Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wazee wa Terminal 3 ni Rose Muhando (Nibebe)Hizi dakika 5 za nyongeza zimetoka wapi jamani
Ni ushenzi tuKipindi cha pili mpira haujasimama kabisa, lakini ajabu kuna dk 5za nyongeza
Mbona unaongea kwa sauti ya chini umesema Mtashinda nini kwenye mechi zijazo?Hahahahahahahaha
Ligi bado mbichi tutashinda mechi zijazo, kufungwa ni jambo la kawaida tu
Alisikika kichaa mmoja akisema