Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee pole kwa kuachwaa swahiba kama nakuona ulivyokuwa mdogo 🤣🤣🤣Nilidhani upo. Ila sio mbaya hujachelewa
Shukran, ila daa yani ulivokamatwa hata utetezi hakuna tena
TuendeleeNilizingua sana 🤦🤦🤦🤦
Nilishaiuza, kwahiyo sitoweza kuiweka tena jukwaani.Mkubwa Analyse Naomba kama hutojali, unitumie hii
Nikaanza mtindo wa kila siku naenda zangu beach kupoteza time na kutuliza akili. Nilizunguka beach zote za Dar, mpaka ile siku nakutana na Evervess pale Rongoni na kunisimulia mkasa wake (hii ni ile story iliyoondelewa jukwaani).
Sema acha kuishia kwenye utamu bwanHakuna aliyekufa kisa hajaoga, so kuoga sio lazima 😅😅
Hapa nipo najisimulia kichwaniNdio vizuri ili urudi tena kuendelea
watu wataacha kufatilia kabisaUtanipa muendelezo basi 😅 😅
ni upuuz mtupu nawaza hapa😆Kwanini? 😅