Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
Sidhani kama mleta mada amekuelewa?! kidhungu ma men!
 
Kwa akili ya kiwango cha chini twaweza kuwaona waajabu sana lakini sio hivyo!

Aliye anzisha huo uvumi naweza kusema kashinda kwa maksi za juu sana.

Kwanza kaonyesha UBOVU NA UDHAIFU wa kurugenzi ya habari Ikulu. Hii kurugenzi ina sifa za kukanusha haraka sana mambo ya kijinga lakini imeshindwa kukanusha hili la kuugua au kutoa taarifa. Maana hata kama Rais hakujisikia vizuri kwa uchovu mbona wangeweza kujibu haraka kuwa kazidiwa uchovu kwa kazi za mfululizo na pole angezipokea na sifa ya kufanya kazi kwa bidii!

Pili wameruhusu hisia mbaya kuhusu Rais wetu kupata nafasi kuenezwa maana hata hao waliokuwa wanaombea mabaya sio kusemea hawana hoja, wanazo tena nzito na wamepata nafasi ya kuzisema kwa wazi zaidi.

Hao mnaowataja wameongea kwenye mijadala hiyo kama mihemko tuu, lakini wapo waliokuwa kwenye mkumbo huo wakumuombea mabaya na wako karibu naye kabisa huku nyuso zao zikicheka naye ila mioyo haipo naye.

Kuanza kunyoshea vidole watu kutokana uvumi wa jana ni upumbaf,ujinga na umbeya kiwango cha lami…!Uvumi wowote hukanushwa kwa taarifa toka Msemaji wa Serikali!
Nimemsikia huyu mwendawazimu na kichaa ambaye bila ya shaka aidha anaandaa MUSIBA wake mwenyewe au musiba na misiba ya ndugu zake na kundi lake…!

Musiba anadai ana watu 3m+ nyuma yake na kama Polisi hawata washughulikia kina Zito,Lissu,Maria, Fatuma na Membe yeye Bwana Musiba na kundi lake ati atachukua hatua…!HUU NI UCHOCHEJI!

Hivi huyu mwendawazimu anajua kina Zito,Lissu na Membe wana watu milioni ngapi nyuma yao? Hivi na wao wakiamua kumsaka Musiba na kundi lake kitatokea nini kama siyo MAUAJI YA KIMBARI?
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Hizi ndizo nyufa alizokuwa anazungmuzia Mwl. Nyerere, nivyema tukajitambua ili tujisahihishe haya mambo ya chuki hayajengi ila tunayafanyia mzaha lakini iko siku itafika tutajilaumu wenyewe.
 
Musiba aache uchochozi. Tunaviomba vyombo vya dola watu waache matamko ambayo yanaongeza chuki Nyerere katuachia nchi nzuri tuitunze bila Musiba raisi wetu tutamlinda kama mboni ya jicho. Hawa wachochozi achaneni nao kwa kuwa hauwajui walitendalo.
Kuanza kunyoshea vidole watu kutokana uvumi wa jana ni upumbaf,ujinga na umbeya kiwango cha lami…!Uvumi wowote hukanushwa kwa taarifa toka Msemaji wa Serikali!
Nimemsikia huyu mwendawazimu na kichaa ambaye bila ya shaka aidha anaandaa MUSIBA wake mwenyewe au musiba na misiba ya ndugu zake na kundi lake…!

Musiba anadai ana watu 3m+ nyuma yake na kama Polisi hawata washughulikia kina Zito,Lissu,Maria, Fatuma na Membe yeye Bwana Musiba na kundi lake ati atachukua hatua…!HUU NI UCHOCHEJI!

Hivi huyu mwendawazimu anajua kina Zito,Lissu na Membe wana watu milioni ngapi nyuma yao? Hivi na wao wakiamua kumsaka Musiba na kundi lake kitatokea nini kama siyo MAUAJI YA KIMBARI?
Il
 
Kuanza kunyoshea vidole watu kutokana uvumi wa jana ni upumbaf,ujinga na umbeya kiwango cha lami…!Uvumi wowote hukanushwa kwa taarifa toka Msemaji wa Serikali!
Nimemsikia huyu mwendawazimu na kichaa ambaye bila ya shaka aidha anaandaa MUSIBA wake mwenyewe au musiba na misiba ya ndugu zake na kundi lake…!

Musiba anadai ana watu 3m+ nyuma yake na kama Polisi hawata washughulikia kina Zito,Lissu,Maria, Fatuma na Membe yeye Bwana Musiba na kundi lake ati atachukua hatua…!HUU NI UCHOCHEJI!

Hivi huyu mwendawazimu anajua kina Zito,Lissu na Membe wana watu milioni ngapi nyuma yao? Hivi na wao wakiamua kumsaka Musiba na kundi lake kitatokea nini kama siyo MAUAJI YA KIMBARI?
Nimeiona hiyo na kuhitimisha kuwa ukweli Musiba ni kichaa kabisa na wanao mtumia ni completely wehu!
 
Siyo kweli bro. People wako pissed off badly!! Pita kwenye social media nenda kasome vizuri. Hata vijiweni watu walikuwa wana wish for a bad thing.

Ni wakati kama kweli yule tuliyemuona ni yeye akirekebishe. No body loves him except proxy mercenaries
No body loves him? What a big joke.
 
Siyo kweli bro. People wako pissed off badly!! Pita kwenye social media nenda kasome vizuri. Hata vijiweni watu walikuwa wana wish for a bad thing.

Ni wakati kama kweli yule tuliyemuona ni yeye akirekebishe. No body loves him except proxy mercenaries
Waluokuwa pissed off ni wapiga deal na Bado wako pissed off kwasababu ndio nia zao za kupata kipato na tatizo kubwa wabongo huwa wanafikiria kila siku hali itakuwa hivyo , hivyo hawawekezi au kujitayarisha hali ikibadilika atafanya nini??
Tofauti na mhindi, mangi, wakinga na zzk
 
unayemsema hakuwekwa ndani kwa ajili hiyo.
Ukijaribu kuwa honest utapunguza kiasi kikubwa sana cha sumu na illusions.
Ni hivi, hata mtu akisema nimeota maono kuwa fulani akiendelea kutenda hili na lile hakika atakufa kabla ya 2020.
Basi anakamatwa na kuwekwa ndani kwani kaleta uchochezi kwa Mungu hivyo anaweza kutenda kweli!
Alamsiki!
 
unayemsema hakuwekwa ndani kwa ajili hiyo.
Ukijaribu kuwa honest utapunguza kiasi kikubwa sana cha sumu na illusions.
Sina sumu mwilini, sumu mnayo nyie mnaoumiza watu then mnasikia raha na kuburudika moyoni.
Wanasaikolojia wanasema hata mtoto mdogo ukiona anasikia raha kupiga kuku na manati, kusemea sumu paka nk na aonapo wakikata roho anasikia raha basi moyo wake umejaa sumu pengine itokanayo na malezi
 
rudi kwenye hoja uliyoanzisha...
Aliyewekwa ndani kutokana na ndoto ni uwongo.

Hata haya unayoandika hapa ni hisia zinazotokana na schizophrenic. Illusions.

Sina sumu mwilini, sumu mnayo nyie mnaoumiza watu then mnasikia raha na kuburudika moyoni.
Wanasaikolojia wanasema hata mtoto mdogo ukiona anasikia raha kupiga kuku na manati, kusemea sumu paka nk na aonapo wakikata roho anasikia raha basi moyo wake umejaa sumu pengine itokanayo na malezi
 
Kwa akili ya kiwango cha chini twaweza kuwaona waajabu sana lakini sio hivyo!

Aliye anzisha huo uvumi naweza kusema kashinda kwa maksi za juu sana.

Kwanza kaonyesha UBOVU NA UDHAIFU wa kurugenzi ya habari Ikulu. Hii kurugenzi ina sifa za kukanusha haraka sana mambo ya kijinga lakini imeshindwa kukanusha hili la kuugua au kutoa taarifa. Maana hata kama Rais hakujisikia vizuri kwa uchovu mbona wangeweza kujibu haraka kuwa kazidiwa uchovu kwa kazi za mfululizo na pole angezipokea na sifa ya kufanya kazi kwa bidii!

Pili wameruhusu hisia mbaya kuhusu Rais wetu kupata nafasi kuenezwa maana hata hao waliokuwa wanaombea mabaya sio kusemea hawana hoja, wanazo tena nzito na wamepata nafasi ya kuzisema kwa wazi zaidi.

Hao mnaowataja wameongea kwenye mijadala hiyo kama mihemko tuu, lakini wapo waliokuwa kwenye mkumbo huo wakumuombea mabaya na wako karibu naye kabisa huku nyuso zao zikicheka naye ila mioyo haipo naye.

Kila mara Rais akijisikia uchovu inabidi mjulishwe? Upambavu wameonyesha CHADEMA waliosema Rais kalazwa Germany.
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Ungenoga kama wangesema yule Magufuli si original. Walimleta Magufuli wa Njombe awaapishe! Ahahahahahaha!
 
Ikulu iache kufanya mambo ya msingi

Ijibu tetesi za waliosema rais alikuwa ujerumani leo na wakataja had chumba alichokuwepo?

Tunapiga kazi, hatuna muda wa kujibu kila mnachozusha, lengo lenu linajulikana ni kututoa kwenye reli
Ww kazi yako nikuchukua buku saba ukenda zako naona Leo ya NNE siyoni zindua zindua Tbc
 
Back
Top Bottom