Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Ni hatareeee sana esther alikushika pabaya sana mtaalamu mbinu aliyotumia ni kali sana nafikir hukutegemea kabisa shemeji yetu kutumia mbinu kali ivyo enii weii maisha lazima yasonge kama kawaida
 
Naomba yeyote anishituage akifanikiwa kupost next,
 
Kwa wanaume wengine Kama sisi wenye presha zetu ,yaani kitendo Cha Ester kukukamata kuwa bado uko na mishangazi hatukawaigi kuzimia au kukimbia kwa aibu na uwa haturudi tena Ila ulikuwa jasiri mpaka ukipata nguvu za kuaga ?

Endelea kuwa jasiri hivyo wewe ni mwamba ,haki Mimi Kama sio kuzimia ukweni basi ningekimbia bila kurudi nyuma
 
Kwamba mume alikurudisha kwenu? πŸ˜…
AH SUBUTHUUUU!
siku hizi tukitoka kwa mume haturudi kwetu tunaenda tulikolipa kodi au tulipojenga!

Yani kwa Mume haupo wala kwa Baba haupo.
Mume na Baba wote hawajui unakoishi

Siku ya kikao cha usuluhishi mume anatokea kwake, baba yupo kwake na mimi natokea kwangu.

Baba hana binti chini yake tena wala mume hana mke chini yake tena
Mnazungumza kama watu WATATU wenye Mamlaka kamili YANAYOJITEGEMEA!
BOOOONGE LA KIKAO!
Mashangazi wanalia tu, af we uko tu cool unasubiri kikao kiishe urudi zako kwako.
 
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Umepotea mwana lunyasi...πŸ˜€πŸ˜€
 
Sasa na wewe unajua kabisa simu haijaisha chaji, na akiiweka chaji itasoma chaji iliopo, ulikua unatumia akil gani wewe?? Kwel kabisa unakwenda kutafuta suluhu kwa akil ya kizembe namna hii mkuu? Ya kwel haya au??
Mkuu hili lilishapangwa kwa wote hawa yani yeye na ester liwe funzo kwao, naamini Analyse kipo alichojifunza kwa alichopitia life is full of lessons everyday untill we die.
 
huo ndo ukweli.
Na mwanamke akishafika hii stage hata ufanye nini, anakutizama tu!
Hana kitu kinamgusa tena, kizuri au kibaya anakutizama tu.
OGOPA SANA MTU ANAYEKUPENDA BILA SABABU!
sIKU AKIONA KUWA HANA SABABU ZA KUKUPENDA, aloooooo!
 
After portion 05. Nadhani utaanza na visa vya mashangazi. Ningependa kuuliza kuhusu Ester , where is her? Is she married or not?
Mkuu Analyse
hata kama mimi Analyse sikutajiii.
We nani anataka chimbo lake la dunia liguswe, hata kama we hulitaki au huliwezi.
Sio rahisi kukubali limepata kwingine.
Kuna mmoja anahaha huko af tu watu hawajali wala nini.
Wanakula mfupa, supu, nyama na kila kitu!
 
Asante mkuu.
Let's go with harakati za mishangazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…