Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Kila akiquote unajifanya kama humuoni, hata like humpi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…. Mlegezee ili apunguze jazba.
Hivi ni serious? ๐Ÿคฃ nahisi unanizingua tu km ni kweli na anisome hapa aache shobo dundo,
anahisi mautaalam yako yatapita na mimi eti!!! Mtu mwenyewe unapenda nyama mneso na hizo nyama sina
 
Hivi ni serious? ๐Ÿคฃ nahisi unanizingua tu km ni kweli na anisome hapa aache shobo dundo,
anahisi mautaalam yako yatapita na mimi eti!!! Mtu mwenyewe unapenda nyama mneso na hizo nyama sina
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Eti shobo dundo.

Kama akisoma hapa, basi ujumbe utakuwa umemfikia, maana dah ๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Eti shobo dundo.

Kama akisoma hapa, basi ujumbe utakuwa umemfikia, maana dah ๐Ÿ˜…
Sitaki hata unitajie ID yake maana nitampa tabu, atasoma tu aache kabisa huo upuuzi wa kujipa umuhimu kama anaitaka aje aiombe sio kuanza kupiga watu mikwara mbuzi, ........nimempa na tusi la kimoyomoyo
 
Analyse kwa sasa una umri Gani? Na hIzo harakati umezifanya miaka mingapi iliyopita
Umri 30+ now. Issue ni kwamba nilidondokea kwenye hizi harakati nikiwa too young.

Nimekuwa nasimulia matukio kwa kwenda mbele na kurudi nyuma, sio kwa mtiririko wa moja kwa moja kama ambavyo yamekuwa yakitokea. Hivyo inakuwa ngumu kusema hizi harakati ni za muda gani uliopita. Mfano kwenye hii simulizi nitagusia mpaka as far as 2 to 3 years back, japo pia kuna matukio mengi ya nyuma nimeyaruka ambayo naweza kuja kuyaongelea kwenye simulizi nyingine endapo nikiamua kuandika tena.

I hope nimekujibu swali lako.
 
Sitaki hata unitajie ID yake maana nitampa tabu, atasoma tu aache kabisa huo upuuzi wa kujipa umuhimu kama anaitaka aje aiombe sio kuanza kupiga watu mikwara mbuzi, ........nimempa na tusi la kimoyomoyo
Ujumbe umefika, tena ukiwa bado wa moto moto. Ila usimtukane sana, huwezi jua labda ndio future hubby wako ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Back
Top Bottom