Licha ya Tanzania kuwa na ndege 11, Rais Samia anatumia ndege za abiria

Licha ya Tanzania kuwa na ndege 11, Rais Samia anatumia ndege za abiria

Ni hatari sana kwa nchi kuenda kusaini mikataba nje ya nchi hasa mikataba inayotakiwa kufanyika ndani ya nchi, idadi ya watu wanaoenda kwa ajili ya kusaini hiyo mikataba ni idadi kubwa sana, fikiria posho zao (per diem). Kuna haja gani kwenda kusaini mikataba nje ya nchi?..ccm inamaana imefikia uwezo wa mwisho wa kufikiri kweli?..hizo ngozi nyeupe huko nje nadhani zitaendelea kutuona nyani ambao hatuna akili. Yaani hapa naona watu wapo bize kukopa sana huku wanajilipa sana maposho, sidhani kama rais anaweza kupanda ndege ya abiria hasa ukizingatia usalama wake...wasituhadae na kutufanya mapoyoyo kwakweli. Rais wetu hawezi panda ndege na abiria humohumo...usalama wa nchi utakuwa mashakani, mimi binafsi siamini hilo jambo..naitwa TOMASO
 
Ni hatari sana kwa nchi kuenda kusaini mikataba nje ya nchi hasa mikataba inayotakiwa kufanyika ndani ya nchi, idadi ya watu wanaoenda kwa ajili ya kusaini hiyo mikataba ni idadi kubwa sana, fikiria posho zao (per diem). Kuna haja gani kwenda kusaini mikataba nje ya nchi?..ccm inamaana imefikia uwezo wa mwisho wa kufikiri kweli?..hizo ngozi nyeupe huko nje nadhani zitaendelea kutuona nyani ambao hatuna akili. Yaani hapa naona watu wapo bize kukopa sana huku wanajilipa sana maposho, sidhani kama rais anaweza kupanda ndege ya abiria hasa ukizingatia usalama wake...wasituhadae na kutufanya mapoyoyo kwakweli. Rais wetu hawezi panda ndege na abiria humohumo...usalama wa nchi utakuwa mashakani, mimi binafsi siamini hilo jambo..naitwa TOMASO
Mkuu wewe ni mtu wa namna gani?
 
A
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Afadhali. Heading ya post ilinifanya nifikiri unataka apande ndege za ATCL kila anapoenda safari!
Ni jambo jema mama analofanya. Matumizi makubwa yasiyo ya lazima hayataki. Tunahitaji viongozi wa aina yake Africa. Hongera mama tuko nyuma yako
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>


Alipokwenda huko Glasgow alikwenda na ndege gani ? Mbona mlificha ndege aliokwenda nayo?
 
Back
Top Bottom