Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Tafuta chakula ule
MATAGA cant see it in a big picture due to their myopic nature.I wholeheartedly concur. We need to reconsider the state our unity as a nation. Something has gone wrong and we need to fix it asap before things turn sourer!
Take some pills, girl"To win a girl, lie and denial" so denial sometime is solution
Kwa akili ya kiwango cha chini twaweza kuwaona waajabu sana lakini sio hivyo!
Aliye anzisha huo uvumi naweza kusema kashinda kwa maksi za juu sana.
Kwanza kaonyesha UBOVU NA UDHAIFU wa kurugenzi ya habari Ikulu. Hii kurugenzi ina sifa za kukanusha haraka sana mambo ya kijinga lakini imeshindwa kukanusha hili la kuugua au kutoa taarifa. Maana hata kama Rais hakujisikia vizuri kwa uchovu mbona wangeweza kujibu haraka kuwa kazidiwa uchovu kwa kazi za mfululizo na pole angezipokea na sifa ya kufanya kazi kwa bidii!
Pili wameruhusu hisia mbaya kuhusu Rais wetu kupata nafasi kuenezwa maana hata hao waliokuwa wanaombea mabaya sio kusemea hawana hoja, wanazo tena nzito na wamepata nafasi ya kuzisema kwa wazi zaidi.
Hao mnaowataja wameongea kwenye mijadala hiyo kama mihemko tuu, lakini wapo waliokuwa kwenye mkumbo huo wakumuombea mabaya na wako karibu naye kabisa huku nyuso zao zikicheka naye ila mioyo haipo naye.
Sidhani, hawezi kuuvaa uzushi wa kiwango cha lami kichwa kichwa.
Na wewe unataka kuzua, uzushi huanza hivi.
Good morning everyone!
We ni mtu mwongo sana, unatamani chuki yako huwaambukize wengine, Mimi nilikuwepo sehemu tofauti katika muda wa siku 3, watu wengi walikuwa wanaendelea na shughuli zao wala hawana habari za Rais, watu wenye shida sana ni watu walioko kwenye social media ndio walikuwa wanaangaika, ambao wengi wanafahamika ni watu gani.Siyo kweli bro. People wako pissed off badly!! Pita kwenye social media nenda kasome vizuri. Hata vijiweni watu walikuwa wana wish for a bad thing.
Ni wakati kama kweli yule tuliyemuona ni yeye akirekebishe. No body loves him except proxy mercenaries
Ingawa binafsi simpendi lakini nilianza kujiuliza maswali mengi ambayo nilikosa majibu na hasa kujiuliza kama mbadala wake atayaweza?? kilichofuata kwa mara ya kwanza ilikuwa kusherehekea pale nilipomuona live akiwa afya tele... mwacheni aliyo yaanzisha ayamalize………..mnaozusha achene kabisaa mtatulazimisha tunao mchukia kumkubaliPamoja na mapungufu yake, leo nimegundua waTz wengi bado wanamhitaji aendelee kuwaongoza......
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokeasina chakula hali ngumu
si unajua bongo sio kama usa..
hongera sana boss ....
kishamba lazima utishie ulipo
Political miles sio mailsWatu walikua wanashikilia remote kila mda wakisubiri kujibiwa na msemaji wa serikali ili wapate political mails.
Mi sikuandika ivo, we unajua aliyeandika, ila unajitoa akili.Political miles sio mails
MkuuMkuu katika hili bila kumung'unya maneno wajinga ni kurugenzi ya mawasiliano kushindwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati na kuruhusu tetesi kuzaa uhasama na njozi mbaya.
Kwani tokea juzi wangejibu kiaina yote haya yangetokea?
Kurugenzi isafishwe na kuwekwa wenye utaalamu sio wanaofanyakazi kama idara ya Polepole.
Aliyeandika ni wewe. Nyie watu mnaweza kuyakana hata majina yenuMi sikuandika ivo, we unajua aliyeandika, ila unajitoa akili.
The hate is real usifanye mzaha!! Ila kwa nyie msio na uwezo wa kuchanganua mambo hamuwezi kuiona.We ni mtu mwongo sana, unatamani chuki yako huwaambukize wengine, Mimi nilikuwepo sehemu tofauti katika muda wa siku 3, watu wengi walikuwa wanaendelea na shughuli zao wala hawana habari za Rais, watu wenye shida sana ni watu walioko kwenye social media ndio walikuwa wanaangaika, ambao wengi wanafahamika ni watu gani.
Mi niliandika "miles".Aliyeandika ni wewe. Nyie watu mnaweza kuyakana hata majina yenu
KakaUnajidanganya sana kwa kuwa watu wanaogopa kusema chuki zao wazi wazi kwa kuwa wamekuwa wanatekwa na kuuliwa. Na vyombo vya habari vinashtakiwa au kufungiwa leseni.
Jiwe nguvu yake iko kwenye POLICE, TPDF na NEC lakini siyo kwenye umma.
Unatakiwa kuwa na kadi ya ccm maana huko kuna viwanda vya uongoMi niliandika "miles".
Wao ndo walimzushia mh rais ni mgonjwa?!Unatakiwa kuwa na kadi ya ccm maana huko kuna viwanda vya uongo