Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Kuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile
 
Daaah pole bro, hata mimi nisingekuelewa.
 
Hii ya mabomba wengi wamefedheheka.
 
Aiseee malezi mabaya,si ungelivuta mdomoo,aibu nimeona mimi
 
dizain hii ya marafiki [emoji706]
 
Kun visa vinachekesha san umu ,ASA mi kipind iko masKan skumoja kulikua na tukio LA kidin linafanyik mahali ikabid wote twendee mi nkakisingizia naumw kisa na ahad na mtot flan WA kitaan pale, bs familia nzima ikaaga ikasep walivopotea tu nkafata mchuchu chapu nkaingiza gheto (lilikua ndan Kwa ndani) nmefungulia mzk hku nkifanya yang kitoto chenyew kilikua sio kizoef kelel nying balaa,kumbe kinabimkubwa walichelew gar lililotakiw kuwabeba walirud mi sjasanuka, ile natok kumfatia maji seblen DoGo na kibukta changu,hamad nakuta watu wapo seblen na sura zao znaonesh wameskia kila kitu .joto LA aibu nliloskia skuile ACHAA!,astoshe bimdash alikua gaid AF dini san, akili zliham nlimtoa mtt huku wanaona na wote walikaa kimy mpk kesho hakun alieuliza chochote ,ila nafs ilinisuta,maan nlitegemea utakuw msala ASA kukaa kwao kmya ndo Aman ikatoek nlitaman usku uleule km nhame nkajitegemee.sem ndo iv nlikua bd nasoma
 
Daah pole sana mkuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3] ikawaje?
 
hawakuwahi kukuuliza hadi leo?
 
[emoji1] [emoji1] [emoji16]
 
Eti mzigo haukuwa wangu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaaaah .......katika thread hiii ,,,,HUU MZIGO SIO WANGU ......
NI top kuliko zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23]..dah, yaani Kama namuona huyo mshkaji wako, nina mshkaji wangu anambo Kama haya, yaani anaweza akafanya kitu ukaona aibu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…