Asante sana-Kumbe ni kichwa maji cha Lumumba-Nashukuru sana.Umemsoma lakini au unanijibu mimi tu?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana-Kumbe ni kichwa maji cha Lumumba-Nashukuru sana.Umemsoma lakini au unanijibu mimi tu?
Amandla...
ni bola hajaongea nao kwanza,maana Kama angeongea nao,halafu inakuja kugundulika mwejekiti wao ni gaidi suspect,nadhani ingeleta taswira ya sintofahamu zaidi.nadhani wadukuzi walimtonya mama asikutane nao Kuna Mambo wameyadukua kwa Mr hai si shwari kukutana nao kwa Sasa!
Hivi kweli kwa akili za Hawa viongozi tutapata maendeleo kweli,siasa za kishamba zinalingamiza Taifa.Wanaendekeza siasa za kishenzi, huyo mama wa US kawahoji maswali ya msingi ndio wanajifanya kutoa hadithi za kuchomekea. Hawa viongozi wetu ndio wanachangia wazungu kuendelea kutufananisha na nyani
Nchi sio familia ya mtu ,nchi inaongozwa kwa katiba nenda shule uelimike.hata katika familia wewe kama mwanaume ndiyo baba wa nyuma sasa lazima utakuwa na taratibu zako na ratiba zako na vipaumbele vyako hawezi mtu yoyote kukupangia kwamba anza na hiki kwanikulikuwa na uharaka gani wa kuanza kuongea na wapinzani? au hata angeanza kuongea nao wangefaidika na nini? hizo ndiyo haraka ambazo hazinaga maana walizonazo chadema mngesubiri muone kama mpaka mwaka unaisha hajawaita kuongea naye? au nyie mwaka ni kama miaka kumi au mnapoteza nini msipoongea na rais? uvumilivu ni kitu kizuri sana CHADEMA ndiyo wataliangamiza taifa kwa uroho wao wa madaraka maana hata wakipewa hayo madaraka wanayoona hayapo hawawezi kuyaleta kwa maneno lazima watu wafanye kazi tu no way
yaani wewe ndiyo ungekuwa kiongozi nchi ingekushinda asubuhi tu nyie kiboko yenu jpm mlikuwa hamkohoi hapo huyu mama anahuruma lakini ogopa sana akibadirika mtaumia vibaya sanaNchi sio familia ya mtu ,nchi inaongozwa kwa katiba nenda shule uelimike.
Hauko sawa kichwani Naona akili zimejaa kamasi nani alikudanganya ili chi iende mbale kiuchumi ni nguvu zinatumika?Nchi huongozwa kwa akili na sio ubabe wa kishamba,Elimika.yaani wewe ndiyo ungekuwa kiongozi nchi ingekushinda asubuhi tu nyie kiboko yenu jpm mlikuwa hamkohoi hapo huyu mama anahuruma lakini ogopa sana akibadirika mtaumia vibaya sana
Kuna kitu kimoja ambacho nakichukia kupita kiasi katika maisha yangu ya U-Tanzania. Hiki ni kauli za Polisi au wanasiasa pale ambapo wanajaribu kuficha au kupotosha ukweli ambao ukiwekwa wazi wananchi wataona wanavyokiuka haki za msingi za Watanzania, wanavyokandamiza demokrasia au hata wanavyofanya uhalifu kama wanasiasa au polisi.
Nadhani mmesikia kauli za polisi za "waliuwawa katika mapambano makali ya silaha na polisi na hakuna askari aliyejeruhiwa", "aliuwawa na kitu cha ncha kali tunafanya uchunguzi", "alikufa kwa kujaribu kuruka toka kwenye gari akiwa na pingu" nk.
Na pia kauli za wanasiasa kama "kama hutaki tozo nenda Burundi"; "kama huna nauli piga mbizi"nk.
Sasa leo nimekutana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, Liberata Malamula, akijaribu kueleza kwa nini mkutano kati ya Raisi Samia na wapinzani haukutokea. Anasema "Raisi Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana". Hivi huu mkutano ulikuwa ufanyike kwa muda gani, miezi sita mfululizo?
Ni wazi kwamba hawa watu wanapotoa hizi kauli wanaona sisi Watanzania ni wajinga, hatuna akili na tanakubali lolote tutakalowaambiwa.
Kwa kiingereza huwa ni ni falsafa ya "insulting Tanzanians' intelligence"
Napenda kwa mara nyingine niwaambie Polisi na Wanasiasa jambo moja, kwamba mtitutukane Watanzania, msidhani kwamba hatuna aiki, na msione upole wetu na utunzaji wetu wa hali ya amani nchini kuwa ni watu ambao tupotupo tu kama mazezeta. Uvumilivu wa kutukanwa una mipaka yake, na mnatutukana sana kwa hizi kauli zenu.
Hizi ni kauli zinafanya niwachukie wanasiasa na polisi kwa kiwango cha juu kabisa, kwa kuwa ni kauli ambazo naziona kama matusi kwa Watanzania. Ninavyozitafsiri mimi ni kwamba mnatoa kauli kama hizo eidha kwa kuwa nyie hamna uwezo wa kufikiri, au kwa kuwa mnadhani sisi Watanzania hatuna uwezo wa kufikiri. Jitafakarini sana. Tanzania ya 2021 sio Tanganyika ya 1961. We are not naive - you are disgustingly naive.
Baada ya ratiba kuingiliana ndio ukazaliwa Ugaidi wa mbowe?Kuna kitu kimoja ambacho nakichukia kupita kiasi katika maisha yangu ya U-Tanzania. Hiki ni kauli za Polisi au wanasiasa pale ambapo wanajaribu kuficha au kupotosha ukweli ambao ukiwekwa wazi wananchi wataona wanavyokiuka haki za msingi za Watanzania, wanavyokandamiza demokrasia au hata wanavyofanya uhalifu kama wanasiasa au polisi.
Nadhani mmesikia kauli za polisi za "waliuwawa katika mapambano makali ya silaha na polisi na hakuna askari aliyejeruhiwa", "aliuwawa na kitu cha ncha kali tunafanya uchunguzi", "alikufa kwa kujaribu kuruka toka kwenye gari akiwa na pingu" nk.
Na pia kauli za wanasiasa kama "kama hutaki tozo nenda Burundi"; "kama huna nauli piga mbizi"nk.
Sasa leo nimekutana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, Liberata Malamula, akijaribu kueleza kwa nini mkutano kati ya Raisi Samia na wapinzani haukutokea. Anasema "Raisi Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana". Hivi huu mkutano ulikuwa ufanyike kwa muda gani, miezi sita mfululizo?
Ni wazi kwamba hawa watu wanapotoa hizi kauli wanaona sisi Watanzania ni wajinga, hatuna akili na tanakubali lolote tutakalowaambiwa.
Kwa kiingereza huwa ni ni falsafa ya "insulting Tanzanians' intelligence"
Napenda kwa mara nyingine niwaambie Polisi na Wanasiasa jambo moja, kwamba mtitutukane Watanzania, msidhani kwamba hatuna aiki, na msione upole wetu na utunzaji wetu wa hali ya amani nchini kuwa ni watu ambao tupotupo tu kama mazezeta. Uvumilivu wa kutukanwa una mipaka yake, na mnatutukana sana kwa hizi kauli zenu.
Hizi ni kauli zinafanya niwachukie wanasiasa na polisi kwa kiwango cha juu kabisa, kwa kuwa ni kauli ambazo naziona kama matusi kwa Watanzania. Ninavyozitafsiri mimi ni kwamba mnatoa kauli kama hizo eidha kwa kuwa nyie hamna uwezo wa kufikiri, au kwa kuwa mnadhani sisi Watanzania hatuna uwezo wa kufikiri. Jitafakarini sana. Tanzania ya 2021 sio Tanganyika ya 1961. We are not naive - you are disgustingly naive.
Wewe ni mwanamke!hata katika familia wewe kama mwanaume ndiyo baba wa nyuma sasa lazima utakuwa na taratibu zako na ratiba zako na vipaumbele vyako hawezi mtu yoyote kukupangia kwamba anza na hiki kwanikulikuwa na uharaka gani wa kuanza kuongea na wapinzani? au hata angeanza kuongea nao wangefaidika na nini? hizo ndiyo haraka ambazo hazinaga maana walizonazo chadema mngesubiri muone kama mpaka mwaka unaisha hajawaita kuongea naye? au nyie mwaka ni kama miaka kumi au mnapoteza nini msipoongea na rais? uvumilivu ni kitu kizuri sana CHADEMA ndiyo wataliangamiza taifa kwa uroho wao wa madaraka maana hata wakipewa hayo madaraka wanayoona hayapo hawawezi kuyaleta kwa maneno lazima watu wafanye kazi tu no way
Watalegea tu. Ratiba itakaa sawa lini? i hope wiki mbilo hazitapita.Kuna kitu kimoja ambacho nakichukia kupita kiasi katika maisha yangu ya U-Tanzania. Hiki ni kauli za Polisi au wanasiasa pale ambapo wanajaribu kuficha au kupotosha ukweli ambao ukiwekwa wazi wananchi wataona wanavyokiuka haki za msingi za Watanzania, wanavyokandamiza demokrasia au hata wanavyofanya uhalifu kama wanasiasa au polisi.
Nadhani mmesikia kauli za polisi za "waliuwawa katika mapambano makali ya silaha na polisi na hakuna askari aliyejeruhiwa", "aliuwawa na kitu cha ncha kali tunafanya uchunguzi", "alikufa kwa kujaribu kuruka toka kwenye gari akiwa na pingu" nk.
Na pia kauli za wanasiasa kama "kama hutaki tozo nenda Burundi"; "kama huna nauli piga mbizi"nk.
Sasa leo nimekutana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, Liberata Malamula, akijaribu kueleza kwa nini mkutano kati ya Raisi Samia na wapinzani haukutokea. Anasema "Raisi Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana". Hivi huu mkutano ulikuwa ufanyike kwa muda gani, miezi sita mfululizo?
Ni wazi kwamba hawa watu wanapotoa hizi kauli wanaona sisi Watanzania ni wajinga, hatuna akili na tanakubali lolote tutakalowaambiwa.
Kwa kiingereza huwa ni ni falsafa ya "insulting Tanzanians' intelligence"
Napenda kwa mara nyingine niwaambie Polisi na Wanasiasa jambo moja, kwamba mtitutukane Watanzania, msidhani kwamba hatuna aiki, na msione upole wetu na utunzaji wetu wa hali ya amani nchini kuwa ni watu ambao tupotupo tu kama mazezeta. Uvumilivu wa kutukanwa una mipaka yake, na mnatutukana sana kwa hizi kauli zenu.
Hizi ni kauli zinafanya niwachukie wanasiasa na polisi kwa kiwango cha juu kabisa, kwa kuwa ni kauli ambazo naziona kama matusi kwa Watanzania. Ninavyozitafsiri mimi ni kwamba mnatoa kauli kama hizo eidha kwa kuwa nyie hamna uwezo wa kufikiri, au kwa kuwa mnadhani sisi Watanzania hatuna uwezo wa kufikiri. Jitafakarini sana. Tanzania ya 2021 sio Tanganyika ya 1961. We are not naive - you are disgustingly naive.
Usimlishe maneno MulamulaMulamula aseme ukweli tu, SSH alipanga kukutana na wapinzani wote halafu CDM wakaleta kelele na yule kijana aliposema atamnyoa basi akaona hawa sio wa kuwaendekeza.
Akawapotezea, SSH bado anawenge la urais, anataka kufanya mengi muda mdogo. pale anapoonyesha roho safi halafu mkamzingua basi anafanya jingine kwanza hayo myatakayo yatakuja baadae.
Upinzani wakiwa smart watapata mengi kipindi hiki ila wakitaka kumburuza huyu mama mambo hayataenda maana ataona wanamdharau kwa sbb yy ni mwanamke au kwa sbb hakugombea urais. CDM na upinzani wote wawe smart tu kudeal na huyu mama wambembeleza atawasaidia saana. sheria za ajabu ajabu zitanyooka na huku mbelen kutakuwa na neema
ID za kulipwahata katika familia wewe kama mwanaume ndiyo baba wa nyuma sasa lazima utakuwa na taratibu zako na ratiba zako na vipaumbele vyako hawezi mtu yoyote kukupangia kwamba anza na hiki kwanikulikuwa na uharaka gani wa kuanza kuongea na wapinzani? au hata angeanza kuongea nao wangefaidika na nini? hizo ndiyo haraka ambazo hazinaga maana walizonazo chadema mngesubiri muone kama mpaka mwaka unaisha hajawaita kuongea naye? au nyie mwaka ni kama miaka kumi au mnapoteza nini msipoongea na rais? uvumilivu ni kitu kizuri sana CHADEMA ndiyo wataliangamiza taifa kwa uroho wao wa madaraka maana hata wakipewa hayo madaraka wanayoona hayapo hawawezi kuyaleta kwa maneno lazima watu wafanye kazi tu no way
kwani hukuwa na cha kuandika siungepita tuuu inaonyesha nikiasi gani u mjingaID za kulipwa
Hio katiba wew hutashiriki kuiunda? Au wataitoa chadema peke yao?Rais awe makini. Wananchi walipigia kura ccm kwa hivyo kelele za chadema zisije kufanya ccm kutetereka kwa malengo yake. Chadema wanadai kuongoza wakati walishindwa kwenye uchaguzi. Hili samia awe makini kabisa. Asifikiri akikutana na chadema wataacha malengo yao ya kutumwa na mabeberu kudai katiba ya kiliberali na serikali tatu ili muungano uvunjike. Chadema wanataka katiba itakayotoa mwanya kwa wenye nacho kuweza kununua haki bila uoga. Wanataka katiba ambapo matajiri na wanasheria wataweza kuuza na kununua haki bila uoga. Huo ndio msingi uliyojificha wa demokrasia ya kiliberali kwa sisi afrika. Wamagharibi wanapenda tuwe na serikali legelege corrupt za kutimiza maslahi yao.
Samia aendelee kuonea wapinzani kwa sababu kashika Bunduki na Mabomu,wala siye hatuna shida ya kukutana na Samia,hana faida yoyote kwa Taifa aende zake hukoKuna kitu kimoja ambacho nakichukia kupita kiasi katika maisha yangu ya U-Tanzania. Hiki ni kauli za Polisi au wanasiasa pale ambapo wanajaribu kuficha au kupotosha ukweli ambao ukiwekwa wazi wananchi wataona wanavyokiuka haki za msingi za Watanzania, wanavyokandamiza demokrasia au hata wanavyofanya uhalifu kama wanasiasa au polisi.
Nadhani mmesikia kauli za polisi za "waliuwawa katika mapambano makali ya silaha na polisi na hakuna askari aliyejeruhiwa", "aliuwawa na kitu cha ncha kali tunafanya uchunguzi", "alikufa kwa kujaribu kuruka toka kwenye gari akiwa na pingu" nk.
Na pia kauli za wanasiasa kama "kama hutaki tozo nenda Burundi"; "kama huna nauli piga mbizi"nk.
Sasa leo nimekutana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, Liberata Malamula, akijaribu kueleza kwa nini mkutano kati ya Raisi Samia na wapinzani haukutokea. Anasema "Raisi Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana". Hivi huu mkutano ulikuwa ufanyike kwa muda gani, miezi sita mfululizo?
Ni wazi kwamba hawa watu wanapotoa hizi kauli wanaona sisi Watanzania ni wajinga, hatuna akili na tanakubali lolote tutakalowaambiwa.
Kwa kiingereza huwa ni ni falsafa ya "insulting Tanzanians' intelligence"
Napenda kwa mara nyingine niwaambie Polisi na Wanasiasa jambo moja, kwamba mtitutukane Watanzania, msidhani kwamba hatuna aiki, na msione upole wetu na utunzaji wetu wa hali ya amani nchini kuwa ni watu ambao tupotupo tu kama mazezeta. Uvumilivu wa kutukanwa una mipaka yake, na mnatutukana sana kwa hizi kauli zenu.
Hizi ni kauli zinafanya niwachukie wanasiasa na polisi kwa kiwango cha juu kabisa, kwa kuwa ni kauli ambazo naziona kama matusi kwa Watanzania. Ninavyozitafsiri mimi ni kwamba mnatoa kauli kama hizo eidha kwa kuwa nyie hamna uwezo wa kufikiri, au kwa kuwa mnadhani sisi Watanzania hatuna uwezo wa kufikiri. Jitafakarini sana. Tanzania ya 2021 sio Tanganyika ya 1961. We are not naive - you are disgustingly naive.
Kumbe ndio maana wametoka nje kupayuka 😅😅😅eti ratia ziliingilianaWanaendekeza siasa za kishenzi, huyo mama wa US kawahoji maswali ya msingi ndio wanajifanya kutoa hadithi za kuchomekea. Hawa viongozi wetu ndio wanachangia wazungu kuendelea kutufananisha na nyani
ID za kulipwakwani hukuwa na cha kuandika siungepita tuuu inaonyesha nikiasi gani u mjinga
We mbururaa ni ssm gan ameweza kuongoza nchi.. nikupe tu story fupi hadi waingereza walitoa kauli kama yako kwamba hakuna mwafrika atayeweza kuongoza lkn nyerere aliongoza soo you are present shithole baboonhata katika familia wewe kama mwanaume ndiyo baba wa nyuma sasa lazima utakuwa na taratibu zako na ratiba zako na vipaumbele vyako hawezi mtu yoyote kukupangia kwamba anza na hiki kwanikulikuwa na uharaka gani wa kuanza kuongea na wapinzani? au hata angeanza kuongea nao wangefaidika na nini? hizo ndiyo haraka ambazo hazinaga maana walizonazo chadema mngesubiri muone kama mpaka mwaka unaisha hajawaita kuongea naye? au nyie mwaka ni kama miaka kumi au mnapoteza nini msipoongea na rais? uvumilivu ni kitu kizuri sana CHADEMA ndiyo wataliangamiza taifa kwa uroho wao wa madaraka maana hata wakipewa hayo madaraka wanayoona hayapo hawawezi kuyaleta kwa maneno lazima watu wafanye kazi tu no way