hapana si tapeli..mimi mwenyewe ndio nahitaji kujua nitazipata wapi tu, sio kwamba ni dili la kiivyo nahitaji tu kijua wapi ntazipata kwa wingi basiDalili ya strategy ya TAPELI, kuweni makini mtapigwa sio MDA MREFU....
hapana si tapeli..mimi mwenyewe ndio nahitaji kujua nitazipata wapi tu, sio kwamba ni dili la kiivyo nahitaji tu kijua wapi ntazipata kwa wingi basi
Brazil mbali sana zipo MadagascarKaranga hizo zinaitwa "MACADAMIA NUTS" zinapatikana kwa wingi Brazil
usijali kakaVyema kama hauna nia mbaya, samahani kama nimekukwaza, tumepigwa sana ndo maana tunapeana taarifa mkuu, dont take it personal.
Hahahaha sio hizo kwa kweliHizi si zile kwenye ICE AGE au?
Hiyo sio daimondi karanga?....
Arusha ziko tele
Unamanisha ngoma?Hata wale wenye mgogoro na immune system unablend na kumuwekea kwenye maziwa CD4 zitapanda tu
Nkamu ndalama isyo, Ikg ni $17.Hizo zipo Tukuyu mbeya...kule watoto wanachezea tu hatujuagi kama ni biashara.
Niliwahi kwenda Mwakaleli nilizifaidi sana hizi karanga. Lakini sijui jina lake halisikesho inabidi nifunge safari kuelekea mbeya wewe ni mtu wa tatu waniambia..nazihitaji nyingi hata tani kumi
HahahaHiyo sio daimondi karanga?....
Du kula jijugwe??Nkamu ndalama isyo, Ikg ni $17.
Songea haziwezi kuwa nyingi, hizo ni kama zinahitaji mvua nyingi sanaSongea wanaziitaga karanga miti.zina mafuta sana na radha kama ya korosho,,,but they are rarely available