CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Nadhani anamaanisha kwenda nchi za nje kama sijakoseaYeah! Kuna video niliona anaenda mwanza akawa anasalimia abiria kwenye ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani anamaanisha kwenda nchi za nje kama sijakoseaYeah! Kuna video niliona anaenda mwanza akawa anasalimia abiria kwenye ndege
Halafu huu ujinga wa kumsifia kila siku na kwa kila kitu wala hapendi. mnaumwa nini?Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.
Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma,
Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu,
Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates ( Emirates Airline )
Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,
Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,
View attachment 1999740
siwezi kujiunga na shetaniWachache, Njoo CCM tumuunge mkono Mama Mkuu
Hakainde anakubalika duniani sio kwa sababu anapanda ndege ya umma bali ni mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki za binadamu,yeye sio dikteta. Ndie Rais anaekubalika sana duniani kwa sasa kuliko wengineo kusini mwa jangwa la Sahara.Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.
Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma,
Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu,
Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates ( Emirates Airline )
Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,
Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,
View attachment 1999740
Sasa shida yako iko wapi, unaona ujinga umezuia tumaini lako la kuondoka kwa amani?!Amani ya nchi imesimamia kwenye ujinga siku ujinga ukitutoka na aman haipo
Sio anamaanisha raisi kupanda ndege za abiria? kumbuka nchi nyingi zina ndege ya raisi ikiwemo tzNadhani anamaanisha kwenda nchi za nje kama sijakosea
Hakuna amani Tanzania,kuna ujinga tu. Ata maana/definition ya amani wengi hamuijui.Sasa shida yako iko wapi, unaona ujinga umezuia tumaini lako la kuondoka kwa amani?!
Nadhani atakuja kujibuSio anamaanisha raisi kupanda ndege za abiria? kumbuka nchi nyingi zina ndege ya raisi ikiwemo tz
Kama hakuna amani kuna nini?Hakuna amani Tanzania,kuna ujinga tu. Ata maana/definition ya amani wengi hamuijui.
Soma vizuri,kwani huoni neno ujinga nilipoandika? au na wewe mmojawapo ata kusoma vizuri hujui!?Kama hakuna amani kuna nini?
DaahSoma vizuri,kwani huoni neno ujinga nilipoandika? au na wewe mmojawapo ata kusoma vizuri hujui!?
Kama huna amani ndani ya Tanzania si wewe kiongozi, mbona unafosi kingi kwa wote?!Hakuna amani Tanzania,kuna ujinga tu. Ata maana/definition ya amani wengi hamuijui.
Pinga pinga FCKama huna amani ndani ya Tanzania si wewe kiongozi, mbona unafosi kingi kwa wote?!
Nakujua wewe ni chizi so sishangaiHuyo ataishi kusafiri na kupiga picha tu,kichwani ni mweupe hajui hata kma yeye ni raisi,
Anachojua ni kuisema jinsia yake,hotuba zake zote ni utopolo mtupu,usimfananishe Hichilema na watu wenye zero brain
Wanakwea Private waleVipi kuhusu Kagame na Museveni
Njoo ccmMsafara ulikuwa na watu wangapi?
DaaahHalafu huu ujinga wa kumsifia kila siku na kwa kila kitu wala hapendi. mnaumwa nini?
Hakika huu uzalendo wa kupigiwa mfanoAhsante Mheshimiwa Rais kwa uzalendo wako