Licha ya maongezi ya kwenye simu baina ya Rais Uhuru na Magufuli, upimaji lazima ubaki pale pale

Licha ya maongezi ya kwenye simu baina ya Rais Uhuru na Magufuli, upimaji lazima ubaki pale pale

Nyungu season two inazinduliwa mkuu povu ruksa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Huu ndio ule UJINGA ninayosema umesheheni JUMUIYA ya MUUNGANO wa tanzania 😹😹. Fungueni kote, hayatuhusu ndewe wala sikio.
 
Hahaha Isha ndefu sana hii. Sijaimaliza lakini inaonekana unalia lia sana. Tambua ya kwamba sisi na Rwanda, Zambia etc. huwezi tu linganisha. KENYA bado tumeshikilia msimamo wetu mpakani. INAUMA lakini mtazoea tu
Uhuru ameshaomba msamaha kwa Magufuli, tumewaambia baada ya wiki moja ndio tutakuja kuwasikiliza. Hamna ubavu wa kushindana na Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru ameshaomba msamaha kwa Magufuli, tumewaambia baada ya wiki moja ndio tutakuja kuwasikiliza. Hamna ubavu wa kushindana na Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? 😹
 
akuna roli la kenya kuingia tz ni kufaulisha mizigo hapo mpakani.
labda odinga alietumwa na uhuru kuja kuomba msamaha akikubaliwa na serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa kulezega masharti tuliyoweka mipakani.
Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? [emoji81]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara 100 kivipi? [emoji81][emoji81] hukusikia waziri wetu akisema for every 130 trucks/trailers from TZ into KE, only around 30 leave KE for TZ.

Anyway, bado zote ni biashara.
sasa hapo hujaelewa nini,si ndicho nimeandika hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
sasa hapo hujaelewa nini,si ndicho nimeandika hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mwenyewe hujielewi!! Inaonesha kwamba TZ needs KE more than KE needs TZ. For every 100 trucks getting into KE from TZ, 30 leave KE to TZ. Tafakari.
 
Wewe mwenyewe hujielewi!! Inaonesha kwamba TZ needs KE more than KE needs TZ. For every 100 trucks getting into KE from TZ, 30 leave KE to TZ. Tafakari.
wewe ni mbuzi mkuu.

embu kanywe chai kwanza.
unadhani hizo truckas 100 zikiziuiwa na 30 zikizuiwa ni upande upi utakuwa wa kwanza kupiga kelele za mbwa mwizi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? [emoji81]
Muulize Uhuru Kenyatta kwamba, mbona Magufuli anawatangazia watanzania hadharani kwamba ulimpigia simu na kumuomba msamaha, ni msamaha gani uliomuomba?, atakujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza naanza kwa kutanguliza shukrani kwa Watanzania kukubali kuiga Wakenya kwenye zoezi la kupima kila dereva anayeingia, hiyo sasa imewezesha sote tuongee lugha moja, pima huko na sisi tupime huku, hapo tunakua na uhakika wa usalama wa kiafya kwa watu wetu.

Ingewagharimu sana kama mngeendelea kuruhusu Wakenya walioathirika kuingia huko na kujiachia full bata. Ninachokifahamu ni kwamba madereva wote ukanda huu wanaambukizana kwa kasi maana wengi hulala kwenye magesti uchwara kwa vitanda ambavyo malazi hufuliwa hata mara moja kwa wiki, na huingia wakiwa walevi bila kujali nani kalala humo jana, hivyo lazima tutegemee mamia ya madereva kuathirika.

Kile ambacho labda kifanyike, wataalam wa nchi zote mbili washirikiane na kukubaliana aina gani ya mashini zitumike, kila anayekuja anapimwa, huku zoezi likishuhudiwa na wataalam wa pande zote, ila wa Tanzania akigunduliwa ana kirusi, anapokezwa kwenye mamlaka husika kimya kimya maana hao bado wanahangaika kuweka siri na kuendelea kuaminisha umma kwamba hamna tena corona kwao, hivyo kelele zote hizi zinatokana na hili la Kenya kutaja idadi ya madereva wa Tanzania walioathirika.
Sasa ili kupunguza makelele, upande wao ibaki siri, wawe wanataja kama nilivyoona juzi wakifanya, walitumia maneno kama "raia wa nchi ambayo haitatajwa kwa sasa", ila kwa upande wetu watajwe kabisa idadi yao wangapi waliogunduliwa.
Hapo nina uhakika tutaendana vizuri sana tena tutaongea lugha moja na kuendelea kuitana pumba za "undugu".

Tutawaletea samples za papaya na. Mbuzi
 
Anataka kutuletea story za hovyo zilizobuka km zile za makinikia na Korosho
 
Kwanza naanza kwa kutanguliza shukrani kwa Watanzania kukubali kuiga Wakenya kwenye zoezi la kupima kila dereva anayeingia, hiyo sasa imewezesha sote tuongee lugha moja, pima huko na sisi tupime huku, hapo tunakua na uhakika wa usalama wa kiafya kwa watu wetu.

Ingewagharimu sana kama mngeendelea kuruhusu Wakenya walioathirika kuingia huko na kujiachia full bata. Ninachokifahamu ni kwamba madereva wote ukanda huu wanaambukizana kwa kasi maana wengi hulala kwenye magesti uchwara kwa vitanda ambavyo malazi hufuliwa hata mara moja kwa wiki, na huingia wakiwa walevi bila kujali nani kalala humo jana, hivyo lazima tutegemee mamia ya madereva kuathirika.

Kile ambacho labda kifanyike, wataalam wa nchi zote mbili washirikiane na kukubaliana aina gani ya mashini zitumike, kila anayekuja anapimwa, huku zoezi likishuhudiwa na wataalam wa pande zote, ila wa Tanzania akigunduliwa ana kirusi, anapokezwa kwenye mamlaka husika kimya kimya maana hao bado wanahangaika kuweka siri na kuendelea kuaminisha umma kwamba hamna tena corona kwao, hivyo kelele zote hizi zinatokana na hili la Kenya kutaja idadi ya madereva wa Tanzania walioathirika.
Sasa ili kupunguza makelele, upande wao ibaki siri, wawe wanataja kama nilivyoona juzi wakifanya, walitumia maneno kama "raia wa nchi ambayo haitatajwa kwa sasa", ila kwa upande wetu watajwe kabisa idadi yao wangapi waliogunduliwa.
Hapo nina uhakika tutaendana vizuri sana tena tutaongea lugha moja na kuendelea kuitana pumba za "undugu".
Now you are talking!!
 
Back
Top Bottom