Licha ya kuwa namba 1 kwa viwanda Tanzania Mkoa wa Pwani ni kati ya Mikoa 10 masikini

[emoji3][emoji3]
 
Kisa mliachiwa mali za mkoloni na kumng'ang'ania wazee wako hawakutaka uhuru kabisa [emoji28][emoji28].

Miaka 60 na kitu ya uhuru bado hamjui kusafisha meno..
Ndo maana matajiri ni nyir wagalatia hapa bongo pekee.
Wewe kule kwenu lushoto kumechakaa mnajua kulogana tu
 
Ebu acha kujizima data utapataje maendeleo Kwa mshahara wa mchina wa laki Moja na nusu Kwa mwezi? Huko kwenye viwanda ndo Kuna unyonyaji ulipitiliza
 

View: https://www.instagram.com/p/DHEeCokoe6v/?igsh=MXd2cnF1amE5MDRlbA==
 
Viwanda vingi pwani ni magofu,stores na assemble point. Ajabu CCM ikaamua kuifanya ajenda ya kujibeba kwamba imafanikiwa kuleta maendeleo kiuchumi

Dodoma ni mji wa kisiasa hakuja jipya kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…