Ligi Kuu Bara: Simba 2-2 KMC FC - Uwanja wa Mkapa, Sept 07 2022

Ligi Kuu Bara: Simba 2-2 KMC FC - Uwanja wa Mkapa, Sept 07 2022

Majayanti ya soka wanaoitwa wa kariakoo wameanza sare sare sasa. Watu wasipobebwa Azam anachukua ndoo msimu huuu
 
Daaah hii timu itakuja kutoa watu roho kwakweli, daaah hapana viongozi wanatakiwa kujitafakari ase , wachezaji wanatakiwa pia kujitafakari, yaani wasenge wanalipwa mishahara tunaumia sisi ambao hata mia hatupati
Kabisa wanatembea uwanjani, wanacheza kwa dharau yaani kama vile hawana Cha kupoteza ila yote ni management, naanza kuona ununuzi wa wachezaji wa mafungu sio kwa viwango tulivyoaminishwa
 
Watu wa njano na kijani jana walipotea humu ila hzi timu bana hahahaha
 
Makolo mshakata tamaa na litimu leno bovu🤣🤣🤣
Hata lenu bovu tuuu sijaona impact ya litumu lenu mpk sasa. Ni kelele tuu bora sisi tunajua tuna udhaifu kwny kikosi ila nyie kujifanya full nondo kumbe hakuna kitu yani
 
Hata lenu bovu tuuu sijaona impact ya litumu lenu mpk sasa. Ni kelele tuu bora sisi tunajua tuna udhaifu kwny kikosi ila nyie kujifanya full nondo kumbe hakuna kitu yani
Yenu screpa kama kmc tu kawatoa jasho je mkikutana na azam si mtapigwa nyingi
 
Back
Top Bottom