Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Hahah karibu tena mitaa imechangamka san hasa boom likitoka unaeza dhani hongkong
[emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi nakuaga na mda jpili tu ndio hua napitaga hiyo mitaa mpaka kwa inno mazulia kule nakuta kumepoa sana hakuna maajabu kama zamani. Naishiaga kupita pale galaxy nanyonya movie au series mpya kwa washkaji nasepa zangu.
 
Niliwahi kujamba mbele za wanafunzi wangu, nikiwa mbele ya wanafunzi wananisikiliza kwa umakini wa hali ya juu sasa hapo kijambo kikaja cha kimyakimya ..duh kumbe ilikuwaa inanuka hatari...niliona wengine walijuwa mimi halafu wingine wakamsingizia dogo flani ambae anajambagajamba ovyo duh nilijisikiaa ovyo kwelii....
Pole,

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi nakuaga na mda jpili tu ndio hua napitaga hiyo mitaa mpaka kwa inno mazulia kule nakuta kumepoa sana hakuna maajabu kama zamani. Naishiaga kupita pale galaxy nanyonya movie au series mpya kwa washkaji nasepa zangu.
Hahaha si kweli pita mida ya sa 1hadi saa3 usiku...ukitaka pisi tega geti la njano
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka flani hv nimeenda zangu maeneo kumtembelea sister,siku hyo sister kasafiri nimebaki na anko 2,ilikuwa wikiend nikaenda zangu kucheki mpira narudi zangu mida kama ya saa 5 hv uck,narudi geti limefungwa,namgongea anko nae kalala kinouma nimekaa kama nusu SAA hv nagonga hakuna kufungua,nikaamua kufungua dirisha nipitie hapo,vile vidirisha vya zamani vinakuwa na nondo katikati aisee,so nikapiga hesabu nikaona kupita na nguo haiwezekani so nikavua nguo nikaziingiza ndani nikabaki na chupi 2 nikajua si napita fasta,

Ile kuanza kupitisha kichwa hakipiti kumbe ni padogo ,kasheshe likaanzia hapo,hangaika wapi, hangaika wapi nikaona jau hili,nikamkumbuka jamaa yangu anakaa mtaa wa pili,ikabidi nitoke pale kwa spidi kali nipo na kichupi 2 nakatiza mtaaan,wikiendi ile mitaa watu wanacjelewa sana kulala so nilikutana na watu wanacheka walijua nimetoka kufumaniwa so nakimbia soo,ile nafika kwa jamaa,jamaa kafungua kunikuta vile anacheka kishenzi,kwa soo lile sikukaa sana ilibidi nirudi home 2

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nilipokua dar la 6 kipindi hicho kuna dem mkali sana mtaa wa chini huko tulikua tunamfukuziaga watu wengi tu ni msomali ile pisi ni kali nyie acheni.

Basi bana kutokana na utoto me niliandika barua ya mapenzi nikaamua kuitunza chini ya kochi nikisubiri kesho niipeleke. Si nikasahau bana maza sijui alikua anafanya nn akaiona akamuonesha na mshua dah niliona aibu sana yani maana kila nikizingua hom mother alikua anakumbushia ananipa mabango hata mbele za watu dah
 
Mwaka juzi nilipataga msnzi ni staff mwenzangu wote kada ya Afya japo yeye alinikuta ninakama miezi 7 hivi katika hiyo Private HC


Sasa nikawa namazoea ya kwenda kulala kwake maana mimi kutokana na kitengo chabgu ilikuwa lazima niwe naishi Kwenye nyumba za watumishi hayo maeeno ilipo kituo cha kazi, sasa siku moja asubuhi manzi akaenda kazini afu mimi nilikuwa siendi na akaniacha nimelala ile nastuka mkojo unabana balaa nikasema ngoja niende uaani ilikuwa ni ile ya kushare wapangaji, nikakuts mafundi wanarekebisha sijui nini nikazuga zuga hapo nikatoka nje kuangaza angaza nikaona kuna toilet ya nyumba ya pembeni kidogo ambayo mara nyingi nilikuwa naona imefungwa ila sikuhiyo hakuna kifuli nikaingia nakutana na mzigo mkibwa haswaa afu kama sio muda mrefu uneshushwa basi nikaona sio kesi wapi niende nikamaliza shida zangu ile natoka tu sijui mwenye nyumba alikuwa ananilia timing


Aiseeh kale kabibi kalianzia kunisema toka kapo ndani ksake hadi nje kaliongea maneno ya shombo sana kujitetea nashindwa basi nikabaki nafedhea tu ikabidi nichukue maji niflash kishingo upande japo mwenye nyumba anayokaa Manzi angu alijaribu kumsihi sana anisikilize lakini wapi

Hiyo scenario sikumwambia hata manzi angu na nikawa sina amani kabisa ya kufika yale maeneo tena
 
Mwaka juzi nilipataga msnzi ni staff mwenzangu wote kada ya Afya japo yeye alinikuta ninakama miezi 7 hivi katika hiyo Private HC


Sasa nikawa namazoea ya kwenda kulala kwake maana mimi kutokana na kitengo chabgu ilikuwa lazima niwe naishi Kwenye nyumba za watumishi hayo maeeno ilipo kituo cha kazi, sasa siku moja asubuhi manzi akaenda kazini afu mimi nilikuwa siendi na akaniacha nimelala ile nastuka mkojo unabana balaa nikasema ngoja niende uaani ilikuwa ni ile ya kushare wapangaji, nikakuts mafundi wanarekebisha sijui nini nikazuga zuga hapo nikatoka nje kuangaza angaza nikaona kuna toilet ya nyumba ya pembeni kidogo ambayo mara nyingi nilikuwa naona imefungwa ila sikuhiyo hakuna kifuli nikaingia nakutana na mzigo mkibwa haswaa afu kama sio muda mrefu uneshushwa basi nikaona sio kesi wapi niende nikamaliza shida zangu ile natoka tu sijui mwenye nyumba alikuwa ananilia timing


Aiseeh kale kabibi kalianzia kunisema toka kapo ndani ksake hadi nje kaliongea maneno ya shombo sana kujitetea nashindwa basi nikabaki nafedhea tu ikabidi nichukue maji niflash kishingo upande japo mwenye nyumba anayokaa Manzi angu alijaribu kumsihi sana anisikilize lakini wapi

Hiyo scenario sikumwambia hata manzi angu na nikawa sina amani kabisa ya kufika yale maeneo tena

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo maana ya mshikwa na ngozi ndo mla nyama
 
Ile bar plasma karibia na nyegezi corner bado ipo
Ipo asee...Kuna jamaa gay[kabla skujua ka Ni upinde] alinichukua Toka huku maduka 9 akidai amepotea nmpeleke Hadi chuo..tumefika akataka tukafurahi kidg tulienda plazma tukakata bia kadhaa baadae anatka nkamle nyuma kmmk bia zilikata...nkamnawa nkarudi gheto mida ya sa sita usiku,plazma ipo mkuu...game ya Bayern na borrusia nliangalia apo Bayern Munich alishinda japo Sjui walishinda ngp make yule jamaa alikua Ana ananipiga maswali ya kipuuzi japo kabla skushtka Ila nlipojua Nia yake habar yake ikaishia hapo..
 
Ipo asee...Kuna jamaa gay[kabla skujua ka Ni upinde] alinichukua Toka huku maduka 9 akidai amepotea nmpeleke Hadi chuo..tumefika akataka tukafurahi kidg tulienda plazma tukakata bia kadhaa baadae anatka nkamle nyuma kmmk bia zilikata...nkamnawa nkarudi gheto mida ya sa sita usiku,plazma ipo mkuu...game ya Bayern na borrusia nliangalia apo Bayern Munich alishinda japo Sjui walishinda ngp make yule jamaa alikua Ana ananipiga maswali ya kipuuzi japo kabla skushtka Ila nlipojua Nia yake habar yake ikaishia hapo..
Mmilki wa hapo alikuwa na utaratibu wa kuweka wahudumu pisi kali sana hapo 😄
 
Niliwahi kujamba mbele za wanafunzi wangu, nikiwa mbele ya wanafunzi wananisikiliza kwa umakini wa hali ya juu sasa hapo kijambo kikaja cha kimyakimya ..duh kumbe ilikuwaa inanuka hatari...niliona wengine walijuwa mimi halafu wingine wakamsingizia dogo flani ambae anajambagajamba ovyo duh nilijisikiaa ovyo kwelii....
Acha hiyo michezo
 
Mmilki wa hapo alikuwa na utaratibu wa kuweka wahudumu pisi kali sana hapo
😂😂😂waga mnapata wapi nguvu ya kula madem wa hivyo masela, mi hisia waga sina kbs
Fainali kombe la dunia France v Argent
Nilikua buzuruga kwa mshikaji wangu, ile napanda stendi nwahi game nkaona heri nchungulie kdg nsepe kidg di maria kaweka Kamba kdg chapili nkamind nkatoka.
Panda hiace hadi nyegezi kona ile nashuka tu watu wanashangilia kabidi nvuke road niingie kwenye bar iliyopo mwanzo tu wa Barbara pale nyegezi kona kucheki 2-2 nlisimama Bdae nkavuta kreti la soda nkakalia.
Kwa mbele yangu kukawa kuna wadada wawili mmoja alionyesha mahaba wazi na timu messi mwingne skuelewa alkua wapi..
Kdg full time then ET, yule Dada timu messi alisogea karibu akaanza shangilia sabu tyr alikua ashajua mi nashabkia France ubishi na utani badae demu mara anikalie mara anikumbatie mi nmetulia tu, masela macho yote kwangu😅😅
Mwenzake akawa anamuambia Huyo kaka unashika shuka akinanilii je utampa!? Demu Ee ntampa
Mimi rohoni Mmmmh...
Manzi alikua Ni mdogo na anafaa kbs kwa matumizi Ila Mimi manzi wa bar au madada poa Sina hisia na mzuka nao kabsa,sjui mnawezaje na sjui waga mnaidanganya vipi akili..!!!
 
Sidhani kama kutokujua ku scan ni aibu sema ulijishtukia tu, hii ilinikuta pia kigamboni pale kivukoni na zile kadi zao ila mi niliuliza na hakuna aliyenishangaa
sikuhizi nmekua sioni aibu mkuu
mana maisha yenyewe haya yanatupeleka mputa mputa sijali wala nini
nauliza tu au nasema sijui nisaidieni
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni aibu juu ya aibu Masta
 
Nyingine Karma is Bitch
Kuna siku tupo ghetto tunasoma kuna manzi akaja classmate, mshikaji wetu. Wakati tunadiscuss kuna ka ukimya kakapita mwanangu Allan akachia cha Yusuphu kile cha sauti kama blake za baiskeki pyuuu. Yule demu akamvungia kama hajasikia mimi sasa na sifa zangu mzee baba kimekuponyoka hiko nkashikilia bango, daah jamaa alikuwa mpole tu.

Siku nakuja kuumbuka mimi kinaniponyoka mbele ya yule manzi, demu wa mwana, mwana mwenyewe na demu wangu afu wakati wakula ata sijui kiliniponyokaje yani maana hadi leo ile aibu naisikia japo kwa muda ule nlijifanya kama nmedhamilia kuwa kituko ila ndo hivyo tena kishanitoka.
Ahahaaaaa asee
 
Back
Top Bottom