R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Pamoja na nchi kusumbuliwa na umasikini, zipo familia ambazo zinaishi fresh, tunaziita mambo safi.
Licha ya hali hii lakini bado wageni na Watanzania wachache wenye asili ya nchi za nje wanakimbiza.
Ukicheki listi ya matajiri, ambae aliwahi kujitahidi labda kwa mbali ni Marehemu Mengi angalu aliweza kuwemo kwenye Top 10 ya matajiri lakini bado hakufua dafu kuwapita hao wengine.
Ukianiambia kwamba shida ni kwamba hatuna ushirikiano ni kweli hili tatizo lipo makabila mengi watu kuoneana wivu na kurogana ila yapo makabila machache watu wanasaidiana sana na kupeana connections.
Shida iko wapi kwa hawa watanzania wenye asili ya hapa kwetu kutoweza kuwapiku hao wachache?
Licha ya hali hii lakini bado wageni na Watanzania wachache wenye asili ya nchi za nje wanakimbiza.
Ukicheki listi ya matajiri, ambae aliwahi kujitahidi labda kwa mbali ni Marehemu Mengi angalu aliweza kuwemo kwenye Top 10 ya matajiri lakini bado hakufua dafu kuwapita hao wengine.
Ukianiambia kwamba shida ni kwamba hatuna ushirikiano ni kweli hili tatizo lipo makabila mengi watu kuoneana wivu na kurogana ila yapo makabila machache watu wanasaidiana sana na kupeana connections.
Shida iko wapi kwa hawa watanzania wenye asili ya hapa kwetu kutoweza kuwapiku hao wachache?