Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Kamwiche ,mbegu,luhigo na lutechura ndo sjawai waskia Ila wengine wapo...
Mi Sheria nmesoma tu sabu Ila ilkua so chaguo langu nliapply coz course nyingne zlikua full na nliapply awamu ya tatu baada ya kupata boom 100%nlivyofika nilikaziwa kubadili ko nkaamua tu kukaza,natamani tu nmalize.
mazngira ya home hayaruhusu kuendelea Cha mno after chuo Ni kujtafta tu kitaa iktokea nmepata pakujishikiza kupitia nlichosomea fresh Ila sitegemei kabsa
 

Komaaa
Kuna pesa unataka kuiacha
 
[emoji28][emoji28][emoji119]
 
aisee
 
😂😂😂😂
 
Kuna siku ndio nimetoka kureport kazini kama siku mbili 3 hivi nmebaki ofisini mwenyewe si nikaachia hewa chafu pale mara paap Boss huyu hapa ofisi inanuka balaa, hakika nilipata fedhehea ya kufa mtu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii huwa inawakuta wengi sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
The fvcck
 
Ahaa soko kubwa sehem gani mzee mnarani au stendi ya bajaji
 
Ungemuandikia meseji Kama ya yule mzee,You need to grow up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…