Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mwambie aende kwa mwamposa, akanyage mafutaEti kachanganyikiwa na yake ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aende kwa mwamposa, akanyage mafutaEti kachanganyikiwa na yake ๐ ๐ ๐
Hivi ni serious? ๐คฃ nahisi unanizingua tu km ni kweli na anisome hapa aache shobo dundo,Kila akiquote unajifanya kama humuoni, hata like humpi ๐ ๐ ๐ . Mlegezee ili apunguze jazba.
๐ ๐ ๐ Eti shobo dundo.Hivi ni serious? ๐คฃ nahisi unanizingua tu km ni kweli na anisome hapa aache shobo dundo,
anahisi mautaalam yako yatapita na mimi eti!!! Mtu mwenyewe unapenda nyama mneso na hizo nyama sina
Sitaki hata unitajie ID yake maana nitampa tabu, atasoma tu aache kabisa huo upuuzi wa kujipa umuhimu kama anaitaka aje aiombe sio kuanza kupiga watu mikwara mbuzi, ........nimempa na tusi la kimoyomoyo๐ ๐ ๐ Eti shobo dundo.
Kama akisoma hapa, basi ujumbe utakuwa umemfikia, maana dah ๐
daaah make it happen mkuu napenda mashangazi sku hz hayapend hela sanaa kama watoto wa buku2Ishi na watu vizuri. Ungekuwa mstaarabu sana ningekuweka kwa binamu yangu Lightysh
๐คฃ๐คฃ๐คฃyupo kama chuma cha puaDuh Umepitia mengi ๐๐๐
Umri 30+ now. Issue ni kwamba nilidondokea kwenye hizi harakati nikiwa too young.Analyse kwa sasa una umri Gani? Na hIzo harakati umezifanya miaka mingapi iliyopita
Ujumbe umefika, tena ukiwa bado wa moto moto. Ila usimtukane sana, huwezi jua labda ndio future hubby wako ๐๐๐Sitaki hata unitajie ID yake maana nitampa tabu, atasoma tu aache kabisa huo upuuzi wa kujipa umuhimu kama anaitaka aje aiombe sio kuanza kupiga watu mikwara mbuzi, ........nimempa na tusi la kimoyomoyo