barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
View attachment 233091
Shikamoo Okwi. Huyu jamaa atatuulia dada zetu.
Ndo maana anaitwa mtoa roho, hii ndo maana yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 233091
Shikamoo Okwi. Huyu jamaa atatuulia dada zetu.
Hahahaha! Uongo mtupu!
kumbe wewe si MTU wa mpira.baki katika utabili tu,unakataa simba kucheza final 1993 Caf.makundi 2003 klab bingwa afrika
Mbona mmekuwa kama mmeokota almas, mmekuwa wageni wa ushindi kiasi cha kushangilia usiku kucha?
Au mmeshajua furaha yenu inaishia hapa?
Unakesha kwenye keyboard wewe, fanya na kazi basi.
Ngarna grafani1 sembo Amavubi mkolaj Makoye Matale barafuyamoto Komeo Lachuma Bantu lady Masuke Chekeni kama mzee akilimali.
hahahahaahahahah
haha
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahaha
hahahha
hahahahhhahaahhaahahhaahahahahah
hahahahahhahahhahhahhhhahhhhhahahahahahahaahahahahahahahahahhahahaahahhahhahahahahahahahaha
hahhaahahahahahaahahhahahahahhahahahahah
hahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahahahahhahahahahahaahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahahahahha
Mbona mmekuwa kama mmeokota almas, mmekuwa wageni wa ushindi kiasi cha kushangilia usiku kucha?
Au mmeshajua furaha yenu inaishia hapa?
Kijana wetu Samata, mwezi wa 7 anaenda kukipiga UEFA Champions League kwa wanaojua wenzake.. Naimani anaenda kuwatengenezea njia kina ulimwengu.. Pia usisahu kuna wale mafundi kama mesi, isihaka na mkude ambao mwezi wa 6 watakua katika majaribio katka club bora duniani real madrid.
hiyo ndo simbaaaaa
yanga chuo fitna na majungu
Mkuu umesahau yeboyebo college chuo cha uvuvi wa kambale kiko pale Kaunda.
safiii....mnyama oyeeeeee.
Tuwaache yanga wapumue
Na wote tuseme Aaaamina.
tungewafunga mngeshuka daraja na sisi tungekosa mtani...
kumbe wewe si MTU wa mpira.baki katika utabili tu,unakataa simba kucheza final 1993 Caf.makundi 2003 klab bingwa afrika
Kicheko kitaisha utapo muona Yanga akibeba Ndoo...!
hiyo ndo simbaaaaa
yanga chuo fitna na majungu
Mkuu umesahau yeboyebo college chuo cha uvuvi wa kambale kiko pale Kaunda.
safiii....mnyama oyeeeeee.
Tuwaache yanga wapumue
maneno ya mkosaji
Nafikiri tuwaache Simba wapumue kidogo ili wajiandae kupita points za yanga ili mushike usukani...
Kwa sasa Mwanaume ninaongoza msafara alafu Kenge wako nyuma..!
mkuu na hilo gogoro lenu mara sijui aveva mara sijui ukawa tungewafunga si ndo timu ingesambaratika kabisa!
aisee inabidi jf kuwe na tawi la simba siku simba ikicheza liwepo bango la "simba jamii forum" kama mabango mengine,,,, cc sembo, Masuke, Katavi, Mlendamboga