Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
Nipigie pande basi huyo sista wako...ila tako analo?
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
Shida Dada anasura mbovu na anajiona sana ,
 
Kuna wanawake wengine wana masimango sn,,

Kuanzia upo nae unagegeda yeye analalamika tu,
Kila unavyomueka mnasumbuwana,,

Unadhani mwanamke kama huyo nani ataoa?

Uzuri wa mwanamke sio elimu yake wala Kazi yake..

Uzuri wa mwanamke ni yaliyomo ndani ya chupi yake.

Mengine mbwembwe tu.
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
Tatizo la wanawake haswa wenye elimu na kazi moja Kati ya vigezo vyao vya mume mtarajiwa lazima awe na gari, kazi nzuli na awe na nyumba kama hana basi awe amepanga nyumba Nzima

Wakati huo huo upande wa familia wanataka dada apate mume mwenye ajira nzuli na nyumba nzuli ili dada akiolewa watu wote tukajazane kwa shemeji kwake ......

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
mwambie ajisajili dating sites,awe mtulivu asidanganywe na madanga huku akiomba Mungu atapata mme
 
Tatizo la wanawake haswa wenye elimu na kazi moja Kati ya vigezo vyao vya mume mtarajiwa lazima awe na gari, kazi nzuli na awe na nyumba kama hana basi awe amepanga nyumba Nzima

Wakati huo huo upande wa familia wanataka dada apate mume mwenye ajira nzuli na nyumba nzuli ili dada akiolewa watu wote tukajazane kwa shemeji kwake ......

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Km ni vigezo vyake kiundani sijui, nyumbani kila mtu ana harakati zake, hakuna anaetarajia kwenda kwa shemeji, kikubwa ni yeye apate tulizo la nafsi, pia hatupendi azae akiwa nyumbani bila ya ndoa.
 
Back
Top Bottom