Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Siku za karibuni watanzania wamekuwa wakishangazwa na yanayoendelea, ni kama walikuwa kwenye usingizi mzito wasijue ni nini kinachoendelea lakini kadiri usingizi unavyoisha ndivyo wanabaki kufurahi.
Baadhi ya vitu vinavyoshangaza na vimekuwa kama ndoto ya kutisha ni kama:
I) Iliwezekanaje January na Nape kurudi uongozini baada ya yale yote waliyofanya?
II) iliwezekanaje Rugemalira akawa nje licha ya yote tuliyosikia juu yake?
III) Imewezekanaje mwenye kesi ya kujibu mahakama( Makonda) kuwa mshtaki?
IV) Iliwezekanaje Lawewnce Mafuru na Nehemia mchechu kurudi ?
V) Imewezekanaje Polepole ambaye suala lake la utovu wa nidhamu likiwa bado linajadiliwa ateuliwa ubalozi?
V) Imewezekanaje mtu aliyefunguliwa kesi ya ugaidi kuachiwa huru ?
VI) Inawezekanaje watu wasio wanachama wakaendelea kuwa wabunge?
Hayo ni baadhi ya mambo yanayoshangaza sana kuyatafakari. Ni mambo magumu sana kueleweka.
Licha ya ugumu wake, bado namuamini sana Rais Samia kuendelea kuwa mpambanaji na mwendelezaji mzuri wa mipango wa serikali iliyopita. Kwenye suala la usalama na ulinzi, ujenzi wa miundombinu, usimamiaji wa rasilimali zetu ,usawa wa kijinsia na ukuzaji wa demokrasia amefanya vizuri sana.Pongezi kwake
Baadhi ya vitu vinavyoshangaza na vimekuwa kama ndoto ya kutisha ni kama:
I) Iliwezekanaje January na Nape kurudi uongozini baada ya yale yote waliyofanya?
II) iliwezekanaje Rugemalira akawa nje licha ya yote tuliyosikia juu yake?
III) Imewezekanaje mwenye kesi ya kujibu mahakama( Makonda) kuwa mshtaki?
IV) Iliwezekanaje Lawewnce Mafuru na Nehemia mchechu kurudi ?
V) Imewezekanaje Polepole ambaye suala lake la utovu wa nidhamu likiwa bado linajadiliwa ateuliwa ubalozi?
V) Imewezekanaje mtu aliyefunguliwa kesi ya ugaidi kuachiwa huru ?
VI) Inawezekanaje watu wasio wanachama wakaendelea kuwa wabunge?
Hayo ni baadhi ya mambo yanayoshangaza sana kuyatafakari. Ni mambo magumu sana kueleweka.
Licha ya ugumu wake, bado namuamini sana Rais Samia kuendelea kuwa mpambanaji na mwendelezaji mzuri wa mipango wa serikali iliyopita. Kwenye suala la usalama na ulinzi, ujenzi wa miundombinu, usimamiaji wa rasilimali zetu ,usawa wa kijinsia na ukuzaji wa demokrasia amefanya vizuri sana.Pongezi kwake