Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Hamas wanarusha maroketi nchini Israel karibia kila siku sema hayaleti madhara makubwa kwa sababu ya kuzuiwa na ulinzi wa anga, tena maroketi yanarushwa kutoka gaza kaskazini ambapo vikosi vya Israel vimejazana.
Na pia unacho takiwa kujua ni kuwa mpaka sasa hivi Israel inadhibiti%30 tu ya ukanda wa gaza.
Lete source ya ulichokiandika.
 
Mambo ya kujifanya mchambuzi wa vita ,kuokoteza taarifa kweny blogs zako za vijijini ndio hayo.
Hao wenzio hawana huruma hata sisimi wanapelek na ulivyokuwa hanithi unasema wale watanzania wamechinjwa na Hamas.

Hata mateka wao mwanamke na kitambaa cheupe akiashiria wakamchukue:

IMG_20231216_172703~2.jpg


Naye ni HAMAS.

Bure kabisa!
 
Urushe rockets kwenda huku yakazi gani wakat adui kaja ghetto
Kwasasa wanafinyiwa humo humo ndani mpaka wakimbie
Ile pigo la October 7 ilikua mahsusi mazayuni yaje ghetto na kweli yamekuja angalia yanavyo finyangwa kama udongo
Kama umekubali kwamba sasa hivi hakuna rockets zinarushwa kutokea Gaza basi hiyo inadhihirisha kwamba Israel ana control sehemu kubwa ya GAZA.
 
Daktar anaefurahi watoto wa israel kuuawa , huyo hapasw kuchekewa , udaktari sio kificho cha uharifu
Tuonyesheni wapi Hamasi aliuwa watoto wa Israel au wanawake? Hamasi ni waislam hawezi uwa mtu asiye na hatia.

Upumbafu wenu mnadhani kuwauwa watoto wa Palestine au Wanawake ndio Gaza watakwisha watu, mwenyezi Mungu anaweza kujalia Gaza wakazaliana kuliko hilo taifa mlilojipandikiza hapo Palestine, kwanza Israel walivyo vichaa wametumia jina la Yakobo kipenzi cha Mungu kuharibu jina lake.

Kwanza jina Israel ni mfata dini sio hao wanao jita waisrael wote ni washenzi tu.

Kumbukeni huwezi washinda wapenzi wa Mungu hata mlete silaha za dunia nzima Hamasi ni jeshi teule.
 
Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.

Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says​


Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.

On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.

While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
Nimerudia kuangalia iwapo ni wewe kweli au majina mmefanana.
 
Back
Top Bottom