Licha ya kuwa namba 1 kwa viwanda Tanzania Mkoa wa Pwani ni kati ya Mikoa 10 masikini

Licha ya kuwa namba 1 kwa viwanda Tanzania Mkoa wa Pwani ni kati ya Mikoa 10 masikini

Nimezingumzia viwanda Malila na sio vile viwanda vya ccm
. Viwanda vya saruji
. Viwanda vya Nondo
. Viwanda vya sabuni
. Viwanda vya vigae
. Viwanda vya shurubati
. Viwanda vya maji
. Vuwanda vya mabati
. Viwanda vya nishati mbadala
. Viwanda vya luninga
. Viwanda vya pembejeo za kilimo
. Viwanda vya magari
. Viwanda vya vyakula
. Viwanda vya mifugo
. Viwanda vya chuma
. Viwanda vya nguo
. Viwanda vya vyombo vya plastic
. Viwanda vya vifaa vya ujenzi nk nk

Hivi vyote hakuna kiwanda kinachopungua wafanyakazi 50 na uwekezaji wa kuanzia $ 500,000/= na eneo lisilopungua ekari moja

Sent using Jamii Forums mobile app
NONDO SI WANATUMIA CHUMA CHAKAVU AMBACHO KILITOKA VIWANDANI ??/, WAPI WANACHONGA CRANKCASE ZA MAGARI TANZANIA ??? PIKIPIKI IKIWA NDANI YA BOX NA IKAJA PALE MKURANGA NA MAFUNDI WAKAIUNGANISHA, NACHO NI KIWANDA???
 
KUNA HAJA YA KUPATA MANENO SAHIHI YA HII MISAMIATI YA KIINGLISHI KWENYE KISWAHILI CHETU, INDUSTRIES, PLANTS, FACTORIES, WORKSHOPS, GARAGES AND ASSEMBLY WAREHOUSES.
 
NONDO SI WANATUMIA CHUMA CHAKAVU AMBACHO KILITOKA VIWANDANI ??/, WAPI WANACHONGA CRANKCASE ZA MAGARI TANZANIA ??? PIKIPIKI IKIWA NDANI YA BOX NA IKAJA PALE MKURANGA NA MAFUNDI WAKAIUNGANISHA, NACHO NI KIWANDA???
Kuna mahali nimetaja kiwanda cha pikipiki?
Nondo ndio inatumia chuma.. Unajua hicho chuma kinafanywaje mpaka nondo ipatikane?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali nimetaja kiwanda cha pikipiki?
Nondo ndio inatumia chuma.. Unajua hicho chuma kinafanywaje mpaka nondo ipatikane?

Sent using Jamii Forums mobile app
MI NIMEPANUA MJADALA MAANA UKISHALETA JAMBO HAPA LINAKUWA MALI YA JUKWAA, TUNAWEZA KULINYUMBULISHA VILE TUTAKAVYOONA INAFAA. NIMETAJA BODA BODA SBB NILIWAHI KUMWONA MTU ANASEMA NACHO NI KIWANDA. MKOA WA PWANI UNA SHUGHULI ZA ASSEMBLING NYINGI SANA NDO ZINGINE ZINAITWA VIWANDA.
 
Kigoma imejinasua?

Itakua ndio kwenu, Mungu kawaona na mtapaa zaidi ile bandari kavu ikiisha, reli ya SGR ikifika huko halafu waha mnajituma kwa kuchapa kazi sana na kwa sasa mmeenda shule na kiasi miji yenu mnaijenga hivo sio muda mtakua matajiri fursa mnazo
 
Kuna mahali nimetaja kiwanda cha pikipiki?
Nondo ndio inatumia chuma.. Unajua hicho chuma kinafanywaje mpaka nondo ipatikane?

Sent using Jamii Forums mobile app
MI NIMEJIKITA INAPOTOKA MALIGHAFI YA HIYO NONDO, NAJUA KUNASEHEMU NONDO ZINATENGENEZWA NCHINI, HOJA YANGU IPO KWENYE KIWANDA MAMA CHA VYUMA KIPO WAPI??
 
MI NIMEJIKITA INAPOTOKA MALIGHAFI YA HIYO NONDO, NAJUA KUNASEHEMU NONDO ZINATENGENEZWA NCHINI, HOJA YANGU IPO KWENYE KIWANDA MAMA CHA VYUMA KIPO WAPI??

Tanzania hakuna kiwanda cha Chuma, isipukua ni formular ya uyeyushaji wa vyuma chakavu na kuvipa maumbo ya nondo na muda mwingine huagiza china, kazungumzia mabati kinachofanyika pale ni kununua mashine za kufanya moulding ya zile roller za sheets ambazo wanaagiza china na afrika kusini, kwenye tv hawana kiwanda wana assemble tu kila kitu hutengenezwa china, kwenye magari hawana kiwanda ni kila kitu kinatoka nje wao huunganisha parts zile na kupata gari, sema pwani wangejikita kwenye kilimo maana ardhi yao ina rutba ndio maana imevamiwa na wasukuma kwa wingi, kazungumzia kiwanda cha sharubati au kiwanda cha juice hizi za sayona, azam ukifika huko viwandani wafanyakazi wengi ni waha kutoka kigoma hivo hata mapato mengi hupelekwa kwao hayabaki pwani,
 
MI NIMEPANUA MJADALA MAANA UKISHALETA JAMBO HAPA LINAKUWA MALI YA JUKWAA, TUNAWEZA KULINYUMBULISHA VILE TUTAKAVYOONA INAFAA. NIMETAJA BODA BODA SBB NILIWAHI KUMWONA MTU ANASEMA NACHO NI KIWANDA. MKOA WA PWANI UNA SHUGHULI ZA ASSEMBLING NYINGI SANA NDO ZINGINE ZINAITWA VIWANDA.
Nami nimekuuliza kama nimetaja hicho kwakuwa nimekupa na
Ukubwa wa eneo
Kiasi cha uwekezaji
Idadi ya wafanyakazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAZIMA HUMU,
TUSIPOTOFAUTISHA KATI YA ASSEMBLING CENTERS NA PLANTS, TUTAENDELEA KUDANGANYANA KUWA KUUNGANISHA BODA BODA NI PLANT. ZINGINE NI GARAGE ZILIZO CHANGAMKA, NA ZINGINE NI WORKSHOP ZILIZOENDA SHULE, ZOTE TUNAZIITA VIWANDA.

Word.
 
WAZIMA HUMU,
TUSIPOTOFAUTISHA KATI YA ASSEMBLING CENTERS NA PLANTS, TUTAENDELEA KUDANGANYANA KUWA KUUNGANISHA BODA BODA NI PLANT. ZINGINE NI GARAGE ZILIZO CHANGAMKA, NA ZINGINE NI WORKSHOP ZILIZOENDA SHULE, ZOTE TUNAZIITA VIWANDA.

Kasome kule nilikua sijaona kumbe ulimaliza mapema juu ya Pwani, sawa na wengine watasema wana viwanda vya mitungi ya gesi pwani wakati mitungi wanaagiza nje iliyo plain na kuichora majina na kununua gesi na kwenda kuijaza kwenye center zao, watakueleza wanaviwanda vya lubricants wakati hufuata nje kwa tonnes na kuja kufanya filling kwenye makopo yao ambayo wameyachorachora majina yao
 
Tanzania hakuna kiwanda cha Chuma, isipukua ni formular ya uyeyushaji wa vyuma chakavu na kuvipa maumbo ya nondo na muda mwingine huagiza china, kazungumzia mabati kinachofanyika pale ni kununua mashine za kufanya moulding ya zile roller za sheets ambazo wanaagiza china na afrika kusini, kwenye tv hawana kiwanda wana assemble tu kila kitu hutengenezwa china, kwenye magari hawana kiwanda ni kila kitu kinatoka nje wao huunganisha parts zile na kupata gari, sema pwani wangejikita kwenye kilimo maana ardhi yao ina rutba ndio maana imevamiwa na wasukuma kwa wingi, kazungumzia kiwanda cha sharubati au kiwanda cha juice hizi za sayona, azam ukifika huko viwandani wafanyakazi wengi ni waha kutoka kigoma hivo hata mapato mengi hupelekwa kwao hayabaki pwani,
CHUKUA MAUA YAKO MKUU
 
Kasome kule nilikua sijaona kumbe ulimaliza mapema juu ya Pwani, sawa na wengine watasema wana viwanda vya mitungi ya gesi pwani wakati mitungi wanaagiza nje iliyo plain na kuichora majina na kununua gesi na kwenda kuijaza kwenye center zao, watakueleza wanaviwanda vya lubricants wakati hufuata nje kwa tonnes na kuja kufanya filling kwenye makopo yao ambayo wameyachorachora majina yao
TRUE.
LABDA TUCHUKUE MFANO WA TIPER ENZI ZAKE PALE KIGAMBONI,
CRUDE OIL IKIINGIA NA BAADA YA DISTILLATION TULIKUWA TUNAPATA PRODUCTS NYINGI ZA MAFUTA MPAKA GAS, BADO ZILE TAKA NGUMU ZA DISTILLATION ( MFANO, BITUMEN) TULIKUWA TUNAICHUKUA KUWA MALI GHAFI YA KUPATA LAMI NYEPESI AINA KAMA TANO HIVI, ULE ULIKUWA MFANO HALISI WA PLANT.

SASA HIZI ZA KUAGIZA FLAVOUR/CONCENTRATES ZA VINYWAJI TOKA NJE NAVYO TUNASEMA VIWANDA
 
TRUE.
LABDA TUCHUKUE MFANO WA TIPER ENZI ZAKE PALE KIGAMBONI,
CRUDE OIL IKIINGIA NA BAADA YA DISTILLATION TULIKUWA TUNAPATA PRODUCTS NYINGI ZA MAFUTA MPAKA GAS, BADO ZILE TAKA NGUMU ZA DISTILLATION ( MFANO, BITUMEN) TULIKUWA TUNAICHUKUA KUWA MALI GHAFI YA KUPATA LAMI NYEPESI AINA KAMA TANO HIVI, ULE ULIKUWA MFANO HALISI WA PLANT.

SASA HIZI ZA KUAGIZA FLAVOUR/CONCENTRATES ZA VINYWAJI TOKA NJE NAVYO TUNASEMA VIWANDA

Kabisa tipper ilikua inatuacha hadi na malighafi za kutengeneza bidhaa za plastic, hao akina jambo, azam, sayona, mo, hayo majuice yao ni kuagiza unga, sukari ya viwandani wanatoa zao brazil, wakiingiza kwenye mitambo yao na kujaza gesi ya kutunzia basi tunasema viwanda, kiwanda ni process ndefu sana huko waafrika wengi hatupo sisi tunapenda kutafuniwa na tumeze ndio maana impact ya hivo tunavyoita viwanda haipo kwenye mapato na uchumi wa kweli
 
Kabisa tipper ilikua inatuacha hadi na malighafi za kutengeneza bidhaa za plastic, hao akina jambo, azam, sayona, mo, hayo majuice yao ni kuagiza unga, sukari ya viwandani wanatoa zao brazil, wakiingiza kwenye mitambo yao na kujaza gesi ya kutunzia basi tunasema viwanda, kiwanda ni process ndefu sana huko waafrika wengi hatupo sisi tunapenda kutafuniwa na tumeze ndio maana impact ya hivo tunavyoita viwanda haipo kwenye mapato na uchumi wa kweli
THANKS,
KWA HIYO WATU WAJUE KUWA HAPA KWETU VIWANDA MAMA HAVIPO KABISA, ASILIMIA KUBWA TUNA PACKAGING WAREHOUSES, RECIRCLING, ASSEMBLING WORKSHOPS. ITOSHE KUSEMA KUWA TUNA SAFARI NDEFU MNO.

KAMA TUSINGEUA MITAMBO YA MBOLEA MIAKA ILE KULE TANGA, WALAU KIDOGO.
 
Ni viwanda vya wageni kwa asilimia 99
Mapato yote yanakimbizwa kwao taifa linaachiwa makombo
Wafanyakazi viwandani wanalipwa kiduchu na kazi ni masaa 12, wanachopata kinaishia kwenye matumizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tija ya viwanda ni kuajiri watu na ile multiplier effect na si kugawana faida na wenye viwanda,siyo mnazoza kila kitu hata msichokua na elimu nacho
 
KUNA HAJA YA KUPATA MANENO SAHIHI YA HII MISAMIATI YA KIINGLISHI KWENYE KISWAHILI CHETU, INDUSTRIES, PLANTS, FACTORIES, WORKSHOPS, GARAGES AND ASSEMBLY WAREHOUSES.
Kilugha au kichumi?
 
MKUU UNAWEZA KUNITAJIA VIWANDA VINNE VILIVYOPO MKOA WA PWANI ILI IWE REFERENCE YA KUJUA KIPI KIWANDA NA KIPI NI WORKSHOP/GARAGE AU WAREHOUSE
Kiwanda cha Vigae Mkiu,
Kiwanda cha vigae Kibaha
Kiwanda cha Vioo Mkiu
Kiwanda cha Chumvi Mkuranga
Kiwanda cha Gypsum Mkuranga
Kiwanda cha Yeboyebo
Kiwanda cha Taa za Honor
 
Wakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.

Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.

Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.

Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
Cc: Content Quality controller
 
Kwenu mna sura MBOVU wengi wenu na shape za dada zako kama funza yaani matumbo na vifua .

Wanaume ukija walevi wengi kuvaa nguo nyingi ,wachafu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Back
Top Bottom