Elections 2015 Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!


Waziri wa Uchukuzi. Peter Serukamba
 
I cry for my beloved country, Loawasa akiwa rais nchi hii itaangamia na sijui kama uoinzani wata survive manake jamaa ni udikteta kwa mbele
 
Lowassa ni mwizi hafai kuwa kiongozi. Lowassa ni fisadi hafai kuwa kiongozi, huko kupendwa na wengi siyo bali ananunua kupedwa

Mtoa mada naye kanunuliwa kuyasema aliyoyasema. Kupendwa kupi anakopendwa Lowasa kama sio pesa yake?
 
lowassa bear the hit! ona jinsi muhongo alivyokomaa ona tibaijuka alivyokuwa mbishi but "enl kwa hekima alistepdown na hii ni heshima kubwa sana kwa lowassa!
 

Team UKAWA nao kwenda MONDULI kumshawishi ili agombee! KAZI IPO MWAKA HUU, TETESI NI NOMA
 
ujanja wa samaki ni majini tu huyu lowasa aka mwizi mkuu wa taifa anatapa tapa tu kama yeye mwanaume atoke nje ya ccm
ramon kwani kapewa ule ubunge wa dr mrema huyu mwanamme na ameenda jando hashwa karibu mfano chukua nigeria
 

Wameshindwa kumfungulia mashtaka bado wanalia kuwa ni mwizi.Wana tume ya maadili walishindwa kumtupa nje ya chama ,lakini wanabweka kama mbwa asiye na meno japo wana meno yenye ncha kali.Lakini wanaimba kwa sauti kubwa eti wanatawala nchi kwa haki na utawala bora na kisheria.Labda zipo chuki binafsi na kuendekeza majungu kama mbinu za kupakana matope.Je mwananchi wa kawaida asiye na rungu ya serikali au mahakama au kigogo kwenye chama chao CCM achukue lipi na aache lipi?Mchezo huu hausaidii taifa au CCM.Tunataka maelezo kwa kina sio vichwa vya habari tu.Mwisho wa siku tunataka kuchagua raisi bora sio bora rahisi.
 

Umenifilisi maneno yote ..... Waambie bhaelewee
 
Pasco, Pasco, Pascooooo! Kamwe, Lowasa hawi rais wa Tanzania. Na hata kama akipitishwa na CCM hatakuwa rais. Alikosea kuto kuwaunga mkono watanzania wanaoitaka serikali ya Tanganyika.
 
Hawataweza kukata jina la EL sababu ndiye pekee ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuwashinda wapinzani hata wabaya wake wanalijua hilo kukata jina lake itakuwa sawa na ku commit suicide yaani watakuwa wametoa nafasi kwa mara ya kwanza ktk Tz upinzani kutoa raisi.
 
Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mbebaji. Nyie mpigeni EL chini, UKAWA tunapetaaaaaaa tu!
 
MTU timamu hawezi kumshabikia Huyo mwizi eti awe rais.Toka mini ukawakabidhi fisi bucha eti wailinde? lowasa ni mwizi na mtoa rushwa Mkubwa. Ameshawanunua wengi akiwemo mleta mada lakini hana uwezo was kuwanunua watz zaidi ya mil 20 tunaotaka mabadiliko na tunaojiandikisha ili Oct tupige kura
 
Kuongozwa au kumpa uongozi mwizi litakuwa ni kosa ambalo mungu hawezi kutusamehe kamwe....lowassa mwizi!
 
Kuongozwa au kumpa uongozi mwizi litakuwa ni kosa ambalo mungu hawezi kutusamehe kamwe....lowassa mwizi!

Dhibitisha wizi wake kwanza.Pammoja na hilo nani mwanasiasa kati hao msafi?Labda malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…