Haya ni makosa yanayojirudia. Huwezi kujua nani Chadema nani CCM na nani hayupo miongoni mwao. Unachotakiwa kujua ni kuwa kuna ''ufa''.Chadema tu ndio walifurahi, ila nina amini JPM atawafurahisha zaidi! Subiri
Ninakushukuru kwa kuondoa neno KILA MTU.Nakubaliana nawe, naondoa hilo neno ''kila mtu'' kwa kuwa hakuna kigezo wala takwimu. Badala yake natumia ''hali iliyopo''. Swali linabaki pale pale, nini kimebadilika hadi hali ikawa kama ilivyo leo?
Hakuna muunganiko wa chadema, usitegemee watu wenye akili ya kunguni wakaunganika! Walimtukana kila aina ya tusi kikwete, leo wanamliliaHaya ni makosa yanayojirudia. Huwezi kujua nani Chadema nani CCM na nani hayupo miongoni mwao. Unachotakiwa kujua ni kuwa kuna ''ufa''.
Ukianza kusema hawa ni CDM wale ni Uvccm hawa ni Jucuf tayari unaligawa Taifa
Taifa linajengwa na muunganiko wa wote, ukianza kutenga unajenga ufa
Hili ni kosa sijui kwanini watu hawajifunzi.
Bado sikubaliani nawe kwasababu una hoja mbili. Kwanza, vyama vingi ambayo sasa unaiacha na kuingilia mitandao. Mitandao ipo zaidi ya miaka 20 sasa na awamu zote!Hali haijabadilika bali kilichobadilika ni njia/fursa za kufikisha ujumbe. Zamani ilikuwa lazima uwe na Laptop au PC kama unataka kufikisha ujumbe kupitia internet. Leo hii simu ya kiganjani inafanya mambo yote lakini kikubwa zaidi hata gharama yake kwa sasa iko chini.
Kama nilivyosema, zamani kabla ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter na Instagram haijawa maarufu na kupata watumiaji wengi, watu walikuwa wanategemea forums ambazo zilikuwa na moderators ambao walikuwa wanafuta message hasi kwa jamii. Mfano Jamboforums/Jamiiforums na yahoo forums.
Wewe kama mkongwe hapa umekuwa mtu ambaye unasema taifa limegawanyika hata kabla Rais Magufuli hajaingia madarakani. Nakumbuka ulikuwa unamlaumu sana Rais Kikwete kwa kuligawa taifa halafu leo unahoji kama vile tatizo hili limeanza kwenye awamu ya tano!
Aisee Izraili ametuangusha kweli watanzania.Nani anamtaka huyo?Ni kakikundi kadogo sana tena kanakomtapeli kwa KUMSIFIA Kwani anapenda kusifiwa
OK! kama hiyo ndiyo njia ya kuliunganisha Taifa, naiwe hivyo!Hakuna muunganiko wa chadema, usitegemee watu wenye akili ya kunguni wakaunganika! Walimtukana kila aina ya tusi kikwete, leo wanamlilia
Chadema sio watu wa kuwa entertain hata kidogo, ni kubana na kuwakanyaga kwa kadri utavyoweza!Na namuomba mh. Raisi afanye jambo kwa wajinga hawa
Ujumbe ni huu tu ama kuna kitu cha ziada umekiweka?Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...
Kwa mfano,
Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...
Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..
Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.
Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...
Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?
Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "
We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Hakuna haja ya kuliunganisha kwa wajinga chadema!OK! kama hiyo ndiyo njia ya kuliunganisha Taifa, naiwe hivyo!
Nakubaliana nawe, naondoa hilo neno ''kila mtu'' kwa kuwa hakuna kigezo wala takwimu. Badala yake natumia ''hali iliyopo''. Swali linabaki pale pale, nini kimebadilika hadi hali ikawa kama ilivyo leo?
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...
Kwa mfano,
Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...
Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..
Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.
Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...
Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?
Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "
We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Tulipolazimishwa/kukubali kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila kujiandaa kama taifa, wenye uelewa wa masuala ya saikolojia walijua kitatokea nini?
Siasa za vyama vingi kwenye nchi ambazo zilikuwa na mfumo wa kijamaa zimezalisha taifa lililogawanyika katika pande mbili. Hakuna political meeting point ambayo inabeba hoja za pande mbili.
Mtu anayedhani Taifa limegawanyika katika utawala wa awamu ya tano atakuwa haijui vizuri Tanzania na siasa zake.
Hoja ya kusema tuwe na national dialogue ni ndoto za mchana katika mazingira yaliyozaa taifa linaloitwa Tanzania!
Umemsahau fatuma na mdude.Zitto, Maria Tsehai Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Godbless Lema, Vincent Mashinji na ndugu yao Kigogo...watu Wa ajabu sana
Mkuu katika hili bila kumung'unya maneno wajinga ni kurugenzi ya mawasiliano kushindwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati na kuruhusu tetesi kuzaa uhasama na njozi mbaya.
Kwani tokea juzi wangejibu kiaina yote haya yangetokea?
Kurugenzi isafishwe na kuwekwa wenye utaalamu sio wanaofanyakazi kama idara ya Polepole.
Wengi wanatafuta sababu zisizotoa jawabu. Vyama vingi vilikuwepo miongo dahariTatizo kubwa sio mfumo wa vyama vingi, bali ni chama tawala kulazimisha kuwepo madarakani bila ridhaa ya wengi. Inaonekana chama tawala kulikubali kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila chenyewe kuwa tayari kwa hilo. Matokeo yake wananchi wengi wamesharidhia hali hiyo, huku chama tawala kikilazimisha kubaki chenyewe au madarakani kwa njia ya kunajisi box la kura. Hali hiyo inachangia mvutano na mgawanyiko usio wa lazima hasa anapotokea rais asiyeheshimu kutofautiana kimitazamo.
Hakuna muunganiko wa chadema, usitegemee watu wenye akili ya kunguni wakaunganika! Walimtukana kila aina ya tusi kikwete, leo wanamlilia
Chadema sio watu wa kuwa entertain hata kidogo, ni kubana na kuwakanyaga kwa kadri utavyoweza!
Na namuomba mh. Raisi afanye jambo kwa wajinga hawa
Kwahiyo unaamini alilazwa Ujerumani?Mpaka sasa Ikulu haijasema chochote kama alikuwa mgonjwa au la sasa unapowalaumu hawa wabongo mbona hueleweki
Pole,nilikuhurumia ulivyoingia mkengeJuzi jana na leo imekuwa kama siku za wajinga.
Sijui kama kuna mtu mwenye akili timamu atakaa aje amuamini Kigogo tena.Zitto, Maria Tsehai Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Godbless Lema, Vincent Mashinji na ndugu yao Kigogo...watu Wa ajabu sana