Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Nakumbuka mwaka 2004 Mimi bishoo kinoma sasa kipindi kile zilikuwa zimetoka jinsi Fulani tulikuwa tunaita mikasi,maana zilikuwa nyeupe mixed mikasi mikasi rangi nyeusi!,sasa bana dukani zilikuwa bei juu kinoma,Mara kuna mshkaji wangu mmoja hivi nilikuwa na rap nae kipindi hicho akaniambia anauza jinsi hiyo mikasi kwa 7000tsh nikaona kama ndoto vile sikuamini ,nikachomoa fasta pesa ya ada ambayo nilikuwa natakiwe nilipe kesho yake nikampa jamaa 7000tsh akaniletea ukali,fasta Mzee mzima nikaingia kuoga kwanza nikatupia vitu vikali na ile jinsi nikaanza kunesa kitaani sikufika hata mbali ni kama mita 200 tu kutoka home mama mmoja alikuwa na wanae kama wa nne hivi wakubwa kimtindo akanisimamisha,nilivyosimama baada ya salamu akaniambia mwanangu samahani Nina wasiwasi na jinsi uliyovaa ni ya mwanangu huwa anaibiwa sana jinsi kwahiyo nikaamua nikimnunulia mpya huwa kuna sehemu naweka alama,kwahiyo kama huamini alama ni Fulani na nimeweka sehemu Fulani tukikuta sio usijali mwanangu nakurudishia jeans yako!
Kwa vile home ilikuwa ni mita 200 tu kutoka pale hao mpaka ghetto nikavua suruali tukakuta ni kweli zile alama zipo,nikamwambia mama Mimi nimeuziwa na MTU Fulani na bahati nzuri ni jirani yake alikuwa anamjua vizuri, Mzee nikaachia jeans kesho yake nikamtokea mshkaji aliyeniuzia kimya kimya ghettoni kwake nikamweleza kisanga jamaa kumbe ndio ilikuwa ndio zake bila hiyana akanipa jinsi nyingine sikuipenda sana lkn nilikuwa sina namna na akanisisitizia hiyo sio ya wizi Mimi nikasepa zangu na urafiki ukaishia hapo

[emoji81]🤣[emoji81]🤣
 
Mwaka Fulani nikiwa na ndugu Yangu mtoto wa mama mkubwa tulikua tunaangua maembe eneo fulani la serikali ghafla katokea mlinzi tukatimua mbio yule mlinzi katuungia tela na kuanza kutuitia mwizi mwizi bahati nzuri mitaa yote niliyokua napita nilikua nafahamia ndio ikawa pona Yangu, mlinzi mpumbavu sana yule alikua anaitwa Mkude
Duh, huyo muuaji kabisa.
 
Hakuna siku ilikua mbaya kwangu kama siku nimepanda daladala kumbe sikua na nauli maana nlisahau wallet yangu bahat mbaya, aisee nlitukanwa na konda pamoja na dereva wake changanya na abiria naambiwa mbona simu hukusahau, mbona nguo hukusahau, tapeli mkubwa daa nliumia sana ile siku sitasahau.
Pole maa dah
 
Nikiwa form 2 kwenye miaka ya 2000 kuendelea..nikiwa kama kijana sharp kabisa kwenye extended family yetu hapa Dar..Mshua akanipa pesa shilingi milioni moja za ujenzi nipeleke moshi kwa bibi yangu mlokole asilimia (100%)Basi laki tano nikaweka mguu wa kushoto tano nyingine mguu wa kulia...
Nikapewa ticket ya Bus moja nakumbuka likiitwa Amazon na fedha taslimu elfu 70 nauli ya kurudi na pesa ya kijikimu na zawadi za njiani kupeleka kwa bibi na simu ndogo ya kufunua aina ya Bird kwa ajili ya mawasiliano.
Nikatoka zangu kinondoni studio mpaka ubungo terminal, bus nikaliona nikaenda kwenye kibanda nikanunua pombe pakti 3 aina ya Tyson nakumbuka walikua wanauza 650 kwa pakti moja nikaipiga pale pale mbili nikapanda nazo kwenye bus...Nilikua nimekaa kwenye siti ya 2 by 2 dirishani ghafla wakapanda wadada wawili na mkaka mmoja ...dada mmoja mweupe mwenye shepu.. yani ni mkubwa kabisa kuliko mimi akaja akakaa akanisalimu wenzake wakakaa siti ya mbele yetu...Sasa mm nina pombe yangu nilikua napenda apande hata msela akae na mm ili niwe huru kukata na kunywa pombe yangu[emoji23]Basi nimejikaza mpaka maili moja kibaha nikasema hapana wakati nafikiria nn cha kufanya wale wa mbele wakampa mwenzao katoni ya castle lager za kopo akatoa moja akafungua akaanza kunywa akaniambia karibu kaka nikachukua kopo ...zikaisha tokaongeza...mara nimetoa kisimu nijifanye kumbeep bibi ilimradi vurugu nikatoa na yale mapomve makali ya viroba nakumbuka tuliwaka sana...To make the long story short nilitakiwa kushuka Kiboriloni nikajikuta niko hoteli moja arusha inaitwa Seven Eleven kama sikosei....niko uchi niko na yule dada[emoji23][emoji23] kumbe nilikata moto simu nimezima sipatikani yule demu kumbe kwenye milioni akadai eti nilinwambia tutumie laki tu zinazobaki tutaenda ngorongoro pakikucha akawa anezihifadhi..kweli kuhesabu nina laki 9[emoji23][emoji23]Nikawasha simu nikapiga kwa bibi nikamwambia nimejikuta asubuhi nyuma ya bus nililotoka nalo dar nimelala na kwenye pesa baba alizonipa imechukuliwa laki moja akapiga vigelegele kanisa lao lina branch arusha akawaelekeza wakaja kunichukua nikapewa shemasi anirudishe Moshi kama shujaaa.....Sijahi muhadithia mtu...yani hapa kwenyewe nlikua naandika nafuta naandika nafuta....kama yule dada yupo humu hata anipM jamaniii[emoji23][emoji23]
Hii nimeikubali
 
Nikiwa form 2 kwenye miaka ya 2000 kuendelea..nikiwa kama kijana sharp kabisa kwenye extended family yetu hapa Dar..Mshua akanipa pesa shilingi milioni moja za ujenzi nipeleke moshi kwa bibi yangu mlokole asilimia (100%)Basi laki tano nikaweka mguu wa kushoto tano nyingine mguu wa kulia...
Nikapewa ticket ya Bus moja nakumbuka likiitwa Amazon na fedha taslimu elfu 70 nauli ya kurudi na pesa ya kijikimu na zawadi za njiani kupeleka kwa bibi na simu ndogo ya kufunua aina ya Bird kwa ajili ya mawasiliano.
Nikatoka zangu kinondoni studio mpaka ubungo terminal, bus nikaliona nikaenda kwenye kibanda nikanunua pombe pakti 3 aina ya Tyson nakumbuka walikua wanauza 650 kwa pakti moja nikaipiga pale pale mbili nikapanda nazo kwenye bus...Nilikua nimekaa kwenye siti ya 2 by 2 dirishani ghafla wakapanda wadada wawili na mkaka mmoja ...dada mmoja mweupe mwenye shepu.. yani ni mkubwa kabisa kuliko mimi akaja akakaa akanisalimu wenzake wakakaa siti ya mbele yetu...Sasa mm nina pombe yangu nilikua napenda apande hata msela akae na mm ili niwe huru kukata na kunywa pombe yangu[emoji23]Basi nimejikaza mpaka maili moja kibaha nikasema hapana wakati nafikiria nn cha kufanya wale wa mbele wakampa mwenzao katoni ya castle lager za kopo akatoa moja akafungua akaanza kunywa akaniambia karibu kaka nikachukua kopo ...zikaisha tokaongeza...mara nimetoa kisimu nijifanye kumbeep bibi ilimradi vurugu nikatoa na yale mapomve makali ya viroba nakumbuka tuliwaka sana...To make the long story short nilitakiwa kushuka Kiboriloni nikajikuta niko hoteli moja arusha inaitwa Seven Eleven kama sikosei....niko uchi niko na yule dada[emoji23][emoji23] kumbe nilikata moto simu nimezima sipatikani yule demu kumbe kwenye milioni akadai eti nilinwambia tutumie laki tu zinazobaki tutaenda ngorongoro pakikucha akawa anezihifadhi..kweli kuhesabu nina laki 9[emoji23][emoji23]Nikawasha simu nikapiga kwa bibi nikamwambia nimejikuta asubuhi nyuma ya bus nililotoka nalo dar nimelala na kwenye pesa baba alizonipa imechukuliwa laki moja akapiga vigelegele kanisa lao lina branch arusha akawaelekeza wakaja kunichukua nikapewa shemasi anirudishe Moshi kama shujaaa.....Sijahi muhadithia mtu...yani hapa kwenyewe nlikua naandika nafuta naandika nafuta....kama yule dada yupo humu hata anipM jamaniii[emoji23][emoji23]
Hahahahahah

Duh shukuru miaka hiyo hamna uwizi Sana Kama kipindi hiki
 
Hakuna siku ilikua mbaya kwangu kama siku nimepanda daladala kumbe sikua na nauli maana nlisahau wallet yangu bahat mbaya, aisee nlitukanwa na konda pamoja na dereva wake changanya na abiria naambiwa mbona simu hukusahau, mbona nguo hukusahau, tapeli mkubwa daa nliumia sana ile siku sitasahau.
Dah pole aisee.... Kwann using walipa kwa mpesa??
 
Nikiwa form 2 kwenye miaka ya 2000 kuendelea..nikiwa kama kijana sharp kabisa kwenye extended family yetu hapa Dar..Mshua akanipa pesa shilingi milioni moja za ujenzi nipeleke moshi kwa bibi yangu mlokole asilimia (100%)Basi laki tano nikaweka mguu wa kushoto tano nyingine mguu wa kulia...
Nikapewa ticket ya Bus moja nakumbuka likiitwa Amazon na fedha taslimu elfu 70 nauli ya kurudi na pesa ya kijikimu na zawadi za njiani kupeleka kwa bibi na simu ndogo ya kufunua aina ya Bird kwa ajili ya mawasiliano.
Nikatoka zangu kinondoni studio mpaka ubungo terminal, bus nikaliona nikaenda kwenye kibanda nikanunua pombe pakti 3 aina ya Tyson nakumbuka walikua wanauza 650 kwa pakti moja nikaipiga pale pale mbili nikapanda nazo kwenye bus...Nilikua nimekaa kwenye siti ya 2 by 2 dirishani ghafla wakapanda wadada wawili na mkaka mmoja ...dada mmoja mweupe mwenye shepu.. yani ni mkubwa kabisa kuliko mimi akaja akakaa akanisalimu wenzake wakakaa siti ya mbele yetu...Sasa mm nina pombe yangu nilikua napenda apande hata msela akae na mm ili niwe huru kukata na kunywa pombe yangu[emoji23]Basi nimejikaza mpaka maili moja kibaha nikasema hapana wakati nafikiria nn cha kufanya wale wa mbele wakampa mwenzao katoni ya castle lager za kopo akatoa moja akafungua akaanza kunywa akaniambia karibu kaka nikachukua kopo ...zikaisha tokaongeza...mara nimetoa kisimu nijifanye kumbeep bibi ilimradi vurugu nikatoa na yale mapomve makali ya viroba nakumbuka tuliwaka sana...To make the long story short nilitakiwa kushuka Kiboriloni nikajikuta niko hoteli moja arusha inaitwa Seven Eleven kama sikosei....niko uchi niko na yule dada[emoji23][emoji23] kumbe nilikata moto simu nimezima sipatikani yule demu kumbe kwenye milioni akadai eti nilinwambia tutumie laki tu zinazobaki tutaenda ngorongoro pakikucha akawa anezihifadhi..kweli kuhesabu nina laki 9[emoji23][emoji23]Nikawasha simu nikapiga kwa bibi nikamwambia nimejikuta asubuhi nyuma ya bus nililotoka nalo dar nimelala na kwenye pesa baba alizonipa imechukuliwa laki moja akapiga vigelegele kanisa lao lina branch arusha akawaelekeza wakaja kunichukua nikapewa shemasi anirudishe Moshi kama shujaaa.....Sijahi muhadithia mtu...yani hapa kwenyewe nlikua naandika nafuta naandika nafuta....kama yule dada yupo humu hata anipM jamaniii[emoji23][emoji23]
Wewe ulikuwa mpumbavu tu. Na ningekuwa baba ako ningekutandika viboko!
 
Moja kwa moja niende katika mada.

Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo juu ya meza, ambazo ninafahamu ni za jamaa yangu(Nimeshazitumia mara kadhaa kukatia kucha kwa maana zina nail cutter), nikatumia katika kukata kucha.

Nilipomaliza kukata kucha nilipigiwa simu, nikasogea pembeni kuzungumza na simu, nikazungumza na simu kwa muda mrefu, hivyo sikuona umuhimu wa kurudi pale tena maana nimemaliza kunywa chai, kumbe wakati huo nimesahau funguo zile nimeziweka mfukoni, nilipofika nyumbani nimeendelea na shughuli zangu bila kuelewa chochote wala kukumbuka, nimekuja kupigiwa simu na binti kuwa kumbe zile funguo zinahitajika, ndio nikakumbuka kujisachi najikuta na funguo kuwa ninazo mfukoni, na kumbe si za jamaa yangu, kumpigia simu anasema si zake kweli, ni za binti anayefanya kazi hapo mgahawani, ni kwamba zimefanana, tukio hili limeniachia fedheha na aibu kubwa maana moja kwa moja nimeonekana kama nilikuwa nina hila mbaya, na hakuna yoyote ninayeweza kumueleza akaniamini, imebaki kuniuma mwenyewe rohoni, maana ningehusishwa na wizi.


Katika maisha kuna mambo ambayo yanatukuta kwa bahati mbaya bila sisi kutarajia, hayo mambo huwa yanapelekea aibu na fedheha ambayo haistahili kwa kweli, na hata haielezeki kwa mtu kirahisi.

Kama na wewe una kisa chochote tupe hapa tupate funzo kidogo.
Nimechelewa kuuona huu uzi.
Anyways, nakumbuka wakati nimemaliza form 6, nilikua na urafiki wa kuheshimiana sana na binti fulani hivi, ambae pia alikua ni demu wa mshikaji wangu.
Sasa bwana siku hiyo nikawa nimeenda kwao, akawa ameniambia nibebe na CD ya movie yoyote interesting.
Nimefika kwao walikwepo na wadogo zake wawili na dada yao mkubwa... Piga pia story pale, ile CD niliyokuja nayo ikawekwa.... Kumbe ilikua ni ya porno bwana...
Aisee kumbe nilichanganya madesa wakati nabeba ile CD, nikawa nimechukua CD ya porno. Ilikua ni aibu ya mwaka aisee, waliniona wa ajabu kishenzi wale watoto wa kike, hasa yule dada yake yule binti.
 
Nimechelewa kuuona huu uzi.
Anyways, nakumbuka wakati nimemaliza form 6, nilikua na urafiki wa kuheshimiana sana na binti fulani hivi, ambae pia alikua ni demu wa mshikaji wangu.
Sasa bwana siku hiyo nikawa nimeenda kwao, akawa ameniambia nibebe na CD ya movie yoyote interesting.
Nimefika kwao walikwepo na wadogo zake wawili na dada yao mkubwa... Piga pia story pale, ile CD niliyokuja nayo ikawekwa.... Kumbe ilikua ni ya porno bwana...
Aisee kumbe nilichanganya madesa wakati nabeba ile CD, nikawa nimechukua CD ya porno. Ilikua ni aibu ya mwaka aisee, waliniona wa ajabu kishenzi wale watoto wa kike, hasa yule dada yake yule binti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Duuh wewe ligendariii aiseee....
 
Kuna rafiki yangu wa kike (Sio Girlfriend) aliweka whtsp status ya rafiki yake mwanamke aliyevaa kimini na wkt hana ushepu, sasa mimi nikaichukua ile nikaituma ktk group la jamaa wa ofisini kulikuwa na mada kuhusu mavazi ya wanawake huku mie nikimtolea mfano huyo mdada pasipo kufahamu kuwa ni mke wa staff mwenzetu na yeye yupo ktk group. Mara paap naona washikaji wananitumia sms inbox kuwa kaka unaharibu, umepatwa na nn mbona unatolea mfano mke wa Flani amekukosea nini au umelewa upo vyombo hapo ulipo? Kumbe masikini ya Mungu mimi sikuwa nafahamu, jamaa naye akaja inbox akaniambia "Ahsante kaka nashukuru sana". Nilijisikia vibaya kila nikijaribu kum-please kuwa sikuwa najua jamaa hapokei simu wala hajibu sms, na kipindi kile whatsapp haikuwa na feature ya kudelete sms kama ilivyo sasa. Sitakuja sahau aisee hilo jambo..
 
Noma sana mzee[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ule msemo wa unatamani ardhi ipasuke uingie ndo niliuelewa kwenye hili tukio.
Sasa ilianza Direct kwenye Kugongana na makelele??? Labda ingeanza intro ya kawaida ungeshtuka japo still ungekuwa ushaaribu so ikawaje uhusiano wako na ile familia..
 
Kuna rafiki yangu wa kike (Sio Girlfriend) aliweka whtsp status ya rafiki yake mwanamke aliyevaa kimini na wkt hana ushepu, sasa mimi nikaichukua ile nikaituma ktk group la jamaa wa ofisini kulikuwa na mada kuhusu mavazi ya wanawake huku mie nikimtolea mfano huyo mdada pasipo kufahamu kuwa ni mke wa staff mwenzetu na yeye yupo ktk group. Mara paap naona washikaji wananitumia sms inbox kuwa kaka unaharibu, umepatwa na nn mbona unatolea mfano mke wa Flani amekukosea nini au umelewa upo vyombo hapo ulipo? Kumbe masikini ya Mungu mimi sikuwa nafahamu, jamaa naye akaja inbox akaniambia "Ahsante kaka nashukuru sana". Nilijisikia vibaya kila nikijaribu kum-please kuwa sikuwa najua jamaa hapokei simu wala hajibu sms, na kipindi kile whatsapp haikuwa na feature ya kudelete sms kama ilivyo sasa. Sitakuja sahau aisee hilo jambo..
dah hii ni hatari .Ulimuumiza sana mchizi
 
Kuna rafiki yangu wa kike (Sio Girlfriend) aliweka whtsp status ya rafiki yake mwanamke aliyevaa kimini na wkt hana ushepu, sasa mimi nikaichukua ile nikaituma ktk group la jamaa wa ofisini kulikuwa na mada kuhusu mavazi ya wanawake huku mie nikimtolea mfano huyo mdada pasipo kufahamu kuwa ni mke wa staff mwenzetu na yeye yupo ktk group. Mara paap naona washikaji wananitumia sms inbox kuwa kaka unaharibu, umepatwa na nn mbona unatolea mfano mke wa Flani amekukosea nini au umelewa upo vyombo hapo ulipo? Kumbe masikini ya Mungu mimi sikuwa nafahamu, jamaa naye akaja inbox akaniambia "Ahsante kaka nashukuru sana". Nilijisikia vibaya kila nikijaribu kum-please kuwa sikuwa najua jamaa hapokei simu wala hajibu sms, na kipindi kile whatsapp haikuwa na feature ya kudelete sms kama ilivyo sasa. Sitakuja sahau aisee hilo jambo..
Kama anavaa vibaya hukuwa na kosa lakini kama ulileta habari za kumponda hana shape duu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Duuuuh hii hatari mzee baba
Nimechelewa kuuona huu uzi.
Anyways, nakumbuka wakati nimemaliza form 6, nilikua na urafiki wa kuheshimiana sana na binti fulani hivi, ambae pia alikua ni demu wa mshikaji wangu.
Sasa bwana siku hiyo nikawa nimeenda kwao, akawa ameniambia nibebe na CD ya movie yoyote interesting.
Nimefika kwao walikwepo na wadogo zake wawili na dada yao mkubwa... Piga pia story pale, ile CD niliyokuja nayo ikawekwa.... Kumbe ilikua ni ya porno bwana...
Aisee kumbe nilichanganya madesa wakati nabeba ile CD, nikawa nimechukua CD ya porno. Ilikua ni aibu ya mwaka aisee, waliniona wa ajabu kishenzi wale watoto wa kike, hasa yule dada yake yule binti.
 
Mi nilipata fedhehea kwa hawa mawakala wa kutoa pesa .Jamaa aliniwekea kipande nusu cha hela.Nimetoa hela ,nimefanya mizunguko yangu kutulia naona elfu kumi nusu nikasema nirudi kwa wakala tukayajenge.Jamani ,jamani kumueleza tu yule wakala wacha aanze kupayuka "tapeli mkubwa wewe,unapenda vya dezo mara mashamba yapo kibao,watu tunahangahika na jua lote unataka kutuibia kipimbi,ikawa tena huyu kwa sura tu anaonekana ni tapeli lililokubuhu.Akapata sapota ya wenzake,watu kibao mjini hapo.Nilikuwa mdogo kama piritoni.Sasa hivi niko makini sana kwenye hela.
 
Back
Top Bottom