YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hizo shape tu unaweza kutapika bado Ile harufu yao ya ulevi.
BOTHKilugha au kichumi?
Haiwezi kuwa bothBOTH
FAFANUA KICHUMI ILI TUFAIDI NA KISHA FAFANUA KILUGHA TUNAFAIDI TENA.Haiwezi kuwa both
Pesa yote inaenda Serikali kuu ila shughuli za Uchumi ziko Mikoa mbalimbali Kwa hiyo Kila kitu kinakuwa accounted for pale kilipofanyika na kuwa pesa.Kwani tuna majimbo Tanzania?serikali za mikoa zinapokea kodi? Au wanapeleka zote serikali kuu..huwa sielewagi huu mlinganyo kuwa mkoa mmoja umeendelea kuliko mwingine au a much stupid example ni kabila fulani limeendelea kuliko lingine
Kichumi industry ni wote wanaohusika na Hilo swala/uzalishaji,Kisha Kuna firm ndiyo Kama bakhresa na firm zake,ndani ya firm ndo Kuna plants,kilugha industry inachukuliwa tu Kama kile kinachozalisha mo extraFAFANUA KICHUMI ILI TUFAIDI NA KISHA FAFANUA KILUGHA TUNAFAIDI TENA.
Wakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.
Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.
Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.
Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
Kiwanda cha Vigae Mkiu,
Kiwanda cha vigae Kibaha
Kiwanda cha Vioo Mkiu
Kiwanda cha Chumvi Mkuranga
Kiwanda cha Gypsum Mkuranga
Kiwanda cha Yeboyebo
Kiwanda cha Taa za Honor
all coastal areas/lacustrine pwani,mtwara,lindi,etcKwa mujibu wa taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa 2022 kutoka NBS, Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi Tanzania.
Lakini licha kuwa na viwanda vingi, Pwani ni kati ya Mikoa 10 maskini Tanzania, yaani yenye Pato dogo zaidi (top 10 Lowest Regional GDP). Haya ndio madhara ya viwanda vinavyolipa watu elfu 7 kwa siku.
Orodha ya Mikoa Maskini kwa Pato (Regional Growth Domestic Product 2022) ni kama ifuatavyo;
1. Katavi - 2.297
2. Simiyu - 3.076
3. Songwe - 3.087
4. Njombe - 3.093
5. Singida - 3.190
6. Lindi - 3.384
7. Pwani - 3.429
8. Rukwa - 3.588
9. Kagera - 4.352
10. Mtwara - 4.686
Credit NBS, Tanzania in Figures 2022
View attachment 2708002View attachment 2708004
My Take
Hongera Mkoa wa Kigoma kwa kujikwamua kutoka mkiani.
Lakini cheap labourers as per Colonia literatures walikuwa wanatokea usukumani ,Kigoma nk mbona unawasingizia watu wa Pwani? Hao ni Watawala.all coastal areas/lacustrine pwani,mtwara,lindi,etc
this is traced back during colonial era...those areas reserved for production of cheap labourers/MANAMBA.Thus why were/are legging behind development.Poverty and other miserable life in those region has historical phenomenon.
Hujui historia acha kudanganya. Pwani haikuwahi kuwa reservation ya manamba wala kupata watumwa. Rudi kasome vizuriall coastal areas/lacustrine pwani,mtwara,lindi,etc
this is traced back during colonial era...those areas reserved for production of cheap labourers/MANAMBA.Thus why were/are legging behind development.Poverty and other miserable life in those region has historical phenomenon.
Tatizo la watu wa Njombe ubinafsi na roho ya kwanini hawapendi wageni??Watu wa Njombe mnaaibisha Mkoa wenu,tokeni Mikoa ya watu mje kuwekeza Mkoani kwenu
KivipiKilimanjaro, Dar es Salaam imekosewa
Kagera na umaskini ni kama uji na mgonjwa[emoji3][emoji3]instanbul The Great Haya Kama kawaida Kagera Huwa haikosekani kwenye mambo ya umaskini na magonjwa ya ajabu ajabu [emoji38][emoji38][emoji38]