Huu ndio ule UJINGA ninayosema umesheheni JUMUIYA ya MUUNGANO wa tanzania 😹😹. Fungueni kote, hayatuhusu ndewe wala sikio.
Uhuru ameshaomba msamaha kwa Magufuli, tumewaambia baada ya wiki moja ndio tutakuja kuwasikiliza. Hamna ubavu wa kushindana na Tanzania.Hahaha Isha ndefu sana hii. Sijaimaliza lakini inaonekana unalia lia sana. Tambua ya kwamba sisi na Rwanda, Zambia etc. huwezi tu linganisha. KENYA bado tumeshikilia msimamo wetu mpakani. INAUMA lakini mtazoea tu
Muulize Uhuru atakujibu, kapiga simu zaidi ya Mara mbili kuomba Msamaha. Magufuli kwa kuzidi kumdhalilisha akalisema hadharani kwamba alinipigia na kumuomba msamaha.MSAMAHA upi? [emoji81][emoji81][emoji81] kasema nini ya kusamehewa? Mtabaki kungoja sana
Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? 😹Uhuru ameshaomba msamaha kwa Magufuli, tumewaambia baada ya wiki moja ndio tutakuja kuwasikiliza. Hamna ubavu wa kushindana na Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? [emoji81]
😹😹😹ndio msamaha sio?
Ndiyo mmeona hamtaweza kuhimili masharti yetu mmekuja kutumbembeleza msicheze na tz tena.[emoji81][emoji81][emoji81]ndio msamaha sio?
Sasa unataka kulia? 😹Ndiyo mmeona hamtaweza kuhimili masharti yetu mmekuja kutumbembeleza msicheze na tz tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hapo hujaelewa nini,si ndicho nimeandika hapo[emoji23][emoji23][emoji23]Mara 100 kivipi? [emoji81][emoji81] hukusikia waziri wetu akisema for every 130 trucks/trailers from TZ into KE, only around 30 leave KE for TZ.
Anyway, bado zote ni biashara.
Nilie kwanini sasa ndo maana nasema mnaupeo mdogo.Sasa unataka kulia? [emoji81]
Wewe mwenyewe hujielewi!! Inaonesha kwamba TZ needs KE more than KE needs TZ. For every 100 trucks getting into KE from TZ, 30 leave KE to TZ. Tafakari.sasa hapo hujaelewa nini,si ndicho nimeandika hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
wewe ni mbuzi mkuu.Wewe mwenyewe hujielewi!! Inaonesha kwamba TZ needs KE more than KE needs TZ. For every 100 trucks getting into KE from TZ, 30 leave KE to TZ. Tafakari.
Muulize Uhuru Kenyatta kwamba, mbona Magufuli anawatangazia watanzania hadharani kwamba ulimpigia simu na kumuomba msamaha, ni msamaha gani uliomuomba?, atakujibu.Msamaha kuhusu nini exactly? Mbona unashindwa kuthibitisha? Alikua asamehewe kwenye kipi exactly? Mbona mpaka bado UMEFUNGWA? Mbona madereva kutoka kwenu bado wamepanga foleni wakingoja kupimwa ndio waingie nchini? [emoji81]
Kwanza naanza kwa kutanguliza shukrani kwa Watanzania kukubali kuiga Wakenya kwenye zoezi la kupima kila dereva anayeingia, hiyo sasa imewezesha sote tuongee lugha moja, pima huko na sisi tupime huku, hapo tunakua na uhakika wa usalama wa kiafya kwa watu wetu.
Ingewagharimu sana kama mngeendelea kuruhusu Wakenya walioathirika kuingia huko na kujiachia full bata. Ninachokifahamu ni kwamba madereva wote ukanda huu wanaambukizana kwa kasi maana wengi hulala kwenye magesti uchwara kwa vitanda ambavyo malazi hufuliwa hata mara moja kwa wiki, na huingia wakiwa walevi bila kujali nani kalala humo jana, hivyo lazima tutegemee mamia ya madereva kuathirika.
Kile ambacho labda kifanyike, wataalam wa nchi zote mbili washirikiane na kukubaliana aina gani ya mashini zitumike, kila anayekuja anapimwa, huku zoezi likishuhudiwa na wataalam wa pande zote, ila wa Tanzania akigunduliwa ana kirusi, anapokezwa kwenye mamlaka husika kimya kimya maana hao bado wanahangaika kuweka siri na kuendelea kuaminisha umma kwamba hamna tena corona kwao, hivyo kelele zote hizi zinatokana na hili la Kenya kutaja idadi ya madereva wa Tanzania walioathirika.
Sasa ili kupunguza makelele, upande wao ibaki siri, wawe wanataja kama nilivyoona juzi wakifanya, walitumia maneno kama "raia wa nchi ambayo haitatajwa kwa sasa", ila kwa upande wetu watajwe kabisa idadi yao wangapi waliogunduliwa.
Hapo nina uhakika tutaendana vizuri sana tena tutaongea lugha moja na kuendelea kuitana pumba za "undugu".
Now you are talking!!Kwanza naanza kwa kutanguliza shukrani kwa Watanzania kukubali kuiga Wakenya kwenye zoezi la kupima kila dereva anayeingia, hiyo sasa imewezesha sote tuongee lugha moja, pima huko na sisi tupime huku, hapo tunakua na uhakika wa usalama wa kiafya kwa watu wetu.
Ingewagharimu sana kama mngeendelea kuruhusu Wakenya walioathirika kuingia huko na kujiachia full bata. Ninachokifahamu ni kwamba madereva wote ukanda huu wanaambukizana kwa kasi maana wengi hulala kwenye magesti uchwara kwa vitanda ambavyo malazi hufuliwa hata mara moja kwa wiki, na huingia wakiwa walevi bila kujali nani kalala humo jana, hivyo lazima tutegemee mamia ya madereva kuathirika.
Kile ambacho labda kifanyike, wataalam wa nchi zote mbili washirikiane na kukubaliana aina gani ya mashini zitumike, kila anayekuja anapimwa, huku zoezi likishuhudiwa na wataalam wa pande zote, ila wa Tanzania akigunduliwa ana kirusi, anapokezwa kwenye mamlaka husika kimya kimya maana hao bado wanahangaika kuweka siri na kuendelea kuaminisha umma kwamba hamna tena corona kwao, hivyo kelele zote hizi zinatokana na hili la Kenya kutaja idadi ya madereva wa Tanzania walioathirika.
Sasa ili kupunguza makelele, upande wao ibaki siri, wawe wanataja kama nilivyoona juzi wakifanya, walitumia maneno kama "raia wa nchi ambayo haitatajwa kwa sasa", ila kwa upande wetu watajwe kabisa idadi yao wangapi waliogunduliwa.
Hapo nina uhakika tutaendana vizuri sana tena tutaongea lugha moja na kuendelea kuitana pumba za "undugu".
Tumeususia kitamboMpaka ufungwe jamani mbaka kieleweke wakilia sana tunawauzia Unga sio mahindi hela si wanazo sasa... Naona mmepewa $ Billioni 1 nyengine na WB sio?...