Licha ya maongezi ya kwenye simu baina ya Rais Uhuru na Magufuli, upimaji lazima ubaki pale pale

Licha ya maongezi ya kwenye simu baina ya Rais Uhuru na Magufuli, upimaji lazima ubaki pale pale

Kipimo kimebaki pale pale, hamna kuingia kwa kung'ang'anizia.
Kila mtu kwao....
 
Mpaka haibu
Kwanza naanza kwa kutanguliza shukrani kwa Watanzania kukubali kuiga Wakenya kwenye zoezi la kupima kila dereva anayeingia, hiyo sasa imewezesha sote tuongee lugha moja, pima huko na sisi tupime huku, hapo tunakua na uhakika wa usalama wa kiafya kwa watu wetu.

Ingewagharimu sana kama mngeendelea kuruhusu Wakenya walioathirika kuingia huko na kujiachia full bata. Ninachokifahamu ni kwamba madereva wote ukanda huu wanaambukizana kwa kasi maana wengi hulala kwenye magesti uchwara kwa vitanda ambavyo malazi hufuliwa hata mara moja kwa wiki, na huingia wakiwa walevi bila kujali nani kalala humo jana, hivyo lazima tutegemee mamia ya madereva kuathirika.

Kile ambacho labda kifanyike, wataalam wa nchi zote mbili washirikiane na kukubaliana aina gani ya mashini zitumike, kila anayekuja anapimwa, huku zoezi likishuhudiwa na wataalam wa pande zote, ila wa Tanzania akigunduliwa ana kirusi, anapokezwa kwenye mamlaka husika kimya kimya maana hao bado wanahangaika kuweka siri na kuendelea kuaminisha umma kwamba hamna tena corona kwao, hivyo kelele zote hizi zinatokana na hili la Kenya kutaja idadi ya madereva wa Tanzania walioathirika.

Sasa ili kupunguza makelele, upande wao ibaki siri, wawe wanataja kama nilivyoona juzi wakifanya, walitumia maneno kama "raia wa nchi ambayo haitatajwa kwa sasa", ila kwa upande wetu watajwe kabisa idadi yao wangapi waliogunduliwa.
Hapo nina uhakika tutaendana vizuri sana tena tutaongea lugha moja na kuendelea kuitana pumba za "undugu".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YAMEKWISHA:Tanzania, Kenya zakubaliana namna ya kupima madereva Corona

habarileo.co.tz17h

[https://res]

NCHI za Tanzania na Kenya zimeafikiana kuwa madereva watatakiwa kupimwa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona katika nchi zao na kupewa cheti maalum kitakachowatambulisha kutokuwa na maambukizi ambacho kitakuwa halali kwa siku 14 pekee.

Baada ya siku hizo kukamilika, madereva hao watalazimika kupimwa tena wakiwa nchini Kenya au Tanzania na endapo watagundulika, watarudishwa katika nchi zao.

Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isaac Kamwele leo, Ijumaa, mpakani Namanga baada kumalizika kikao kilichomjumuisha Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, James Macharia.

Kukutana kwa mawaziri hao na hatimaye kufikia makubaliano hayo kumetokana na mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni kwa njia ya simu baina ya Rais John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Akiwa mkoani Singida, Rais Magufuli alibainisha kuwa wameshamaliza sintofahamu hiyo hivyo ilikuwa ni suala la watendaji wa serikali zote mbili kukutana.


Hilo la kupima bado liko pale pale....hehehe hadi raha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 



MY TAKE
Can moderators edit the heading of this thread that seems to distort the agreement between Kenya and Tanzania? Here is Kenyan Government official aexplaining!

Moderator Invisible Maxence Melo

👉 👉 👉 Siku hizi mara madereva wa Tanzania 51 wana Corona imeishia wapi mbona hawatangazi "JPM mwenyezi Mungu akupe maisha marefu saana"👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom