Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mbao walijidanganya kwa kulala lala hovyo ili kupoteza muda kumbe hawajui team inayosaka ushindi kwa hali na mali dakika za majeruhi ndio inacharuka zaidi maana hawana chakupotezaHujuma hizi dakika 7 duuh
Madam, kuwa mpole!!Dakika 7 za nyongeza? Hii ni fitna na wameshapata walichokuwa wanakitaka.
Hapa naona umeelewa dk saba zimetoka wapi!!Yule beki aliyeumizwa Ndikumana ameigharimu sana mbao,dah!
Eeh Mungu saidia mpira uishe kwa sare hii.
Stop that NifahMimi nadhani laana ya kula rambirambi za Mafisango ndiyo inayowatafuna Simba hadi leo hii.
Ni kawaida sana hii sio soka la bongo, hata majuu haya mambo yapo.soka la bongo bana. simba kashinda eti
Hivi mkuu GENTAMYCINE haya unayoyaandika huwa ni ya ukweli au unatania?Kafara tulilolifanya hapo dakika 12 za mwisho ambazo ndizo zimetupatia huo ushindi ni balaa na kuna ' Kiongozi ' mmoja wa Simba alibeba ' mzigo ' na akasogea hapo karibu na Benchi la ufundi na baada ya goli la 3 kuingia ' Kazimia ' na sasa yupo chumbani anafanyiwa mambo yetu ya Kiswahili kwani Mbao FC wamefukia vitu vibaya sana hapo Uwanjani jana usiku. Viongozi wote wa Simba waliogopa kubeba huo ' mzigo ' ila huyo Kiongozi wa matawi wa Dar es Salaam kwa mapenzi yake makubwa kwa Simba alikubali kubeba na tunamshukuru mno kwani bakora zingelika sana leo.
Wasisahau makopo yao yakukojolea usikuTayari wakulala mapema wakojoe wakalale
Asante Mbao Bashite rApa
kuongoza 2 hadi DK 80 mnakuja kufungwa ama kweli nyie ni mabashiteeeRAPA[/]
mkuu umeona goli la kwanza la mbao. Manyika nae ana dau analisubiri????Kipa asipotajirika kwa ofa alizotoa leo kwa simba sijui maana naona kuna dau zuri sana aliloandaliwa.
wanawalaumu MBao FC na wamesahau haata wao ilikua ivivi.This is Simba, walioweka picha ya malema waweke ikiwa full time.... What a fucking come back
vs simba nao yanga waliuza mechi?Mbao wameuza mechi ASA ASA goli kipa
Ha ha ha ha!!Ati walijua ni mazishi[emoji23][emoji23]