Ligi kuu bara: Yanga 3-1 Mtibwa, Mbeya City 0-2 Simba, Stand UTD 1-0 Azam FC

Ligi kuu bara: Yanga 3-1 Mtibwa, Mbeya City 0-2 Simba, Stand UTD 1-0 Azam FC

Hajib + Kichuya ni Balaa Kubwa sana Tanzania wa sasa. Na pia Nadhan Mavugo + Hajib + Kichuya litakuwa Balaa Kubwa sana za A. Mashariki
 
hii ligi bado mbichi sn, bt huwa napatwa na shida kdogo na mashabiki hasa wa simba kuamin kwamba tayari wamechukua kombe kwan wana kikos kzuri, my take hata msmu uliopta simba walikuwa vzuri sn na walfanya vyema kila kombe huku wakiwa na maneno hayahaya wakiongozwa na manara at ze end....tuache ushbk ligi bado mbichi..sn
Acha kuongea porojo. ...simba taamu sasa hv
 
hii ligi bado mbichi sn, bt huwa napatwa na shida kdogo na mashabiki hasa wa simba kuamin kwamba tayari wamechukua kombe kwan wana kikos kzuri, my take hata msmu uliopta simba walikuwa vzuri sn na walfanya vyema kila kombe huku wakiwa na maneno hayahaya wakiongozwa na manara at ze end....tuache ushbk ligi bado mbichi..sn

Ni kweli ligi bado mbichi sana.. Maana sasa tumebakiza mechi 22 ligi iishe [mechi 17 ili tutangaze ubingwa].
Ni kweli pia Simba msimu uliopita tulikua na kikosi kizuri.. na tulianza vizuri msimu uliopita.. Ila msimu huu tuna kikosi kizuri zaidi.. na tumeanza ligi vizuri sana.. ndo mana tunakila sababu ya kutembea vifua mbele kama tumepingwa ngumi ya mgongo.
 
Ni kweli ligi bado mbichi sana.. Maana sasa tumebakiza mechi 22 ligi iishe [mechi 17 ili tutangaze ubingwa].
Ni kweli pia Simba msimu uliopita tulikua na kikosi kizuri.. na tulianza vizuri msimu uliopita.. Ila msimu huu tuna kikosi kizuri zaidi.. na tumeanza ligi vizuri sana.. ndo mana tunakila sababu ya kutembea vifua mbele kama tumepingwa ngumi ya mgongo.
Uchezaji wa simba ni mzuri kuliko wa Yanga. Mie yanga lkn uchezaji wao utadhani hawajatoka kushiriki mashindano ya kimataifa
 
Simba yatosha,nijaona wa kumzuia.tunauwezo wa kufunga mechi zote.ukiacha ile ya mbeleko fc
 
Uchezaji wa simba ni mzuri kuliko wa Yanga. Mie yanga lkn uchezaji wao utadhani hawajatoka kushiriki mashindano ya kimataifa


Ki mpira yanga hawajawah kucheza vizur miaka ya karibuni mara ya mwisho ni kipindi cha wakina mwamba kizota baada ya hapo ni madudu tu
 
hii ligi bado mbichi sn, bt huwa napatwa na shida kdogo na mashabiki hasa wa simba kuamin kwamba tayari wamechukua kombe kwan wana kikos kzuri, my take hata msmu uliopta simba walikuwa vzuri sn na walfanya vyema kila kombe huku wakiwa na maneno hayahaya wakiongozwa na manara at ze end....tuache ushbk ligi bado mbichi..sn
mkuu hili povu umetumia sabuni gani OMo au Foma gold?
 
Back
Top Bottom