Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Katrina jinsi alivyo
Bora ungeendelea kubaki kwa mashangazi
Bora ungeendelea kubaki kwa mashangazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishindana na nguruwe kwenye matope, wewe ndio itakula kwako mkuu.Kutoa fedha pilisi kwa kosa sijafanya walai nitaenda na wahusika bampa tu bampa na huwa nawaeleza bila kificho. Hata kwake nitafanya majivu I swear nimkose mzazi ama wana
shukran mbee, aika mbe
Kuna mawili ndugu hao jamaa moja ukileta ubishi hapo hapo upewe kesi ya kuvunja duka la jumla huko au muda wako kupotea ila inaumiza sanaHivi kwann watu wanatoaga hela kirahisi kuwapa polisi? Yaani watu wakae namm kuanzia jion mpaka sa10 bado niwape hela yangu.. daah wataniua aisee
Sasa katrina anajifanya kukukasirikia nini wakati alikupa kwa kukuita mwenyewe aache kujiona keki wakati ni liandazi tu,
Masihara wapi kamsogezea mwenzie usoni kabisa, huyu alikuwa anajiona hadhi ya juu sasa haamini kuona aposto kamzidi mashambulizi
Ohh sawa kaka, ila Kuna kitu nime kiona kwako.Hapana sijawahi andika kitabu
Nilishawahi mkuu, nimelazwa ndani mara mbili. Moja ilikuwa tu ni kosa la barabarani imagine.Mkuu ushawahi kudeal na polisi kwa namna yoyote ile?
Yaani hao asipowakazia hata moja watamfanya mgodi. hizo hela alipe wakiliKuna mawili ndugu hao jamaa moja ukileta ubishi hapo hapo upewe kesi ya kuvunja duka la jumla huko au muda wako kupotea ila inaumiza sana
sioni muendelezo hadi nitafute,asante mtani