Lift ya Jengo la Millenium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu kwatajwa kuwa chanzo

Lift ya Jengo la Millenium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu kwatajwa kuwa chanzo

Watu saba wamejeruhiwa baada ya 'lift' katika jengo la Millenium Tower - II, Dar es Salaam kuporomoka kutoka ghorofa ya 10.

Jeshi la Zimamoto limesema chanzo ni lift hiyo ambayo imefanyiwa matengenezo karibuni kuzidiwa uzito ambapo waliingia zaidi ya watu 10 kwa wakati mmoja.View attachment 2633244
nikikuta ghorofa lolote limeandikwa TOWER siingii ndani....ata benki zenye akaunti yangu zikiamia TOWER yoyote nahama!!!!.........................inaelekea kuna jini MAKATA humo!!!
 
Unaweza kukuta waliotengeneza, kuna nati ilisahaulika kufungwa. Msilaumu uzito tu. Huyo mkarabati ashikwe koo pia
Huyo aliye service mara ya mwisho hakufanya kazi yake vizuri. Ndio mambo ya kuachia nyoka kazi hayo unakuta mtu ana kazi nyingi anamu assign kijana wake akafanye kazi hio chap chap. Mwishowe ni majanga tu.
 
Acha kuishi kimuvi kimuvi.

Impact itakayotokea joints zako zitaweza kuhimili?
Fun fact: did you know that the human bone is stronger than mild steel?? It can clock up to a strength of 60,000N…that’s almost the weight of an african bush elephant
 
Muda huu kutoka jengo la Millenium Tower, Makumbusho Jijini Dar es salaam, lift ya ghorofa imefeli na kudondoka ikisemekana kuwa na Watu zaidi ya 10.
 
Watanzania tunaishi kama Ng'ombe yaani,suala la ku-take precautions ni suala zito kabisa kwetu sisi..

Tukiambiwa tufuate maelekezo tunaona kama tunaonewa
kuna technical report ikiyotoka kuthibitisha kwa haraka hivi?

Maintaining ya hiyo lift mara ya mwisho ilifanywa lini na nani kafanya ?


mara ngapi hizi lift zinazimika watu wakiwa ndani yake, jee yote haya chanzo ni idadi kuzidi ?

kuna maswali mengi ya kujiuliza kabla ya kuwaamini hao wa zimamoto !


eti walipanda watu zaid ya 10… taarifa za kisiasa Siasa tu

Lift hutaja capacity yake kwa Uzito na idadi ya watu huwa ni makadirio tu

inawezekana walikuwa watu 12 lakini wenye kilo sitini sitini wakati ni wepesi kuliko kubeba kina Mama Bonge wa tano ( yule wa k.koo)
 
Lift za kichina hizo.
Kuna lift pale mlimani hall two na five. Zikizidiwa zinajifunga break. Sasa wachina wa vodafasta hata jinsi ya kuweka break hawajui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Ukiingia kwenye lift za Dar, Kama Kuna majimama, hesabu kila jimama Ni watu watatu. Usije ukaingia kwa lift na jimama la pointment/chemba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom