Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

 
mkuuu ulikuwa wapi mfugaji nahuja alikuwa anatafuta wa kumfuga kiben11 sijui keshapata embu mchekiii mkuu au mtag kabisaaa
nahuja si maneno yangu nimejikuta tuu naandika [emoji23]
Yule si alikuwa mjamzito mkuu
 
Nyimbo ya kukutia moyo Jaguar huu mwaka lizima nipateee kama njau umemupa na fulani umemupa lazima na mi nipateee in jaguar voice
Mungu akutangulie kwenye harakati zako mkuu
Amna noma niweke kwenye maombi yako ili zali linidondokee
 
Kwa hiyo ukisoma Engineering hapaswi kuwa na mtazamo tofauti na wako? Hapaswi kuwaza na kufikili nje ya field yake? Unafikiri kwa utaratibu huo kila facult inapaswa kuwa na dunia yake sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…