Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboys ulifeli sanaMm 2007 nilikuwa naenda Advance Songea, basi nikatoka kusini hadi dar, Dar nikapanda basi la superfeo kwenda songea, lile basi ilikuwa wakigawa soda ila mukifika maeneo ya Iringa na kwenda mbele, ila mm sikuwa nimewahi kupanda basi ambalo wanagawa soda, sasa ile tunafika mikumi naona njaa kwa mbaaaaali inaninyemelea ile nikipepesa macho nikaona kreti la soda kwa katikati, nikasema isiwe shida sasa kucheki vema siti za jirani zina mabinti wawili wamevalia yunifomu za songea girls basi nikashoboka na kumuuliza mmoja eti dada zile soda kwenye kreti nani anauza?
Yule dada akaniambia haziuzwi mbona watagawa bure tu baadae!!!!! Haki ya mungu niliona fedheha vibaya mno na safari ikawa chungu saanaa hadi tunafika songea mida ya saa mbili na nusu usiku,
Na tangu hapo sikutongoza mwanafunzi wa songea girls Hadi namaliza form six na kurudi zangu kusini,
Pumbavu kabisaaaaaa fedheha ile...
Simu zilikua zinafanana??we boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.
mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu .Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
[emoji16][emoji16][emoji16]Mm 2007 nilikuwa naenda Advance Songea, basi nikatoka kusini hadi dar, Dar nikapanda basi la superfeo kwenda songea, lile basi ilikuwa wakigawa soda ila mukifika maeneo ya Iringa na kwenda mbele, ila mm sikuwa nimewahi kupanda basi ambalo wanagawa soda, sasa ile tunafika mikumi naona njaa kwa mbaaaaali inaninyemelea ile nikipepesa macho nikaona kreti la soda kwa katikati, nikasema isiwe shida sasa kucheki vema siti za jirani zina mabinti wawili wamevalia yunifomu za songea girls basi nikashoboka na kumuuliza mmoja eti dada zile soda kwenye kreti nani anauza?
Yule dada akaniambia haziuzwi mbona watagawa bure tu baadae!!!!! Haki ya mungu niliona fedheha vibaya mno na safari ikawa chungu saanaa hadi tunafika songea mida ya saa mbili na nusu usiku,
Na tangu hapo sikutongoza mwanafunzi wa songea girls Hadi namaliza form six na kurudi zangu kusini,
Pumbavu kabisaaaaaa fedheha ile...
Chaaahilitokea nimekuja dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini temeke,nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale,sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa,kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache,asubuh si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo,kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabid aulize tu ni nan alikua wa mwisho si ndo nikatajwa mm..daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alf yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpk namaliza likizo naondoka
[emoji23][emoji23][emoji23]Aise huu uzi umeifanya siku yangu iwe njema sana, sio kwa kucheka huku!
Duuu hii msala sana manBro wangu ameoa sasa.Alikuwa na demu lake lina msambwanda kinyama.Basi lilivyosikia jamaa anaoa alienda kumfanyia fujo home wote tulikuwepo.Likaanza kubwatuka kuwa jamaa kamla ndogo miaka mingi kwa nini amuoi yeye.Tuliona noma sana.Washua wananiuliza kweli?Nikawaambia mkamuulize bro.Noma sana.
Wala usijishtukie inawezekana hiyo ndo tabia ya hiyo nyumba.... Maana siku ambayo kijana anaenda ukweni lazima kunafanyika usafi haswaaa hata Kama kila siku kunasafishwaHiyo ilinitokea miaka kama sita iliyopita, Sikh hiyo nimeenda ukweni kwa Mara ya kwanza kabisa, sasa lile wenge la kuonana na babamkwe( Wakati tunafika hakuwepo,alipiga simu yupo njiani anakuja) Basi nikawa naenda chooni kukojoa.
Ile nafika chooni nakuta kuna mzigo haujasukumwa, duh palepale nikaghairi kujisaidia ile nafungua mlango nitoke uso kwa uso na babamkwe,
A see hata domo lilikuwa zito maana lazima angejua ni Mimi ndiyo nimesababisha, ile anaingia naskia anafyonya. Acha kabisaaa.
Hi ndio shida ya kusafirk na watu waroho[emoji2961][emoji2961]Nakumbuka miaka ya nyuma tulitoka kwenye kwaya jamaa mmoja akawa amekula vyakula vingi kwa kuchanganya wakati tukiwa safarini jamaa akabanwa na haja kubwa akaomba gari isimame ili ajisaidie,jamaa alikuwa amepiga bonge ya suti mbaya zaidi alikuwa mwalimu wa kwaya,,mzee baba alivyorudi akarudi amechafua koti la suti kwa pembeni na kinyesi bila yeye kujua,watu ilikuwa ni kucheka tuu [emoji23].nikamwambia jamaa umechafua koti yeye hakujua kama ni uchafu gani akashika ile kushika watu wakacheka gari zime jamaa akakunguta mkono ule mzigo ukiangukia kichwani nikikumbuka hiyo siku nachekaga wenyewe tuu.[emoji23]
Ikawaje[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]dah kuna nchi fulani ya nje nilienda mgahawani bahati nikashikwa na haja kubwa,nimefika chooni baada ya kujisaidia kila nikitafuta maji hakuna,naona toilet papers tu nikaona isiwe tabu nikakata tu lile bomba linalopeleka maji kwenye kile kidumu kwa ajili ya kuflash baada ya kujisafisha kimbembe kwenye kurudisha bomba sasa🤣🤣🤣🤣
same size ,same colour ,sikumbuki kama zilikua aina moja ila sikua na muda bwa kuchunguza zaidiSimu zilikua zinafanana??
Magumu au makubwa?ilitokea nimekuja dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini temeke,nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale,sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa,kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache,asubuh si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo,kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabid aulize tu ni nan alikua wa mwisho si ndo nikatajwa mm..daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alf yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpk namaliza likizo naondoka
kigugumizi?Sitasahau siku nilipoambiwa nifunge kwa maombi baada ya kumaliza kipindi cha sunday school ili tuanze ibada ya kawaida.Kilichotokea najisikia aibu mpaka leo,toka siku hiyo nikawa najichelewesha ili nikute kipindi cha sunday school kimeisha
Aiseeesame size ,same colour ,sikumbuki kama zilikua aina moja ila sikua na muda bwa kuchunguza zaidi
still now you look like mentalNilijisikia aibu siku Niliyopelekwa hospitali ya vichaa milembe kweli nilifedheheka sitasahau
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ilitokea nimekuja dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini temeke,nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale,sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa,kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache,asubuh si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo,kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabid aulize tu ni nan alikua wa mwisho si ndo nikatajwa mm..daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alf yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpk namaliza likizo naondoka
Hiyo tunaitaga ma.maeeeeee...mkomeshe huyo mse.nge na familia yake mzee...mkomeshe huyo..mtafute umzingue..ila usimpige.Kitambo flani nilikuwa na mpenzi mmoja matata sana na uzuri tulikaa mtaa mmoja ila yeye aliajiriwa shirika binafsi na ni karibu na ofisini kwangu.
Binti akawa na tabia akitoka kazini kwake anakuja kunipitia tunakwenda home na gari ya ofisi (serikalini) kwangu. Ambapo ilikuwa ni kawaida coz watu wengi walifanya hivyo hata kwa watoto wao washule pia witumia fursa hiyo kwa kupanda gari za hapo ofisini kurahisisha usafiri.
Mara chache sana Bosi alikuwa anapanda gari za Utawala coz yeye alikuwa na VX lake!! Na gari za utawala zilikuwa cruiser mkonge sita na zilikuwa zinabeba watumishi kwa idara. Idara yangu tulikuwa watatu so gari ilikuwa na nafasi kibao tu.
Kumbe katika hizo mara chache Boss akamuona binti wangu na akamuelewa ila pa kumpatia hana!! So, akawa anabanana nasi kwenye gari ya wasaka tonge na hataki kukaa siti ya mbele ambayo tulikuwa tunamuachia kwa heshima yake (sisi tukajua Boss anapenda sana gari ya idara yetu [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ana yake)!
Kitendo cha kukaa siti za nyuma na wavuja jasho akafanikiwa kupata contact za binti wangu mrembo na akawa anaimbisha mi bila kujua! Bahati mbaya sana, binti akampa cha mbavu Boss kubwa!!
Bosi akajawa na hasira, akaona njia ya pili baada ya ile ya kwanza kufeli ili kumpata Binti ni kunidhalilisha mbele ya binti ili kunishushia status!
Siku hiyo sina hili wala lile, muda wa kutoka umefika nikasogea garini na mrembo wangu. Kuna staff mwenzangu akachelewa kuja garini dereva akawa anapiga honi asikie aje.
Dereva alipoona jamaa haji akaamua kushuka amfuate ofisini! Lilikuwa kosa kubwa sana!! Aliibuka Boss from nowhere akaanza kunitukana kwanini napiga honi nasumbua na pia si kazi yangu kufanya hivyo!!
Alinitukana sana japo nilijitahidi kumwelewesha kuwa dereva ndiyo kapiga honi hakunielewa! Na kesi zikawa zinahama, zinatoka kwenye honi zinakwenda ofisini zinarudi zinakwenda mtaani zinarudi zinakwenda kwenye umalaya zinarudi huuuuh!!
Dereva akimwambia ni mimi nilipiga honi mkuu, anahamisha kesi inakuja madai ya umalaya mradi matusi na dharau zimtoke!! Niliyakoga siku hiyo sitasahu kabisa!! Dereva akitaka kutoa gari anamwambia ondoa gari langu na wewe nikuonyeshe!!
Nilikaa kimya, nachezea nokia ya tochi zile toleo la kwanza kabisa!! Ilikuwa ndiyo simu hot kabisa kabisa wakati huo!!
Aliporidhika akaondoka zake, garini hakuna mtu aliongea mpaka tunashuka!! Staff zote walitoka nje kuona kunani huko parking!!
Baadae ndiyo Binti ananiambia inawezekana kaamua kufanya hivyo sababu anamtaka kimapenzi, na sms zake akanionyesha!! Pia baada ya kutukana sana akamtumia Binti msg "si ndiyo kibwana chako unachoringia, haya ana nini sasa"
Hii kesi hii kwangu haijaisha kabisa!! Kuna siku akajitusua nikafuma kabrasha analipa vibarua hela ndogo kuliko iliyopitishwa na bodi na kuna allowance alikuwa analipa kidogo kuliko iliyopitishwa kwenye bajeti na bodi kisha inayobaki anapiga!
Nikanyofoa karatasi piga kopi nikamchoma macho makavuu huku anaona!! Kidogo avuliwe ukuu wake kama si kuhonga sana na baada ya hapo nikatafuta ajira kwingine nikasepa!!
Ila bado nikikumbuka naona kama kanidhalilisha jana hivi!! Bado namuwinda, nilimuotea mwanae kwenye harakati flani hivi nikamtosa then nikamwambia kamsalimie baba yako!