sana.
Yaani unaona kuna ugumu wa kukusanya ushahidi kupitia mitandao ya kijamii?

Electronic evidence is admissible maana ulimwengu ulipofika hakuna kinachoshindikana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…