Elections 2015 Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!

Elections 2015 Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!

Hizo mbwembwe tu,Ccm wenyewe hawawezi kamwe kumpitisha mtu mwingine zaidi ya Lowasa hizo zote porojo.
 
Wanabodi,

Hii ni tetesi ya habari mbaya kwa wapenzi wa kipenzi cha watu, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kuwa pamoja na Mhe. Lowassa kuwa ndie mtu anayekubalika sana kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya CCM, wale wasiolitakia mema taifa hili, wamepania kupanga njama za kumhujumu kwa kuhakikisha kuwa jina lake halitaingia hata ndani ya kikao cha CC kujadiliwa!, wamepanga kumchinjia baharini kwenye kamati ya maadili, itakayoyajadili majina wagombea kabla ya kuyaingiza kwenye Kamati Kuu, kujadiliwa!.

Lengo la hujuma hiyo ni kufuatia Lowassa kukubalika kupindukia, jina lake likifika tuu CC, hakuna wa kumkata, hivyo wahafidhina wa CCM, wanaounga mkono kambi ya mmoja wa wagombea, wameapa kuhakikisha jina la Lowassa, halivuki kisingiti cha kamati ya maadili, hivyo kumchinjia rasmi baharini, ili mgombea wao apete kwa mteremko!.

Naomba nisitaje chanzo cha habari hizi, kwa kutumia kanuni ya "the confidentiality of the source"
ila kwa vile hizi ni tetesi tuu, zitakapothibitika ndipo nitaweka source!.

Kama kawaida yetu jf, habari kama hizi ambazo hazijathibitishwa, zimeletwa humu hivi hivi zilivyopokelewa, ili wewe kama mwana jf, be the first to know!, na information is power!, hivyo kutoa fursa kwa wenye uwezo wa kuizuia hii mipango dhalimu inayopangwa, kutaka kuwakosesha Watanzaia mgombea kipenzi chao, chaguo la wengi, na mwenye uwezo usio tia shaka kuyamaliza matatizo yote ya taifa letu Tanzania.

Hii ni thread ya info tip, tuu, hivyo naomba nisiulizwe swali lolote kuhusu hii news tip for your info tuu.

NB. Chama cha Mapinduzi ni taasisi huru yenye uwezo wa kufanya shughuli zake kwa uhuru vile ambavyo wataona wenyewe inafaa, ikiwemo vigezo na jinsi ya kuwachagua wagombea wake, ila kwa sisi ambao ni wakereketwa wa mustakali mwema wa nchi hii, kamwe hatutakubali, kuona watu wenye uwezo na wanaokubalika na wengi, wakienguliwa kwa mizengwe tuu, kitu ambacho CCM imekuwa ikikifanya mara nyingu huko nyuma na labda ni kweli ndicho walichopanga kukifanya mwaka huu!, yaani CCM imekuwa ikiwaengua wagombea wazuri kwa mizengwe na ikabaki salama!, lakini this time, nimewasikia baadhi ya wana CCM kindakindaki, kuwa wamejiapiza, this time CCM ikimuengua chaguo lao kwa mizengwe, patachimbika!.

Pasco
With all the respect to you brother, Tuwe serious Pasco hii nchi ikitokea "genge"/kundi la EL ndo limeshinda uchaguzi uchaguzi unadhani kutakuwa na maskini wa kukaa kweli?Labda hujui kundi lili nyuma yake? Hebu kwanza nianzishe uzi watu watoe maoni yao kama EL akiwa rais lipi litakuwa baraza lake la mawaziri "ukizingatia lisemwalo lipo" then uje uniambie kama huyu bwana anatufaa!Tusicheze na nafasi nyeti ya urais kwa ushabiki mwepesi huu!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikuhakikishie bwana Pasco, Nape Nnauye kwa mdomo wake alinitamkia kuwa "Endapo Lowassa atajitokeza kugombea, basi jina lake litakatwa katika hatua za mwanzo kabisa"

Ni ndoto za mchana kwa Lowassa kupitishwa na chama chake eti awanie urais! Ni ndoto za mchana!
Na mimi ngoja nikwambie,huyo Nape 2005 alijiapiza JK akiwa Rais atahama Nchi,yuko wapi sasa? Huyo Nape ni vuvuzela tu hana impact yoyote ndani ya Magamba.
 
Last edited by a moderator:
With all the respect to you brother, Tuwe serious Pasco hii nchi ikitokea "genge"/kundi la EL ndo limeshinda uchaguzi uchaguzi unadhani kutakuwa na maskini wa kukaa kweli?Labda hujui kundi lili nyuma yake? Hebu kwanza nianzishe uzi watu watoe maoni yao kama EL akiwa rais lipi litakuwa baraza lake la mawaziri "ukizingatia lisemwalo lipo" then uje uniambie kama huyu bwana anatufaa!Tusicheze na nafasi nyeti ya urais kwa ushabiki mwepesi huu!

2005 mbona tulimwacha Mzee Salim kwa kuzidiwa kete na hao hao kina Lowassa?Au wakati huo hatukucheza na nafasi nyeti ya Urais?
 
Last edited by a moderator:
Kitakachofanyika ni kama kile alichofanyiwa John. Atakuwa mwanakamati kwenye ile kamati ya kuteua jina la mgombea urais kupitia CCM. Ole wake akatae kushiriki kwenye kamati hiyo. Nawaza...!
 
Kwa mtindo huu, na ushabiki wa kipuuzi, hii nchi itaongozwa na makahaba siku moja

Huyo anayepigiwa chapuo atuambie sakata la richmond na ufisadi alihusikaje kabla hatujampa kura zetu
 
Wanabodi,

Hii ni tetesi ya habari mbaya kwa wapenzi wa kipenzi cha watu, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kuwa pamoja na Mhe. Lowassa kuwa ndie mtu anayekubalika sana kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya CCM, wale wasiolitakia mema taifa hili, wamepania kupanga njama za kumhujumu kwa kuhakikisha kuwa jina lake halitaingia hata ndani ya kikao cha CC kujadiliwa!, wamepanga kumchinjia baharini kwenye kamati ya maadili, itakayoyajadili majina wagombea kabla ya kuyaingiza kwenye Kamati Kuu, kujadiliwa!.

Lengo la hujuma hiyo ni kufuatia Lowassa kukubalika kupindukia, jina lake likifika tuu CC, hakuna wa kumkata, hivyo wahafidhina wa CCM, wanaounga mkono kambi ya mmoja wa wagombea, wameapa kuhakikisha jina la Lowassa, halivuki kisingiti cha kamati ya maadili, hivyo kumchinjia rasmi baharini, ili mgombea wao apete kwa mteremko!.

Naomba nisitaje chanzo cha habari hizi, kwa kutumia kanuni ya "the confidentiality of the source"
ila kwa vile hizi ni tetesi tuu, zitakapothibitika ndipo nitaweka source!.

Kama kawaida yetu jf, habari kama hizi ambazo hazijathibitishwa, zimeletwa humu hivi hivi zilivyopokelewa, ili wewe kama mwana jf, be the first to know!, na information is power!, hivyo kutoa fursa kwa wenye uwezo wa kuizuia hii mipango dhalimu inayopangwa, kutaka kuwakosesha Watanzaia mgombea kipenzi chao, chaguo la wengi, na mwenye uwezo usio tia shaka kuyamaliza matatizo yote ya taifa letu Tanzania.

Hii ni thread ya info tip, tuu, hivyo naomba nisiulizwe swali lolote kuhusu hii news tip for your info tuu.

NB. Chama cha Mapinduzi ni taasisi huru yenye uwezo wa kufanya shughuli zake kwa uhuru vile ambavyo wataona wenyewe inafaa, ikiwemo vigezo na jinsi ya kuwachagua wagombea wake, ila kwa sisi ambao ni wakereketwa wa mustakali mwema wa nchi hii, kamwe hatutakubali, kuona watu wenye uwezo na wanaokubalika na wengi, wakienguliwa kwa mizengwe tuu, kitu ambacho CCM imekuwa ikikifanya mara nyingu huko nyuma na labda ni kweli ndicho walichopanga kukifanya mwaka huu!, yaani CCM imekuwa ikiwaengua wagombea wazuri kwa mizengwe na ikabaki salama!, lakini this time, nimewasikia baadhi ya wana CCM kindakindaki, kuwa wamejiapiza, this time CCM ikimuengua chaguo lao kwa mizengwe, patachimbika!.

Pasco
Pasco naapa tutagawana mbao,misumari na mapaa hakuna namna tutakubali kiongozi anayependwa na kuhitajiwa na watu akikatwa jina nakuhakikishia zile zama eti ccm usiifananishe na Kanu hawataamini believe me,huku site upepo wa Edward ni tofauti na wanavyojua hali ni tete edward mpaka watoto wanamtaja
 
Pasco naapa tutagawana mbao,misumari na mapaa hakuna namna tutakubali kiongozi anayependwa na kuhitajiwa na watu akikatwa jina nakuhakikishia zile zama eti ccm usiifananishe na Kanu hawataamini believe me,huku site upepo wa Edward ni tofauti na wanavyojua hali ni tete edward mpaka watoto wanamtaja
Kweli wanamtaja ila wanamtaja kwa lipi, kwa mfano mie wanangu wanamtaja Lowasa kama waziri aliacha kazi baada ya kugundulika kaiba hela za serikali "ingawa sio hivyo pengine"
 
Can we dare talk openly!???starting to doubt!!!!!.I thought we can do simple research and have real answers to our best chances! Then use them to make conclusions
CC @Mods
 
Matatizo ya nchi hii ni Mengi sana kwa nini hatuyajadili na kutafuta ufumbuzi tunaishia kumjadili Lowasa?? Haya sio matatizo ya watanzania kwa sasa.
 
Mwaka huu tutavunja record nyingine duniani FISADI awe raisi ?Tanzania my country akitaka aupate uraisi namshauri EL awe muwazi atuaambie hadharani deal la Richmond alipiga na nani huko CCM hiko ndo kizingiti kinachomwangamiza

Atuambie na kwanini TTCL ni masikini ...?
 
With all the respect to you brother, Tuwe serious Pasco hii nchi ikitokea "genge"/kundi la EL ndo limeshinda uchaguzi uchaguzi unadhani kutakuwa na maskini wa kukaa kweli?Labda hujui kundi lili nyuma yake? Hebu kwanza nianzishe uzi watu watoe maoni yao kama EL akiwa rais lipi litakuwa baraza lake la mawaziri "ukizingatia lisemwalo lipo" then uje uniambie kama huyu bwana anatufaa!Tusicheze na nafasi nyeti ya urais kwa ushabiki mwepesi huu!




Kiongozi mzuri anachagua mawaziri wenye uwezo sio urafiki.

Hata mtu kama Paulo Makonda anaweza akapata hata ukuu wa mkoa endapo Lowasa atapata urais.Hii nchi sio ya Lowasa hivyo uwezo wa mtu ndio kigezo cha kumpata waziri na Lengo la kiongozi bora yeyote ni kuleta maendeleo sio kuongea na kujipendekeza kama yalivyo makundi tunayoona yakijinadi kwa maneno matupu.

Kusema kuwa atawapata wapi watu wa kushika nafasi ya uwaziri ni jambo la ajabu kabisa. CCM ina wabunge zaidi ya 200 na bado rais ana nafasi 10 za kuteua sasa atakosa vipi mawaziri.
Hapa ndipo panapowafanya watanzania wachukie na kukataa fitina za makundi mengine yanye wagombea wao wa kwenye magunia ambao hawataki kuwatoa zaidi ya kuwanadi wakiwa ndani ya gunia.

Mfano kuna kipindi Magufuli aliachwa kwenye nafasi ya waziri wa ujenzi lakini baadae akaonekana bado anafaa eneo hilo.Uwezo wake ndio uliompa nafasi sio urafiki au mtandao.

Tuepuke haya makundi yanayotaka kwenda kwa kueneza chuki.Tuig ikulu e nchi zenye demokrasia kama Marekani ambapo vyama tofauti lakini uchaguzi ukipita wanarudi mezani.

Hofu inayoonekana kutoka kwenye mahasimu wa Lowasa ni jinsi wanavyotumia muda mwingi kumtukana hadharani na mitandaoni ;wengine mpaka kufurahia vifo vya marafiki wanaomuunga mkono Lowasa kama kifo cha Capt Komba. Hali hii ndio inayowapa hofu kuwa akiingia madarakani atalipiza kisasi.

Kwa mfano Lowasa akiingia madarakani kuna watu wenye uwezo hivyo hawezi kuwaacha muda wote nche ya baraza la mawaziri endapo atachunguza na kugundua kuwa hawakuwa na ubadhirifu kwenye wizara zao.

Aibu ,Ndani ya Chama kimoja lakini kuna vinyongo na fitina nyingi kisa madaraka.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Hii ni tetesi ya habari mbaya kwa wapenzi wa kipenzi cha watu, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kuwa pamoja na Mhe. Lowassa kuwa ndie mtu anayekubalika sana kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya CCM, wale wasiolitakia mema taifa hili, wamepania kupanga njama za kumhujumu kwa kuhakikisha kuwa jina lake halitaingia hata ndani ya kikao cha CC kujadiliwa!, wamepanga kumchinjia baharini kwenye kamati ya maadili, itakayoyajadili majina wagombea kabla ya kuyaingiza kwenye Kamati Kuu, kujadiliwa!.

Lengo la hujuma hiyo ni kufuatia Lowassa kukubalika kupindukia, jina lake likifika tuu CC, hakuna wa kumkata, hivyo wahafidhina wa CCM, wanaounga mkono kambi ya mmoja wa wagombea, wameapa kuhakikisha jina la Lowassa, halivuki kisingiti cha kamati ya maadili, hivyo kumchinjia rasmi baharini, ili mgombea wao apete kwa mteremko!.

Naomba nisitaje chanzo cha habari hizi, kwa kutumia kanuni ya "the confidentiality of the source"
ila kwa vile hizi ni tetesi tuu, zitakapothibitika ndipo nitaweka source!.

Kama kawaida yetu jf, habari kama hizi ambazo hazijathibitishwa, zimeletwa humu hivi hivi zilivyopokelewa, ili wewe kama mwana jf, be the first to know!, na information is power!, hivyo kutoa fursa kwa wenye uwezo wa kuizuia hii mipango dhalimu inayopangwa, kutaka kuwakosesha Watanzaia mgombea kipenzi chao, chaguo la wengi, na mwenye uwezo usio tia shaka kuyamaliza matatizo yote ya taifa letu Tanzania.

Hii ni thread ya info tip, tuu, hivyo naomba nisiulizwe swali lolote kuhusu hii news tip for your info tuu.

NB. Chama cha Mapinduzi ni taasisi huru yenye uwezo wa kufanya shughuli zake kwa uhuru vile ambavyo wataona wenyewe inafaa, ikiwemo vigezo na jinsi ya kuwachagua wagombea wake, ila kwa sisi ambao ni wakereketwa wa mustakali mwema wa nchi hii, kamwe hatutakubali, kuona watu wenye uwezo na wanaokubalika na wengi, wakienguliwa kwa mizengwe tuu, kitu ambacho CCM imekuwa ikikifanya mara nyingu huko nyuma na labda ni kweli ndicho walichopanga kukifanya mwaka huu!, yaani CCM imekuwa ikiwaengua wagombea wazuri kwa mizengwe na ikabaki salama!, lakini this time, nimewasikia baadhi ya wana CCM kindakindaki, kuwa wamejiapiza, this time CCM ikimuengua chaguo lao kwa mizengwe, patachimbika!.

Pasco

sheria ya CYBER CRIME inakuja mkuu so habari kama hizi unatakiwa uwe na evedence ama sivyo andaa 50m ama ndani 5 years so mkuu bora tuanze utamaduni wa kuwa na source ya habari na ukweli wake kabla haijaruka JF.Ila tupige fasta fasta kabla sheria haijapata meno.hawa jamaa watu wengine wao wanasonga mbele sisi wanaturudisha kwenye ujima.possible only in Tanzania
 
Mwaka huu tutavunja record nyingine duniani FISADI awe raisi ?Tanzania my country akitaka aupate uraisi namshauri EL awe muwazi atuaambie hadharani deal la Richmond alipiga na nani huko CCM hiko ndo kizingiti kinachomwangamiza

Afadhali ya fisadi atakayekaa Ikulu atafune huku anafanya kazi kuliko fisadi wa kukaa Ikulu akiwa amekunja mikono kusubiri migao alitendalo kwa umma halionekani; after all nani sio fisadi nchi hii? hebu nitajie mmoja tumpe Uraisi huyo
 
Na mimi ngoja nikwambie,huyo Nape 2005 alijiapiza JK akiwa Rais atahama Nchi,yuko wapi sasa? Huyo Nape ni vuvuzela tu hana impact yoyote ndani ya Magamba.
Ridhiwan Kikwete naye akasema Lowasa akiwa rais anahama nchi. Guess who is behind Ridhiwan! Mwacheni Lowasa aharibu pesa yake tu, soon atajua sikio haliwezi kuzidi kichwa.
 
Lowassa bado sana kumpa nchi nadhani ubunge wa Monduli ndio saizi yake.
 
Ridhiwan Kikwete naye akasema Lowasa akiwa rais anahama nchi. Guess who is behind Ridhiwan! Mwacheni Lowasa aharibu pesa yake tu, soon atajua sikio haliwezi kuzidi kichwa.

..hivi Mkapa naye akiwa Raisi na Mwenyekiti wa CCM si alijiapiza kwamba atawakomesha wanamtandao?

..nini kilimtokea na dakika za mwisho kabisa akabadili msimamo na kumuunga mkono mgombea "anayependwa" na wananchi?

..najua CCM imepata kuwaengua watu wazito kama Cygwiyemwisi John Malecela, lakini sidhani kama Lowassa na wanaomuunga mkono are push overs kama Malecela.

cc Nyamizi, Pasco
 
Last edited by a moderator:
With all the respect to you brother, Tuwe serious Pasco hii nchi ikitokea "genge"/kundi la EL ndo limeshinda uchaguzi uchaguzi unadhani kutakuwa na maskini wa kukaa kweli?Labda hujui kundi lili nyuma yake? Hebu kwanza nianzishe uzi watu watoe maoni yao kama EL akiwa rais lipi litakuwa baraza lake la mawaziri "ukizingatia lisemwalo lipo" then uje uniambie kama huyu bwana anatufaa!Tusicheze na nafasi nyeti ya urais kwa ushabiki mwepesi huu!

BARAZA LA MAWAZIRI LA LOWASSA
  1. Waziri Mkuu Professor Juma Kapuya
  2. Waziri Maliasili na Utalii Mghana Msindai
  3. Waziri wa Nishati na Madini William Ngereja
  4. Bunge Sera na Uratibu Hamis Mgeja
  5. Wanawake na Watoto Sophia Simba
  6. Habari Michezo na Utamaduni Beatrice Shelukindo

Jazeni wengine, halafu eti hawa ndio tunategemea kutuletea mabadiliko Tanzania, utani mwingine umepitiliza!
 
Ngoja nikuhakikishie bwana Pasco, Nape Nnauye kwa mdomo wake alinitamkia kuwa "Endapo Lowassa atajitokeza kugombea, basi jina lake litakatwa katika hatua za mwanzo kabisa"

Ni ndoto za mchana kwa Lowassa kupitishwa na chama chake eti awanie urais! Ni ndoto za mchana!

Kwa mantiki hiyo, ni ndoto kwa CCM kushinda uchaguzi 2015
 
Back
Top Bottom