Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Kaka msugua vis*mi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila sijui ni kwa nini wanaotupenda kweli huwa hatuthamini upendo wao tunaishia kung'ang'ana na ambao tunajua wazi hatuwezi fika nao popote.
Utoto na ujana ndio ilikuwa shida
 
Alienda kama masihara
 
Promo code ; Mshangazi

tushushie mpya kaka πŸ€—πŸ€—πŸ€—
 
Dah!!
 
🀣
ah we nakwambia i was this and more bana!
Siku hizi uuuuuuuuwih!
ah nimebadilika aiseeeh! nimebadilika mpk alonibadilisha alinyanyua mikono akaomba pooh!
akawa ananishangaa yeye sasa ,af mi yuleee!
ilibidi Temeke waingilie kati, kitu alichokitengeneza hakuweza kukihimili tena!

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€, sa mi kosa langu nn lakini?
hata we mwenyewe ndugu mpenzi msomaji sema tu?
 
Kabla dunia haijanionesha how evil it can be, nilikuwa this kind of a woman
tabia ya mtu huwa haijifichagi, inahutaji tu mazingira kui activate.
Siku hizi!
ehehehehhehehe
ulivyo sasa ndivyo ulivyo kiuhalia ndani mwako, u just were pretending unknowingly.
Tabia og ya mtu huwa hai change never
 
Yani we nyau ulipata ESTHER wako wa kwenye bible aiseeh!
Ila sijui kwanini wanawake wa aina hii hukutana na wanaume wehuuuuu!

Kabla dunia haijanionesha how evil it can be, nilikuwa this kind of a woman

Siku hizi!
ehehehehhehehe
Kwahiyo bado hujaolewa Snowhite?
 
Huna baya ndugu 🀣 ila ni kweli bhn kwa % kubwa cc wanaume ndo tunachangia kuwabadilisha wanawake na kuwa na roho za kinyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…