Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Mkuu unajivunia kabisa mbele ya wakubwa wenzio kutembea na mtoto wa shule ya sekondary??wewe kaka gani??una mtoto wa kike??..
 
Aposto kwa kumega kisela na kubwaga manyanga uko vyedi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya muendelezo saa ngapi?
Halafu angalia kwenye folder lako km kuna story mupya utuwekee wasomaji tunasubiri 🀣

Missy Gf bff njoo tusome story ya Ester huku.!
Kumbe Kuna story mpya na sijui wooi ngoja niisome
 
Yani we nyau ulipata ESTHER wako wa kwenye bible aiseeh!
Ila sijui kwanini wanawake wa aina hii hukutana na wanaume wehuuuuu!

Kabla dunia haijanionesha how evil it can be, nilikuwa this kind of a woman

Siku hizi!
ehehehehhehehe
Makosa hutokea ili kutufunza
 
Tatizo raia mnakuwaga na jazba sana majukwaani, hamtaki story ichelewe au dharura isitokee.
 
Early 20s nilibahatisha kuwa na manzi virgin.
She was so smart ananiambia kabisa uwe gentle ukiniumiza tunaachana, it took two days mnyamwezi nikatoa seal, siku ya kwanza ilishindikana nikaendelea ya pili.

Ni maelewano tu.

Sasa hadi mnaanza na kung'atana tena... Duh!!
 
Sawa mkuu
 
Sawa tu,
ahahahahahhaa we haya maisha mi hata nataka kubishana na mtu.
Vijana wa mjini wanasema uwe tayari kwa kila hali, ukiitwa madame sawaaa, shangazi sawaaa mwengine anamalizia na kukuita mama kabisaaaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Na wewe ulipaka mafuta ya nazi ukatulia tuli kumsubiri virgin kama mtoa uzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…