Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Mboys ulifeli sana
 
Simu zilikua zinafanana??
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Chaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaelekea mkuu unapelekea menu sio ya nchi hii
 
Duuu hii msala sana man
 
Wala usijishtukie inawezekana hiyo ndo tabia ya hiyo nyumba.... Maana siku ambayo kijana anaenda ukweni lazima kunafanyika usafi haswaaa hata Kama kila siku kunasafishwa
 
Hi ndio shida ya kusafirk na watu waroho[emoji2961][emoji2961]
 
dah kuna nchi fulani ya nje nilienda mgahawani bahati nikashikwa na haja kubwa,nimefika chooni baada ya kujisaidia kila nikitafuta maji hakuna,naona toilet papers tu nikaona isiwe tabu nikakata tu lile bomba linalopeleka maji kwenye kile kidumu kwa ajili ya kuflash baada ya kujisafisha kimbembe kwenye kurudisha bomba sasa🤣🤣🤣🤣
 
Ikawaje[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Magumu au makubwa?
 
Sitasahau siku nilipoambiwa nifunge kwa maombi baada ya kumaliza kipindi cha sunday school ili tuanze ibada ya kawaida.Kilichotokea najisikia aibu mpaka leo,toka siku hiyo nikawa najichelewesha ili nikute kipindi cha sunday school kimeisha
kigugumizi?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hiyo tunaitaga ma.maeeeeee...mkomeshe huyo mse.nge na familia yake mzee...mkomeshe huyo..mtafute umzingue..ila usimpige.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…