Life affairs: Uliza chochote ujibiwe live hapa



🤣🤣🤣...mie nyama jaman😋😋😋😋!yaan unabadilisha ww .unataka wa kuoka au fried..mwe!
 
🤣🤣🤣...mie nyama jaman😋😋😋😋!yaan unabadilisha ww .unataka wa kuoka au fried..mwe!
Huko ni Noma kama ATCL ingekuwa inatua basi ungepokea vindoo vya minofu tu.

Jamani wauliza maswali Dont be distracted na maongezi yetu. mtoa uzi anasubiri maswali yenu 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Jamni nikija kule kwako mm usinipikie maharage jamani!cheza na mazao ya nyamaaa😅😅!

Hofu ondoa kumbuka wote tuna asili ya ufugaji kwa hiyo utapata hata kasungura na side dish maharage ya nazi, kama nakuona ukila huku umeshika tama😂🤣😂. Katika jamii ya kunde napenda sana maharage
 
Nta
Hofu ondoa kumbuka wote tuna asili ya ufugaji kwa hiyo utapata hata kasungura na side dish maharage ya nazi, kama nakuona ukila huku umeshika tama😂🤣😂. Katika jamii ya kunde napenda sana maharage

Ntakuja na ratiba nini napend nile...!alafu bi mdashi wangu ameniambia huko kuna hossy nzuri ya misheni ya masisita?!ni kweli!nasumbuliwa ulcers hatari!anaisifia balaa..ni kweli ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…