demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #1,221
Yanga ni sawa na demu aliyevishwa pete ya uchumba mda wote ukihitaji anakuja unapiga
Inashangaza kuona DEMU anawaongoza na kukamata usukani!
Mwanaume gani wewe! Unayeongozwa na demu...?
😁😁😁😁😁😁
Dah kweli umeathirika psychologically.!
Badala ya Viongozi wenu kuwaaminisha UBINGWA ndio kila kitu...
Wamewaaminisha kumfunga YANGA tu ni sawa na Ubingwa..!
