darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pwani, wananchi wanalima mihogo, mboga mboga, mpunga, uvuvi ambao bado ni duni. Kuna viwanda vingapi vidogo na vya kati vinavyowezesha hayo? Kiwanda cha Nondo kujengwa pwani ni sawa lkn kinaweza kisiwe na faida yoyote katika household income ya mzaramo kwani kinaweza kuajiri pia kutoka mbali.Kwa nini?
Tatu, population kubwa ya Pwani ndio hio hio utaikuta imewekewa Dar. Kuna movement kubwa na muingiliano kati ya wakazi wa pWani na Dar. Si rahisi kujua Mzaramo,Mndengereko kama ni WA Dar au Pwani. Nyumba Dar lakini keshokutwa utakuta PwaniPwani, wananchi wanalima mihogo, mboga mboga, mpunga, uvuvi ambao bado ni duni. Kuna viwanda vingapi vidogo na vya kati vinavyowezesha hayo? Kiwanda cha Nondo kujengwa pwani ni sawa lkn kinaweza kisiwe na faida yoyote katika household income ya mzaramo kwani kinaweza kuajiri pia kutoka mbali.
Pili sera zetu hazilazimishi kuajiri % flan kutoka ndani ya wilaya husika
Hahaaaaa. Nimepata nyongezaTatu, population kubwa ya Pwani ndio hio hio utaikuta imewekewa Dar. Kuna movement kubwa na muingiliano kati ya wakazi wa pWani na Dar. Si rahisi kujua Mzaramo,Mndengereko kama ni WA Dar au Pwani. Nyumba Dar lakini keshokutwa utakuta Pwani
Umbwaaa
Kabisa..WAZIMA HUMU,
TUSIPOTOFAUTISHA KATI YA ASSEMBLING CENTERS NA PLANTS, TUTAENDELEA KUDANGANYANA KUWA KUUNGANISHA BODA BODA NI PLANT. ZINGINE NI GARAGE ZILIZO CHANGAMKA, NA ZINGINE NI WORKSHOP ZILIZOENDA SHULE, ZOTE TUNAZIITA VIWANDA.
mjadala unaongeleea viwanda na uchumi ww unaleta udinii , huwez kujadili kitu mpka ugusie imani za watuWakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.
Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.
Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.
Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
Ni viwanda vya wageni kwa asilimia 99Kwa mujibu wa taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa 2022 kutoka NBS, Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi Tanzania.
Lakini licha kuwa na viwanda vingi, Pwani ni kati ya Mikoa 10 maskini Tanzania, yaani yenye Pato dogo zaidi (top 10 Lowest Regional GDP). Haya ndio madhara ya viwanda vinavyolipa watu elfu 7 kwa siku.
Orodha ya Mikoa Maskini kwa Pato (Regional Growth Domestic Product 2022) ni kama ifuatavyo;
1. Katavi - 2.297
2. Simiyu - 3.076
3. Songwe - 3.087
4. Njombe - 3.093
5. Singida - 3.190
6. Lindi - 3.384
7. Pwani - 3.429
8. Rukwa - 3.588
9. Kagera - 4.352
10. Mtwara - 4.686
Credit NBS, Tanzania in Figures 2022
View attachment 2708002View attachment 2708004
My Take
Hongera Mkoa wa Kigoma kwa kujikwamua kutoka mkiani.
Ndio kwani vipi?Kigoma imejinasua?
Hiyo movement yenye muingiliano mbona hatuoni positive effects yake Kwa Mkoa wa Pwani?Tatu, population kubwa ya Pwani ndio hio hio utaikuta imewekewa Dar. Kuna movement kubwa na muingiliano kati ya wakazi wa pWani na Dar. Si rahisi kujua Mzaramo,Mndengereko kama ni WA Dar au Pwani. Nyumba Dar lakini keshokutwa utakuta Pwani
Hao hizo shape tu unaweza kutapika bado Ile harufu yao ya ulevi.
Kote Pwani haipo maana still inategemea Ukubwa wa GDP ya Mkoa vs populationNionavyo mimi GDP per Capita ndio ingendeza zaidi kulinganisha umaskini wa mikoa.
Hilo li darcity ni punga tu. Bwabwa jinga.Hiyo movement yenye muingiliano mbona hatuoni positive effects yake Kwa Mkoa wa Pwani?
MKUU UNAWEZA KUNITAJIA VIWANDA VINNE VILIVYOPO MKOA WA PWANI ILI IWE REFERENCE YA KUJUA KIPI KIWANDA NA KIPI NI WORKSHOP/GARAGE AU WAREHOUSENi viwanda vya wageni kwa asilimia 99
Mapato yote yanakimbizwa kwao taifa linaachiwa makombo
Wafanyakazi viwandani wanalipwa kiduchu na kazi ni masaa 12, wanachopata kinaishia kwenye matumizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezingumzia viwanda Malila na sio vile viwanda vya ccmMKUU UNAWEZA KUNITAJIA VIWANDA VINNE VILIVYOPO MKOA WA PWANI ILI IWE REFERENCE YA KUJUA KIPI KIWANDA NA KIPI NI WORKSHOP/GARAGE AU WAREHOUSE