pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Ungejiuliza kwani alipokea simu kabla hata haijalia kwa mara ya pili wakati wiki iliyopita alikataa kupokea simu kwenye kikao cha marais wote wa EAC, hadi Salva Kiir, ili wajadiliane kuhusu janga la Corona? Magufuli skips EAC meet even as virus cases rise in TanzaniaHivi kwanini Uhuru aliamua kuomba msamaha?, Mimi ninadhani kitendo cha Tanzania kuzuia malori ya Kenya kuingia Tanzania kingesaidia zaidi kupunguza maambukizi huko Kenya, vipi tena Uhuru anataka hayo malori yaruhusiwe kuja Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
alitaka asikie uhuru akilia live na kweli akalia[emoji1][emoji1].Ungejiuliza kwani alipokea simu kabla hata haijalia kwa mara ya pili wakati wiki iliyopita alikataa kupokea simu kwenye kikao cha marais wote wa EAC, hadi Salva Kiir, ili wajadiliane kuhusu janga la Corona? Magufuli skips EAC meet even as virus cases rise in Tanzania
Jameson Kinyua Wanjohi Wamashati keshawaingiza chaka.Aisee, kwahivyo mnaona aibu kutangaziwa waliopatikana +ve? Kisa nini, mbona nchini Kenya wizara ya afya huwa inatutangazia kila siku? Haya basi, jana jioni wageni 182 wamerejeshwa Tanzania baada ya kupatina kwamba wana virusi vya Corona. Kenya sends back 182 foreigners with virus to Tanzania
Siku zijazo msijaribu kutunisha kifua mbele ya Tanzania.Sasa hayo yamekusaidieje? [emoji81]
Punguza UJINGA. Mbona Sisi hatulalamiki na kulialia kama nyinyi Uganda wakipata madereva wetu wana Corona? Alafu mbona machungu na Kenya licha ya RWANDA kukatazia madereva wenu kuingia kwao? ๐น๐น Utawala wenu ni wa hisia na tena hisia za KITOTO tuu.Nyie ndio mnaokurupuka kutwa matakoni mwa watanzania. Kila day mnaibuka na habari za madereva wa kitz .Mmelazimisha lockdown weee mmeshindwa wakati huo huo huko kwenu hamna lockdown bali usaniitl mtupu
Bwahahahaha so dunia nzima au afrika nzima kenya ndio ilikua inapima corona pekee mpaka tz tywaige aiseee bora corona haikuanzia kenya mkaanza kujimwambafai tumewaiga kuumwa
So far bado tumetunisha kifua na msimamo ni ule ule. Mpaka UMEFUNGWA na madereva wanaotoka kwenu wamepanga foleni ndefu kungoja KUPIMWA la sivyo hawaingii nchini. Wanaopatikana na kirusi WANARUDISHWA walikotoka. ๐๐
mmetunisha kifua!!!kifua gani hicho!!!So far bado tumetunisha kifua na msimamo ni ule ule. Mpaka UMEFUNGWA na madereva wanaotoka kwenu wamepanga foleni ndefu kungoja KUPIMWA la sivyo hawaingii nchini. Wanaopatikana na kirusi WANARUDISHWA walikotoka. [emoji23][emoji23]
Sasa hivi wapo kwenye mazungumzo kwamba kila mtu apimwe kwao na vyeti kutolewa na mtatii tu.So far bado tumetunisha kifua na msimamo ni ule ule. Mpaka UMEFUNGWA na madereva wanaotoka kwenu wamepanga foleni ndefu kungoja KUPIMWA la sivyo hawaingii nchini. Wanaopatikana na kirusi WANARUDISHWA walikotoka. [emoji23][emoji23]
mtalia nani awasikilize mzungua au??Punguza UJINGA. Mbona Sisi hatulalamiki na kulialia kama nyinyi Uganda wakipata madereva wetu wana Corona? Alafu mbona machungu na Kenya licha ya RWANDA kukatazia madereva wenu kuingia kwao? [emoji81][emoji81] Utawala wenu ni wa hisia na tena hisia za KITOTO tuu.
Inaezakuwa ni wivu tuu mnayo kwa sababu tunawafanyia tests na kuumbua huu UJINGA ninayoongelea. Aibuuu [emoji23][emoji23]
achana naye huyu mtoto hajui chochote kinachoendelea.Sasa hivi wapo kwenye mazungumzo kwamba kila mtu apimwe kwao na vyeti kutolewa na mtatii tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi mmetunisha kifua gani? ๐นmmetunisha kifua!!!kifua gani hicho!!!
Wacheni ujinga ninyi, hujaona tulivyowabana wanyarwanda baada ya kuwasumbua madereva wa Tanzania mpaka Rwanda na Tanzania zikafikia makubaliano?.Punguza UJINGA. Mbona Sisi hatulalamiki na kulialia kama nyinyi Uganda wakipata madereva wetu wana Corona? Alafu mbona machungu na Kenya licha ya RWANDA kukatazia madereva wenu kuingia kwao? [emoji81][emoji81] Utawala wenu ni wa hisia na tena hisia za KITOTO tuu.
Inaezakuwa ni wivu tuu mnayo kwa sababu tunawafanyia tests na kuumbua huu UJINGA ninayoongelea. Aibuuu [emoji23][emoji23]
Tutii kwa nini? In fact Kenya tutakua na afueni. Why? Actions zetu zimewalazimu kupima raia wenu (mlikua mshagoma kupima). Pili, mnatuondolea gharama ya KUWAPIMIA madereva wenu ๐๐น. Tatu, vifaa vya kupima watu Itakua ni standard ambayo Kenya tunatumia (sio zile zenu feki feki za kupima ma fenesi๐น)Sasa hivi wapo kwenye mazungumzo kwamba kila mtu apimwe kwao na vyeti kutolewa na mtatii tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru ameshaomba msamaha kwa niaba yenu, kama Uhuru amekubali kupiga magoti mbele ya Jiwe, wewe wa Kibera huna thamani yoyote.So far bado tumetunisha kifua na msimamo ni ule ule. Mpaka UMEFUNGWA na madereva wanaotoka kwenu wamepanga foleni ndefu kungoja KUPIMWA la sivyo hawaingii nchini. Wanaopatikana na kirusi WANARUDISHWA walikotoka. [emoji23][emoji23]
Mara 100 kivipi? ๐น๐น hukusikia waziri wetu akisema for every 130 trucks/trailers from TZ into KE, only around 30 leave KE for TZ.mtalia nani awasikilize mzungua au??
sisi tulilia tukijua turn yetu itawaumiza nyinyi mara 100,so ni kama alart kwenu.
sasa nyinyi kabla hamjalia mlitakiwa mjue mnamlilia nani[emoji23][emoji23]
Punguza UJINGA. Mbona Sisi hatulalamiki na kulialia kama nyinyi Uganda wakipata madereva wetu wana Corona? Alafu mbona machungu na Kenya licha ya RWANDA kukatazia madereva wenu kuingia kwao? ๐น๐น Utawala wenu ni wa hisia na tena hisia za KITOTO tuu.
Inaezakuwa ni wivu tuu mnayo kwa sababu tunawafanyia tests na kuumbua huu UJINGA ninayoongelea. Aibuuu ๐๐
Hahaha Isha ndefu sana hii. Sijaimaliza lakini inaonekana unalia lia sana. Tambua ya kwamba sisi na Rwanda, Zambia etc. huwezi tu linganisha. KENYA bado tumeshikilia msimamo wetu mpakani. INAUMA lakini mtazoea tuWacheni ujinga ninyi, hujaona tulivyowabana wanyarwanda baada ya kuwasumbua madereva wa Tanzania mpaka Rwanda na Tanzania zikafikia makubaliano?.
Ninyi wakenya ni wajinga sana, mngekua na akili mngejifunza na lile tukio la Rwanda baada ya kuwakataza madereva wa Tanzania na jinsi watanzania walivyojibu.
Kenya ni watu wa kulialia kila Mara, hata wakati tunakama mifugo tuka nchi za Jirani, tulikamata ng'ombe 3000 toka Rwanda na kuzitaifisha, Kenya tulikamata Ng'ombe 300 tu lakini mlipiga kelele kuliko Rwanda.
Sisi tutafanya vile tunavyopenda, mbona tukitaka tufunge mpaka kabisa tusiruhusu malori yenu yasifike Tanzania mnalalamika na kuomba msamaha?, bakini kwenu na sisi tubaki kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
MSAMAHA upi? ๐น๐น๐น kasema nini ya kusamehewa? Mtabaki kungoja sanaUhuru ameshaomba msamaha kwa niaba yenu, kama Uhuru amekubali kupiga magoti mbele ya Jiwe, wewe wa Kibera huna thamani yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ule UJINGA ninayosema umesheheni JUMUIYA ya MUUNGANO wa tanzania ๐น๐น. Fungueni kote, hayatuhusu ndewe wala sikio.Hao uganda na rwanda si umelia saiv hapa.
Jirani ee tunafungua vyuo na shule je na nyie mkifungua tukasema mmeiga mtabishaaaa? Pheeew curfew imewaweza matajiri wa foreheads