Life affairs: Uliza chochote ujibiwe live hapa

Yaan ww ni zaidi ya senior😅😅 .sijui hujioni😜😜!katakata vitunuu vingi kaanga mchicha wako..ukishaukaanga ukishaushusha jikoni mwagia juu vitunguu vyako!ulika unapata taste moja nzuri sana
Best nafanya juhudi za kujivua gamba 🤣 🤣 kwa hiyo kwa kiswahili rahisi vitunguu tunaweka vibichi?
 
Yaani kuna sehemu nilienda nikakuta bei ya nyama aina zote ni moja. ukitaka nyama ya mbuzi kilo 6000/- ukitaka ya kitimoto 6000/- ngombe, ukitaka kuku elfu 6 ukitaka nyama ya ngombe bei hiyo hiyo. kimoyo moyo nikajisemea FursaKibao si nikikaa huku nitakuwa na kitambi in no time? baada ya siku 3 nikarudi zangu mjini.
 
Sasa Ushakuwa Uzi wa mapishi huu [emoji848]


Swali langu kwako kwa nini umependa tukuulize maswali umelenga nini haswa cha msingi ?

Je tunaweza faidika na majibu yako kwa namna yeyote kama ndio kivipi hasa ?


Swali la mwisho la kizushi we ni feminist ?
 
hata kwenye taarifa za habari kuna mda wanaweka matangazo
 
Mimi sio feminist.naijua nafasi yangu kama mwanamke mkuu
 
[emoji3][emoji16]naona unatafuta point 3 muhimu sio

Vipi anaulizwa maswali mwengine au we ni personal secretary wake unajibu mengine
Unaju hii tabia yako ni dalili za kuwashwa; kuna swali nimemjibia au wewe ndio umedakia.
kwa kifupi maswali yote uliyomuuliza yanaonesha unatafuta bwana mpka unamuonea wivu mleta uzi.

Hivi mtu kama kitu unaona hakina manufaa na wewe kama ulivyomuuliza mleta uzi; unafuata nini? ukiambiwa huo ni umama utasema umetukanwa.
 
[emoji16][emoji16] nimeshindwa kusoma gazeti hilo unabwabwaja tu umeandika pumba Dada yangu uliniquote wewe angalia vizuri


Au utakuwa period nini[emoji16][emoji16] ndo maana uko na emotions na hio moods Dada angu Fursakibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…