Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Lete source ya ulichokiandika.
 
Mambo ya kujifanya mchambuzi wa vita ,kuokoteza taarifa kweny blogs zako za vijijini ndio hayo.
Hao wenzio hawana huruma hata sisimi wanapelek na ulivyokuwa hanithi unasema wale watanzania wamechinjwa na Hamas.

Hata mateka wao mwanamke na kitambaa cheupe akiashiria wakamchukue:



Naye ni HAMAS.

Bure kabisa!
 
Urushe rockets kwenda huku yakazi gani wakat adui kaja ghetto
Kwasasa wanafinyiwa humo humo ndani mpaka wakimbie
Ile pigo la October 7 ilikua mahsusi mazayuni yaje ghetto na kweli yamekuja angalia yanavyo finyangwa kama udongo
Kama umekubali kwamba sasa hivi hakuna rockets zinarushwa kutokea Gaza basi hiyo inadhihirisha kwamba Israel ana control sehemu kubwa ya GAZA.
 
Daktar anaefurahi watoto wa israel kuuawa , huyo hapasw kuchekewa , udaktari sio kificho cha uharifu
Tuonyesheni wapi Hamasi aliuwa watoto wa Israel au wanawake? Hamasi ni waislam hawezi uwa mtu asiye na hatia.

Upumbafu wenu mnadhani kuwauwa watoto wa Palestine au Wanawake ndio Gaza watakwisha watu, mwenyezi Mungu anaweza kujalia Gaza wakazaliana kuliko hilo taifa mlilojipandikiza hapo Palestine, kwanza Israel walivyo vichaa wametumia jina la Yakobo kipenzi cha Mungu kuharibu jina lake.

Kwanza jina Israel ni mfata dini sio hao wanao jita waisrael wote ni washenzi tu.

Kumbukeni huwezi washinda wapenzi wa Mungu hata mlete silaha za dunia nzima Hamasi ni jeshi teule.
 
Nimerudia kuangalia iwapo ni wewe kweli au majina mmefanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…