Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

"Ni kazi kubwa kwenye ligi kama hii kuibuka mfungaji bora lakini kama una nia kujitahidi zaidi. Naimani nitaweza kuchuana..."
Hayo yalikua maneno ya kujiamini ya Ibrahimu Ajibu a.k.a Mzee wa Ma hat-trick a.k.a Mfungaji bora wa VPL msimu wa 2014/2015.
 
Mbona mmekuwa kama mmeokota almas, mmekuwa wageni wa ushindi kiasi cha kushangilia usiku kucha?
Au mmeshajua furaha yenu inaishia hapa?
 
kumbe wewe si MTU wa mpira.baki katika utabili tu,unakataa simba kucheza final 1993 Caf.makundi 2003 klab bingwa afrika

mi nshamsoma huyu
kaanza kushabikia mpir a baada ya stendi united na mbeya city kuingia kwenye ligi
 
Mbona mmekuwa kama mmeokota almas, mmekuwa wageni wa ushindi kiasi cha kushangilia usiku kucha?
Au mmeshajua furaha yenu inaishia hapa?

Tunashangilia kilichowafanya mzimie. Mnatishia kuwapiga wachezaji wenu hadi wanatolewa nje kwa escort ya polisi. Midomo mirefu na kucheza mpira magazetini ndio leo inawafanya muumuke kama hamira kwa hasira.
 
Ngarna grafani1 sembo Amavubi mkolaj Makoye Matale barafuyamoto Komeo Lachuma Bantu lady Masuke Chekeni kama mzee akilimali.

hahahahaahahahah
haha
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahaha
hahahha
hahahahhhahaahhaahahhaahahahahah
hahahahahhahahhahhahhhhahhhhhahahahahahahaahahahahahahahahahhahahaahahhahhahahahahahahahaha
hahhaahahahahahaahahhahahahahhahahahahah
hahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahahahahhahahahahahaahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahahahahha
 
Last edited by a moderator:
Ngarna grafani1 sembo Amavubi mkolaj Makoye Matale barafuyamoto Komeo Lachuma Bantu lady Masuke Chekeni kama mzee akilimali.

hahahahaahahahah
haha
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahaha
hahahha
hahahahhhahaahhaahahhaahahahahah
hahahahahhahahhahhahhhhahhhhhahahahahahahaahahahahahahahahahhahahaahahhahhahahahahahahahaha
hahhaahahahahahaahahhahahahahhahahahahah
hahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahahahahhahahahahahaahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahahahahha

Kicheko kitaisha utapo muona Yanga akibeba Ndoo...!
 
Last edited by a moderator:
Mbona mmekuwa kama mmeokota almas, mmekuwa wageni wa ushindi kiasi cha kushangilia usiku kucha?
Au mmeshajua furaha yenu inaishia hapa?

Viongozi wao ndio wamewaaminisha kwamba Ukimfunga Yanga ni sawa na kuwa BINGWA wa ligi Kuu Tanzania.
 
Kijana wetu Samata, mwezi wa 7 anaenda kukipiga UEFA Champions League kwa wanaojua wenzake.. Naimani anaenda kuwatengenezea njia kina ulimwengu.. Pia usisahu kuna wale mafundi kama mesi, isihaka na mkude ambao mwezi wa 6 watakua katika majaribio katka club bora duniani real madrid.

Teh teh teh teh...!!! Eti Singano kwenda ulaya... Alishindwa Ngassa sembuse huyo galasa..

Mchezaji mwenyewe anaota hata kucheza Taifa Stars.

Wachezaji uchwara tu.
😁😁😁😁😁
 
kumbe wewe si MTU wa mpira.baki katika utabili tu,unakataa simba kucheza final 1993 Caf.makundi 2003 klab bingwa afrika

Teh teh teh! Unazungumzia masuala ya tisini na ngapi huko....
Tukigeukia huko basi naamini hauta kuwa na la kusema, mwisho wake mtaanza kudanganya.
 
Tuwaache yanga wapumue

Nafikiri tuwaache Simba wapumue kidogo ili wajiandae kupita points za yanga ili mushike usukani...

Kwa sasa Mwanaume ninaongoza msafara alafu Kenge wako nyuma..!
 
Kicheko kitaisha utapo muona Yanga akibeba Ndoo...!

hahahhahahahaahhahahahhahahhaha
hahahahahahahahahahahahhahaahahahahahahhhahha

hahahahahaahahahhhhhhhahahahahahahahahahhahh
ahahahahahahaha
hahahahahahhhahahaahahahahahahha yahoo nakusalimu ukiwa katika ban
 
Last edited by a moderator:
aisee inabidi jf kuwe na tawi la simba siku simba ikicheza liwepo bango la "simba jamii forum" kama mabango mengine,,,, cc sembo, Masuke, Katavi, Mlendamboga

Naona kijana unajipoza na kujifariji kidogo... Baada ya Mhindi kutandika pesa zako.!

Sipati picha unakuwaje, huku umepoteza huku umegain.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom